AZAM na Baraka Mpenja punguzeni mahaba kwa Yanga, kuweni professionals

AZAM na Baraka Mpenja punguzeni mahaba kwa Yanga, kuweni professionals

Popote ulipo Baraka Mpenja napenda kukuambia kuwa ndugu zako Umalila wanakupenda sana ila jitahidi kudeal na kazi yako punguza mahaba na maelezo mengi kama watafsiri muvi za kivita kama Mkandala lufufu .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app

ukiutazama mpira wa yanga dstv unakuwa mtamu zaidi

majina yote mazuri aliyoyatoa Baraka Mpenja kwa wachezaji wa SIMBA SC pamoja na kuwapa wachezaji morali na mileage pamoja popularity nchini mfano mzuri MWAMBA WA LUSAKA, PUTIN, MK14, SHOW ME THE WAY, THE LEFT FOOTER MAGICIAN [emoji145],

Nikazi ya comentantor kufurahisha upande uliofurahi.

Hata wakati Simba anafanya vizuri uwanjani nimeshuhudia mara nyingi Mpenja akituma madongo kwa Yanga.

Yaani wamecheza game mbili hawakusema hata siku moja kwamba ile timu msimu uliopita iliishia nafasi ya pili kwenye ligi yao na kwa nini inashiriki badala ya bingwa. Hawakusema pia kwa nini wamechezea mechi yao Dar badala ya kwao. Inawezekana hata ukimpigia simu sasa hivi hana majibu. Hii ndiyo inatofautisha hawa watangazaji wa AZAM na wa nje maana hawa kina Mpenja hawafanyi utafiti kabla ya mechi. Haya mambo ya sijui kuwapa majina wachezaji ni upuuzi mtupu si kazi yake hiyo.
 
Yanga, Simba, Azam ama timu yoyote ile watachukua ubingwa kwa kucheza na kushinda mechi zao uwanjani na kupata matokeo stahiki na wala sio kwa kusifiwa ama kupondwa na mtangazaji
Kuna muda mashabiki tunazidisha sana mahaba na kutaka kuweka mpira moyoni na kichwani kama ndo chakula ama pesa vile. Propaganda zilikua wakati wa usajili sasa ni muda wa kuona mafanikio ya sajili zilizofanyika vile ambavyo itazisaidia timu husika kushinda mechi na ubingwa na mafanikio zaidi kwenye mashindano ya kimataifa na wala sio huo upuuzi ambao mtoa mada anaongelea wa kina Baraka Mpenja hauna impact yoyote ndani ya uwanja
 
Nikazi ya comentantor kufurahisha upande uliofurahi.

Hata wakati Simba anafanya vizuri uwanjani nimeshuhudia mara nyingi Mpenja akituma madongo kwa Yanga.
Kuna siku huwa unaharibu reputation yako huwa nabaki nasikitika Sana. Hivi ni Nani aliyetangaza lile goli la Chama " Wanaosikitika wako wapi?"
Kuhusu ubora wa kurusha matangazo Siyo tatizo la Mpenja labda mleta mada ana bifu binafsi na Mpenja. Goli la 4 la Yanga mpaka linafungwa kamera ilikuwa inaonyesha benchi la Wachezaji wa akiba. Labda aseme timu nzima ya matangazo ya Azam ni mbovu Kwa Sasa lakini kusema kuna upendeleo kwenye urushaji matangazo kisa Mpenja ni kumuonea.
Big up kwako Kwa kuwa mkweli siku zote.
Facts speaks louder than speculations.
 
Yaani wewe una namba 9, 10 Kibu Denis na John Boko Mwenzako ana Pacome, Aziz k alafu raha zenu zifanane!! Wewe kwenye kiungo una Mzamiru na Kanute Mwenzako ana Aucho na Mudathiri mnataka raha zenu ziwe sawa!!

Mwenzako kwenye ngao anatupia Kamba mbili na mpira unapigwa mwingi mpaka una mwagika wewe unafaidika makosa ya kibinadamu yenye dhulma ndani yake.

Unataka usifiwe wewe ambaye shot on target kwenye mechi ya watani mnaipata dk ya 76?
Acha dharau kwenye kazi za watu.
 
Azam wanaonyesha mpira kwa mazoea, hata mechi ya juzi ya yanga badala ya kuonyesha mpira wanaonyesha watu jukwaani ile kurudi mpira unaingia golini hata moves hazikuonyeshwa.
Kuhusu watangazaji wengi hawana maadili ya kazi, mechi iwe ya yanga au Simba inapoonyeshwa kwanini ulinganishe matukio na upande was pili.
Sema hapana kwa pira papatu papatu
 
Jana nilipokuwa nafuatilia gemu ya Yanga, nilikuwa nasikia mahaba ya kupitiliza kwa timu ya Yanga kutoka kwa mtangazaji Baraka Mpenja na hii siyo mara ya kwanza kuliona hili.

Jana alikuwa anatoa kauli kama "upande wa pili nao watakuwa wakienda chooni wanasema Yanga kweli anapiga mpira mwingi" na kauli aliyokuwa anairudia mara nyingi ni "huu ni mpira wa kitabuni, siyo mpira wa papatu papatu". Ulikuwa unawalenga kina nani kwa kauli hizo?

Viongozi wa Simba nao waamke, hali iliyokuwepo msimu uliopita ya kuishi kinyonge haitaifikisha hii timu popote. Karibia media zote sasa hivi ziko kwenye payroll ili kuichafua Simba. Mnaweza kuyaona haya mambo ni madogo ila media ina nguvu sana inaweza kuupamba uongo hadi ukaonekana kweli.

Azam kiujumla ni kama wamekuwa na bifu na Simba ndiyo maana wanasimba wengi wanafurahi mnapofanya vibaya. Uwanjani mnaikamia Simba halafu Yanga wanajipigia wanavyotaka.

Mechi zinazochezwa uwanja wa Uhuru hawafanyi coverage nzuri, Camera ya muhimu inawekwa chini na muda wote unaona kwanza mabenchi na nguzo kabla haujawaona wachezaji waliopo uwanjani. Mechi za mikoani hawaweki camera za kuonyesha offside, matokeo yake minong'ono kuwa Simba inabebwa na marefa inakuwa na nguvu bila ushahidi wa kutosha. Inabidi wawepo watu ndani ya Simba kuhakikisha mechi zake hasa zile za nyumbani zinatangazwa ipasavyo.

Kwa ujinga huu ndiyo maana wengine ikifika makundi tu ya CAF tunaswitch DSTV. Watangazaji wa nje wanatoa facts siyo mahaba binafsi na pia hawatangazi mpira kama wako redioni.

Nimemaliza.
Kweli Binadamu tumeumbwa kusahau.Hivi unakumbuka Simba alivyokuwa anasifiwa enzi za Simba ya Luis na Chama,,enzi zile za Yanga ya Zahera na bakuli?.Sasa kama umesahau,,ndo ujue kibao kimegeuka,,tena ni huyu huyu Mpenja aliyekuwa anawamwagia sifa Simba.Alifanya hivyo kwa sababu ya ubora wa kikosi walichokuwa nacho Simba ukilinginisha na wapinzani wao

Kwa sasa Yanga wana ubora unaostahili kusifiwa,,so wacha wasifiwe ,wanastahili
 
Jana nilipokuwa nafuatilia gemu ya Yanga, nilikuwa nasikia mahaba ya kupitiliza kwa timu ya Yanga kutoka kwa mtangazaji Baraka Mpenja na hii siyo mara ya kwanza kuliona hili.

Jana alikuwa anatoa kauli kama "upande wa pili nao watakuwa wakienda chooni wanasema Yanga kweli anapiga mpira mwingi" na kauli aliyokuwa anairudia mara nyingi ni "huu ni mpira wa kitabuni, siyo mpira wa papatu papatu". Ulikuwa unawalenga kina nani kwa kauli hizo?

Viongozi wa Simba nao waamke, hali iliyokuwepo msimu uliopita ya kuishi kinyonge haitaifikisha hii timu popote. Karibia media zote sasa hivi ziko kwenye payroll ili kuichafua Simba. Mnaweza kuyaona haya mambo ni madogo ila media ina nguvu sana inaweza kuupamba uongo hadi ukaonekana kweli.

Azam kiujumla ni kama wamekuwa na bifu na Simba ndiyo maana wanasimba wengi wanafurahi mnapofanya vibaya. Uwanjani mnaikamia Simba halafu Yanga wanajipigia wanavyotaka.

Mechi zinazochezwa uwanja wa Uhuru hawafanyi coverage nzuri, Camera ya muhimu inawekwa chini na muda wote unaona kwanza mabenchi na nguzo kabla haujawaona wachezaji waliopo uwanjani. Mechi za mikoani hawaweki camera za kuonyesha offside, matokeo yake minong'ono kuwa Simba inabebwa na marefa inakuwa na nguvu bila ushahidi wa kutosha. Inabidi wawepo watu ndani ya Simba kuhakikisha mechi zake hasa zile za nyumbani zinatangazwa ipasavyo.

Kwa ujinga huu ndiyo maana wengine ikifika makundi tu ya CAF tunaswitch DSTV. Watangazaji wa nje wanatoa facts siyo mahaba binafsi na pia hawatangazi mpira kama wako redioni.

Nimemaliza.
Kenge wewe. Upande wa pili ndiyo upi?
Utaje
 
Kweli Binadamu tumeumbwa kusahau.Hivi unakumbuka Simba alivyokuwa anasifiwa enzi za Simba ya Luis na Chama,,enzi zile za Yanga ya Zahera na bakuli?.Sasa kama umesahau,,ndo ujue kibao kimegeuka,,tena ni huyu huyu Mpenja aliyekuwa anawamwagia sifa Simba.Alifanya hivyo kwa sababu ya ubora wa kikosi walichokuwa nacho Simba ukilinginisha na wapinzani wao

Kwa sasa Yanga wana ubora unaostahili kusifiwa,,so wacha wasifiwe ,wanastahili
Mwamba alitaka mechi ya Yanga isifiwe simba
 
Yaani wewe una namba 9, 10 Kibu Denis na John Boko Mwenzako ana Pacome, Aziz k alafu raha zenu zifanane!! Wewe kwenye kiungo una Mzamiru na Kanute Mwenzako ana Aucho na Mudathiri mnataka raha zenu ziwe sawa!!

Mwenzako kwenye ngao anatupia Kamba mbili na mpira unapigwa mwingi mpaka una mwagika wewe unafaidika makosa ya kibinadamu yenye dhulma ndani yake.

Unataka usifiwe wewe ambaye shot on target kwenye mechi ya watani mnaipata dk ya 76?
Acha dharau kwenye kazi za watu.
Lini Boko au Kibu kacheza namba 10, tuanzie hapo kwanza
 
Nikazi ya comentantor kufurahisha upande uliofurahi.

Hata wakati Simba anafanya vizuri uwanjani nimeshuhudia mara nyingi Mpenja akituma madongo kwa Yanga.
Na ndiye mwanzilishi wa neno mpira biriani, kipindi ambacho Simba wanaupiga mwingi wakati huo Yanga wanacheza mpira bora uende. Leo hii mtu anaona wivu kazi ile ile ya mtangazaji akifanyiwa timu pinzani.
 
Na ndiye mwanzilishi wa neno mpira biriani, kipindi ambacho Simba wanaupiga mwingi wakati huo Yanga wanacheza mpira bora uende. Leo hii mtu anaona wivu kazi ile ile ya mtangazaji akifanyiwa timu pinzani.
Ulishawahi msikiliza peter drury kwa hiyo ulitaka mechi ya yanga aisifie simba ila tanzania kuna vituko

Unaweza kumsifia mtu, watu au timu bila kukashfu au kudhihaki wengine. Mtangazaji pro anayejitambua atatangaza mpira huku anajua siyo kila anayeangalia ni mpenzi wa timu fulani kwa hiyo lazima shobo lako liwe la vipimo. Katika ile mechi kulikuwa na watazamaji wa ASAS na wasio na timu na wote hao wamelipia ving'amuzi, kwa hiyo wamekulipa pesa ili wewe uwakwaze? Hata hilo mnashindwa kuling'amua ndugu zangu?

Tunapoongelea kuongeza weledi katika mpira hata mambo haya ni ya kuyaangalia.
 
Unaweza kumsifia mtu, watu au timu bila kukashfu au kudhihaki wengine. Mtangazaji pro anayejitambua atatangaza mpira huku anajua siyo kila anayeangalia ni mpenzi wa timu fulani kwa hiyo lazima shobo lako liwe la vipimo. Katika ile mechi kulikuwa na watazamaji wa ASAS na wasio na timu na wote hao wamelipia ving'amuzi, kwa hiyo wamekulipa pesa ili wewe uwakwaze? Hata hilo mnashindwa kuling'amua ndugu zangu?

Tunapoongelea kuongeza weledi katika mpira hata mambo haya ni ya kuyaangalia.
Aisee ! Sikuwahi kujua kwamba maumivu ni makali kiasi hiki! Kumbe mnateseka sana! NA BADO! MTASEMA YOTE MWAKA HUU!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom