Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Uhamisho wa Yannick Bangala uko mbioni kukamilika. Yanga imepokea ofa ya milioni 100 kutoka kwa Azam FC.
Yannick alibakisha mkataba wa mwaka mmoja na klabu yake ya Yanga SC.
Biashara
1️⃣ Mayele 2.8B
2️⃣ Feisal Salum 200m
3️⃣ Yannick Bangala 100m
4️⃣ Shaban Djuma 100m ⏳
Yannick alibakisha mkataba wa mwaka mmoja na klabu yake ya Yanga SC.
Biashara
1️⃣ Mayele 2.8B
2️⃣ Feisal Salum 200m
3️⃣ Yannick Bangala 100m
4️⃣ Shaban Djuma 100m ⏳