Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Hawa wanafanya damage control tu, zinaweza kufika hizo siku 14 na wakamuacha tu.Maana yake baada ya siku 14 shija kama hatowasilisha ushahidi basi Azam media watamshitaki na kufungua case ya madai!
Shija kazi anayo….
Na rushwa za bongo kama mtu hukumdhamiria kumchomesha ni ngumu sana kupata ushahidi