Azam mmeweka channel nyingi sana za kidini za akina kuhani Gregory,Koses na Rogatusi

Azam mmeweka channel nyingi sana za kidini za akina kuhani Gregory,Koses na Rogatusi

Makuhani gani, si useme wamejaza chaneli za kiislam, kama mmilili ni muislam ataweka chaneli za kutukuza dini yake. Kama si mambo ya kibiashara angejaza chaneli zote za kiislam ahubiri uislam. By the way kuna ving'amuzi vingi unaweza kununua king'amuzi kingene kisicho na chaneli hizo nyingi
huyu alie lalamika ni mshenzi tu chuki ya udini inamtafuna hata dini ya uisilamu haijui hizo picha zinazo lushwa na azamu azina mahusiano na dini ya uwisilamu ni maigizo kama maigizo mengine tu sababu kaona waigizaji ni waarabu na mwenye kampuni ni mualabu tayali chuki ya uwisilamu imeanzia hapo,kweli waarabu mnawachukia sana pamoja na waisilamu lakini kodi zao mnazitaka
 
Una uhakika na unacho kinena ? mimi tafiti zangu Azam Tv channel za Kiislamu ni Iman ,Mahaasin na Africa swahili kama sikosei na za Kikiristo zinafika kam Nne hivi , kwa ufupi hakuna upande ambao unazidi mwingine kwa channel zaidi ya mbili hivyo sioni upendeleo wowote ule..
ndugu yangu watu hawa wanachuki sana tena sana hasa wakiona muarabu sasa hawa warabu wanalipa kodi wameajiri watu wengi tu kodi yao inalipa mishara ya watumishi wa umma mkopo ya wanafunzi wa elimu ya juu bado mpaka hayo masele ya makanisa yanapata ruzuku kutoka kwa baadhi ya hizo kodi zao baniani mbaya kiatu chake dawa tabia ya jiwe hiyo
 
Nilisha achana nao hao ma bwegee wafuga ndevu na wavaa kobasi hasa walipoleta upumbavu wa kutafsiri hayo ma series yao ya kifara,Mpaka wake zetu wamekua addicted hawahudumii familia pumb.vu sana hawa rubudani kwa yote
lakini kodi zao unazitaka zinakusaidia chuki ni zaidi ya uchawi
 
Nilisha achana nao hao ma bwegee wafuga ndevu na wavaa kobasi hasa walipoleta upumbavu wa kutafsiri hayo ma series yao ya kifara,Mpaka wake zetu wamekua addicted hawahudumii familia pumb.vu sana hawa rubudani kwa yote
Islamophobic can be cured
 
Basi ndiyo hivyo tena[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Azam ni kama maji usipoyanywa utayaoga,usipoyaoga utayanywa na usipoyanywa utachambia,na usipochambia utafulia na usipo fulia utayanawa[emoji108]

Unga,sukari,maji,kisimbuzi,nk


Kwani chanel ya mwamposa haipo kwa kisimbuzi cha azam baba lao???

Au mnataka nini??


Najisemeaga hivi mo dewj,Azam wangekuwa wa dini ile jamani tunge hama nchi wallaj,tungesimangwa kishenzi,
naongezea bado kodi wanayo kusanya na kulipa ni kubwa sana inawalipa walimu madwa nk hili uwe kafiri shariti uwe na chuki hata kama huna sababu ya kuchukia nchii hakuna kafiri alie ajiri vijana wengi kama hao wanao wachukia
 
Mpaka mkeo anafika hatua ya kuwa addicted na series na hakuhudumii basi jichunguze mkuu uwenda tatizo sio Azam tv
mungu mkubwa sana kuliko chochote,jamaa chuki yake kawasema wavaa kobazi(waisilamu)pia kajisahau mpaka katoa siri ya nyumbani kwake chuki ni zaidi ya uchawi
 
Mkuu hebu Fanya Kukiangalia Upya tena, kwa maana Channel za Dini Na madhehebu Mbalimbali zipo... Kwa Uharaka kuna Hizi za Kiislamu;
africa tv Swah
Tv Imaan
Zbc 2
Mahaasin TV
Tv Islam
Hizi ni Kwa haraka haraka wakati Upande wa Dini Ya Kikristu na Madhehebu yake kuna Hizi hapa
UPENDO TV KKKT
HOPE CHANNEL YA KISABATO
WRM TV ya Nabii gani sijui
Arise and Shine ya Mwamposa
Tumaini TV Wakatoliki
Nabii TV ya Nabii gani sijui
Haleluya TV
Testimony Tv
Trenet TV ya Efatha Church TZ
Jw Broadcasting ya Mashahidi wa Yehova na Habari za Mnara wa Mlinzi
Joy Gospel TV
Jehova Jire tv
Mzee wa Upako TV
Emannuel Tv ya TB Joshua
Amen TV
Winners Chapel TV
Gospel life
GeorDavie TV huyu Mwamba Ukiokota Bag la Nguo zake sidhani kama zinavalika [emoji3][emoji3][emoji3]


Kiufupi naona Kama Za Kikristo zimezidi hapo Sijaorodhesha zile za Kihindi.

Labda Ungesema AZAM TV imejaa Udini wa Kiislam pengine ningekubaliana nawe kwa maana Tunajionea msimu wa Krismass na pasaka ikifika wana act as if hakuna kitu, ila msimu wa Ramadan na Eid kunanoga. Waache ubaguzi
dawa yao hamia huko kwa mwamposa mbona amna kesi au chuki inakusumbua kwa chuki amjabo hehehe!!!!!!
 
Unasema wewe[emoji23], Naitwa Mardath M Mouhnd nionyeshe ubini wa Azam hapo.

Kobazi ni nini? Embu basi mjifunze kubalance shobo eti,

Home tuna kisimbuzi cha Dstv na startimes kwaajili ya tamthilia/watoto, sijawahi kuvutiwa na hicho kisimbuzi cha Azam,
unapo sikia mkiristo anasema kobazi tambua anawasema waisilamu tu chuki chuki
 
Kwani sio lazima kuangalia chagua unazotaka....Azam ni distributor wa channels za wengine ambao hawawezi kurusha channels zao na wanalipa kila mwezi ukiacha pesa ni huduma pia kama mtoa huduma alipewa leseni hiyo ....sio lazima tune channel usizopenda
 
Mtu anayetumia king'amz cha Azam huwa namshangaa, labda wenye vibanda umiza sababu ya mpira .... unakimbilia ving'amz vya hovyo hovyo wakat DSTV ipo
we ving,amz via azam achana navio tu nunua ngano maji sukari hata kodi analipa kubwa sana utamfaidi azam kwa njia hizo
 
Hao makuhani wanalipia hizo channel yani mtu asifanye biashara kisa kukufurahisha wewe.
 
Ama hakika nakerekwa na Azam tv kitendo Chao cha kujaza Channel nyingi za akina kuhani Gregory ama hakika inanikera yaani kama azam wasiponitelekezea hili nitauza king'amuzi cha Azam tv

Sijui kwanini Azam mna udini kiasi hiki mna upendeleo mkubwa kwa hii dini ya makuhani! Acheni hizo
Kama zinakukera si uziondoe ubaki na unazotaka.
Watanzania tunalialia hata vitu ambavyo havina maana
 
Kwenye hili naona azam wana channel nyingi za kikristo, kwa jinsi walivyo na uislam nadhani hizo channel za wakristo zisingekuwepo kabisa, hapo sawa lakini ndizo nyingi kuzidi za upande wao mi kuna channel za manabii nimezijulia azam, burudani kwa wote,
 
Hakuna channel ya kuangalia mule cha ajabu hata kina Mohammed, Yahaya ,Halima, Zainab wanakidiss kiukweli wameshika nafasi ya pili kwa kuchukiwa na mimi kutoka kile cha ki China sasa nakula Fiber watakoma
Unakiponda kuwa kinachukiwa wakati takwimu zinaonyesha ina wateja zaidi ya mara 4 ya DSTV yani kinaifuata startimes
 
Back
Top Bottom