AZAM na Baraka Mpenja punguzeni mahaba kwa Yanga, kuweni professionals

AZAM na Baraka Mpenja punguzeni mahaba kwa Yanga, kuweni professionals

Unaweza kumsifia mtu, watu au timu bila kukashfu au kudhihaki wengine. Mtangazaji pro anayejitambua atatangaza mpira huku anajua siyo kila anayeangalia ni mpenzi wa timu fulani kwa hiyo lazima shobo lako liwe la vipimo. Katika ile mechi kulikuwa na watazamaji wa ASAS na wasio na timu na wote hao wamelipia ving'amuzi, kwa hiyo wamekulipa pesa ili wewe uwakwaze? Hata hilo mnashindwa kuling'amua ndugu zangu?

Tunapoongelea kuongeza weledi katika mpira hata mambo haya ni ya kuyaangalia.
Kwahiyo kilichokukera ni Mpenja kusema upande ule Wana pira papatupapatu!?

Aaahaaaa
 
Jana nilipokuwa nafuatilia gemu ya Yanga, nilikuwa nasikia mahaba ya kupitiliza kwa timu ya Yanga kutoka kwa mtangazaji Baraka Mpenja na hii siyo mara ya kwanza kuliona hili...
Baraka Mpenja, Mwamba wa Umalila Fahari ya Itete, Huyu ni Simba lialia na kuna kipindi alisimamishwa kutangaza mpira na Azam baada ya kutangaza goli la Kagera Sugar walilowafunga Simba kinyonge kama vile hajafurahishwa watu walilalamika kwamba alionyesha mapenzi ya dhahiri rejea goli hilo siku Magu akiwa uwanjani Simba alikuwa unbeaten before that match
 
Jana nilipokuwa nafuatilia gemu ya Yanga, nilikuwa nasikia mahaba ya kupitiliza kwa timu ya Yanga kutoka kwa mtangazaji Baraka Mpenja na hii siyo mara ya kwanza kuliona hili...
Naomba takwimu Kati ya Simba na Yanga nani amemfunga Azam mara nyingi??

Kama jibu ni Simba kwann useme Azam huwa anajiregeza akicheza na Yanga ili afungwe lakn Kwa Simba anakaza??
 
Baraka Mpenja, Mwamba wa Umalila Fahari ya Itete, Huyu ni Simba lialia na kuna kipindi alisimamishwa kutangaza mpira na Azam baada ya kutangaza goli la Kagera Sugar walilowafunga Simba kinyonge kama vile hajafurahishwa watu walilalamika kwamba alionyesha mapenzi ya dhahiri rejea goli hilo siku Magu akiwa uwanjani Simba alikuwa unbeaten before that match
Amekuwa na tatizo hili kitambo. Ndiyo maana nasema mtangazaji hautakiwi kuonyesha mahaba yaliyopitiliza kwa timu fulani, haijalishi timu hiyo ni ipi. Nimewahi kusikia watangazaji wa mpira wa Azam wanakosoa maamuzi ya refa waziwazi.

Nashauri watangazaji wao wote na wachanganya picha warudi darasani wafundishwe mpira wa kisasa unatangazwaje na unarushwaje. Mapungufu ni mengi.
 
Waendelee tu ila haisaidii kitu cos mpira unachezwa uwanjani...huyo mpenja ni proffesional sana huyo..siku zuzu akikosea utaona atavomnanga mpaka utamshangaa
 
Baraka Mpenja, Mwamba wa Umalila Fahari ya Itete, Huyu ni Simba lialia na kuna kipindi alisimamishwa kutangaza mpira na Azam baada ya kutangaza goli la Kagera Sugar walilowafunga Simba kinyonge kama vile hajafurahishwa watu walilalamika kwamba alionyesha mapenzi ya dhahiri rejea goli hilo siku Magu akiwa uwanjani Simba alikuwa unbeaten before that match
Acha uongo.
 
Muulize aliyesema. Na kwa kuwa alikuwa anarudiarudia itakuwa anaamini kuna timu inacheza hivyo
Acha kujihisi mkuu kwani simba inaitwa 'ule upande wa pili' harafu yeye amesomea kazi yake wewe ni nani uje umpangie aisifie timu yako ili kukufurahisha kwenye hakuna.
 
Mpeni Panadol atapasua kichwa tayari mishipa ya kichwa ishasimama kama viazi vitamu vya shinyanga..
 
Sasa Makolo mnavyocheza mpira wa hovyo a.k.a papatupapatu msiambiwe? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ninyi hamna kitu mnacheza eti
 
"Nani anateseka, wanaoteseka wapo wapi, kwanini uteseke, nani alisema Simba haiendi makundi..." Baraka Mpenja kwenye ubora wake...anyway mtoa maada hapo Mpenja alikuwa anawasema kina nani wanaoteseka?
 
Jana nilipokuwa nafuatilia gemu ya Yanga, nilikuwa nasikia mahaba ya kupitiliza kwa timu ya Yanga kutoka kwa mtangazaji Baraka Mpenja na hii siyo mara ya kwanza kuliona hili.


Nimemaliza.
Ujinga mtupuuuu....
 
Duuh..!! nimejitahidi kusoma andiko lote lakini nikagundua mwandishi anamsongo wa mawazo coz anajaribu kusema majina yote mazuri aliyoyatoa Baraka Mpenja kwa wachezaji wa SIMBA SC pamoja na kuwapa wachezaji morali na mileage pamoja popularity nchini mfano mzuri MWAMBA WA LUSAKA, PUTIN, MK14, SHOW ME THE WAY THE LEFT FOOTER MAGICIAN [emoji145]

Pira BIRIANI na mengine mengi kumbe Alikuwa analipwa na SIMBA afanye yote hayo, harafu unataka kutumbia akina Saleh Jembe, bin Kazumari, Jef Lea, pamoja na wenzao wote wanalipwa na SIMBA?

Kinachotakiwa Viongozi wasajili vzr, walete walimu wazuri na timu icheze mpira mzuri pamoja na matokeo mazuri hivyo ndivyo vitu mashabiki wanataka.

#Poor thinking.
Mpenja kawapa majina sana wachezaji wa Simba, kawatungia nicknames kibao mpaka yakawa majitu ya kutisha., leo hii kuisifia yanga kawa ADUI.
 
Jana nilipokuwa nafuatilia gemu ya Yanga, nilikuwa nasikia mahaba ya kupitiliza kwa timu ya Yanga kutoka kwa mtangazaji Baraka Mpenja na hii siyo mara ya kwanza kuliona hili.

Jana alikuwa anatoa kauli kama "upande wa pili nao watakuwa wakienda chooni wanasema Yanga kweli anapiga mpira mwingi" na kauli aliyokuwa anairudia mara nyingi ni "huu ni mpira wa kitabuni, siyo mpira wa papatu papatu". Ulikuwa unawalenga kina nani kwa kauli hizo?

Viongozi wa Simba nao waamke, hali iliyokuwepo msimu uliopita ya kuishi kinyonge haitaifikisha hii timu popote. Karibia media zote sasa hivi ziko kwenye payroll ili kuichafua Simba. Mnaweza kuyaona haya mambo ni madogo ila media ina nguvu sana inaweza kuupamba uongo hadi ukaonekana kweli.

Azam kiujumla ni kama wamekuwa na bifu na Simba ndiyo maana wanasimba wengi wanafurahi mnapofanya vibaya. Uwanjani mnaikamia Simba halafu Yanga wanajipigia wanavyotaka.

Mechi zinazochezwa uwanja wa Uhuru hawafanyi coverage nzuri, Camera ya muhimu inawekwa chini na muda wote unaona kwanza mabenchi na nguzo kabla haujawaona wachezaji waliopo uwanjani. Mechi za mikoani hawaweki camera za kuonyesha offside, matokeo yake minong'ono kuwa Simba inabebwa na marefa inakuwa na nguvu bila ushahidi wa kutosha. Inabidi wawepo watu ndani ya Simba kuhakikisha mechi zake hasa zile za nyumbani zinatangazwa ipasavyo.

Kwa ujinga huu ndiyo maana wengine ikifika makundi tu ya CAF tunaswitch DSTV. Watangazaji wa nje wanatoa facts siyo mahaba binafsi na pia hawatangazi mpira kama wako redioni.

Nimemaliza.
Wakati Yanga inasajili nyie Makolo mlikuwa Uturuki kurekebisha shape, lazima mvune mlichokipanda.
 
Mpenja kawapa majina sana wachezaji wa simba, kawatungia nicknames kibao mpaka yakawa majitu ya kutisha., leo hii kuisifia yanga kawa ADUI.
Kwa hiyo kawa Baba Ubatizo? Halafu hakuna mtu aliyesema amekuwa ADUI
 
"Nani anateseka, wanaoteseka wapo wapi, kwanini uteseke, nani alisema Simba haiendi makundi..." Baraka Mpenja kwenye ubora wake...anyway mtoa maada hapo Mpenja alikuwa anawasema kina nani wanaoteseka?
Maneno aseme yeye uniulize mimi?
 
Hakukuwa na haja ya matusi mungu akusamehe bure
Unampangia mshehereshaji kusheheresha wenye shughuli yao?, Kama Simba inacheza pira papatupapatu asiseme?. Hata hivyo mtamgazaji kuna mahali aliitaja Simba?, mashabiki wasimba mnaongoza kuwa na nyuzi za kisengelema Sana humu... Hebu punguzeni ujuha nyambafu nyie.
 
Back
Top Bottom