Azam Media wakataa shutuma dhidi ya rushwa ya kurusha vipindi vya tamthilia kutoka kwa wazalishaji binafsi

Alafu kweli nipo nyuma ya muda Ila ofisi gani haina mkuu wa Idara? Hata Mkurugenzi? Hakuna kiongozi wa Idara husika ambae anawawakilisha wengine yaan Idara ikihitajika wanaenda wote?
Hivi wewe una akili kumzidi Tido Mhando ambaye amekuwa Mkurugenzi wa BBC Swahili Bush London kwa miongo kadhaa?

Hebu tuanzie hapo kwanza.
 
Hivi wewe una akili kumzidi Tido Mhando ambaye amekuwa Mkurugenzi wa BBC Swahili Bush London kwa miongo kadhaa?

Hebu tuanzie hapo kwanza.
Ninaweza nikawa nina akili mingi sana kumzidi hata yeye you never know alafu unasema as if unanijua personally, any ways ni maamuzi yao kufanya wanachojisikia tusiwapangie wao ndio wanajua wanachofanya all in all ujumbe umefika
 
Hivi wewe una akili kumzidi Tido Mhando ambaye amekuwa Mkurugenzi wa BBC Swahili Bush London kwa miongo kadhaa?

Hebu tuanzie hapo kwanza.
Jamaa ana hoja ya msingi mjibu hoja yake achana na kufananisha akili za watu
Anachosema hapo ni kwamba kuna uwezekano mkubwa hiyo barua ni feki na kama siyo feki kuna na shida mahali kwenye hilo shirika ama kampuni si sawa kuandika barua kienyeji hivyo

Alafu jua kwamba wewe kuwa tido muhando haikuhakikishii kwamba una akili sana kuliko Makonda wote wa daladala Tanzania

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wakanushe pia kuwa wanatuibia kwa kurudia rudia movie ktupitia cha

Wakanushe pia kwamba hawatuibii kwa kurudia rudia movie kupita Chanel zao za MBC pamoja na kwamba wametupandishia gharama!
 
Ni Tido na siyo tido.

Ni Mhando na siyo Muhando.

IQ test huwa inaanza na vitu vidogo tu.

Asante.
 
Maana yake baada ya siku 14 shija kama hatowasilisha ushahidi basi Azam media watamshitaki na kufungua case ya madai!
Shija kazi anayo….
 
Ni Tido na siyo tido.

Ni Mhando na siyo Muhando.

IQ test huwa inaanza na vitu vidogo tu.

Asante.
Sina hakika kama nimejipambanua kuwa nina IQ kiasi gani lakini inawezekana wewe ni mtaalamu wa kuandika

Kila mtu anaweza akaimba
kila mtu anaweza akacheza mpira
Lakini kuna watu wenye hizo fani
Ukilifahamu hilo basi huwezi kuwa mwalimu wa masahihisho humu ndani

Wenye akili hujibu hoja na siyo kutafuta vimakosa vya ajabu visivyo na msingi



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wakanushe pia kuwa wanatuibia kwa kurudia rudia movie ktupitia cha



Wakanushe pia kwamba hawatuibii kwa kurudia rudia movie kupita Chanel zao za MBC pamoja na kwamba wametupandishia gharama!
Hapo sio wizi mkuu
 
Ingia Kwenye website Yao na kurasa zao za mitandao ya kijamii
 
Hiyo barua umekaa kimchongo.. haijakidhi matakwa ya kisheria,. Barua gani haina saini...
 
Aloo sema kama nimemuelewa jamaa ivi, laki nane zimepigwa na bado kapigwa chini 😀 kuna watu wakaksii
 
Tunaamini ni official letter kwasababu imepostia na social account za Azam media sijaitoa popote tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…