Azam TV acheni ubaguzi kwa Wakristo

Azam TV acheni ubaguzi kwa Wakristo

Nikiwa kama mdau wa michezo hasa hizi za ligi yetu na uzalendo wa Nchi yetu niliamua Kwa upendo kabisa kununua Azam Tv (Nina DStv pia) ili niweze kuburudika.

Lakin kwa masikito makubwa hii media sio mara ya kwanza kufanya hivi ila kipind hiki Azam tv wameonesha wazi wazi ubaguzi wa kuonesha hawapendi /kuheshimu Iman za wakristo.

Msimu huu wa xmass wametuoneshea dharau na ubaguzi wa wazi kabisa yaani Azam Tv Wanasahau Kama Wateja Na Watangazaji Wao Wengine Ni Wakristo Wanaogopa Kutamka na Kuandika Neno 'Christmas' azamtvtz

Mnatubagua Sisi Wateja Wenu Sababu Ya Ukristo Wetu!?[emoji26][emoji1745] Hii jambo ni la ovyo sana na baada ya hili tazama hata hizo tamthilia zao nyingi AZAM TWO zimekaa kidini katika mwelekeo wa kuponda ukristo na kutukuza dini Yao.

Na hata wafanyakazi wao huko Azam Media wapeana ajira kiubaguzi na wakristo waliopo ni wale wenye kipaji haswa yaani sio wa kubahatisha.
Nashukuru similiki hiki kisimbuzi
 
Cha ajabu ITV iliyoanzishwa na mkristo mwaka 1994, tangu ilipoanzishwa imekaa kipagani pagani tu hadi leo. Hata kurusha nyimbo za injili watu walilalamika sana ndipo wakaanza kurusha baada ya miaka mingi ya kulalamika, tena kwa nusu saa tu kwa wiki.
Mengi alikua mfanyabiashara siyo mmishenari wa walutheri, japo alitoa sadaka na michango mingi sana
 
Qur an inamajibu mazuri sana aisee...tupate kidogo neno la Mungu


يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا بِطَانَةً مِّن دُونِكُمْ لَا يَأْلُونَكُمْ خَبَالًا وَدُّوا مَا عَنِتُّمْ قَدْ بَدَتِ الْبَغْضَاءُ مِنْ أَفْوَاهِهِمْ وَمَا تُخْفِي صُدُورُهُمْ أَكْبَرُ ۚ قَدْ بَيَّنَّا لَكُمُ الْآيَاتِ ۖ إِن كُنتُمْ تَعْقِلُونَ

[ AL I'MRAN - 118 ]
Enyi mlio amini! Msiwafanye wasiri wenu watu wasio kuwa katika nyinyi. Hawataacha kukufanyieni ubaya. Wanayapenda yanayo kudhuruni. Imekwisha fichuka chuki yao katika midomo yao. Na yanayo ficha vifua vyao ni makubwa zaidi. Tumekwisha kubainishieni Ishara ikiwa nyinyi mtayatia akilini.
Ujumbe👆
 
Jikite kuangalia maudhui uliyokuwa umelenga pindi unanunua king'amuzi cha azam, maana nafikiri channel zao wamezionyesha kwenye kipeperushi......hayo mengine waachie ni maswala yao ya kimenejimenti.
Umejibu vyema, japo mechi hazichezwi kila siku, muda mwingine unabadilisha ladha
 
Sema maskini huwa wanajihisi wana haki muda wote.

Anyway, yaani kuwishiwa tu mtu anatoka povu mpaka anasema "tutasusia bidhaa za bakhresa".

Mbona naona hapa kuna tangazo la wale waendesha magari kuna kile kinanda cha jingle bell na jamaa wanasema merry christmas?

msijijaze upepo sana ndugu, mfano mimi nalipia king'amuzi ila huwa naangalia mpira tu hizo channel zingine sijawahi fuatilia kabisa.

Yaani mtu ananunua king'amuzi ili aangalie kasoro zake? Huo muda mnatoa wapi?
 
Hapana huu upumbavu Azam vameanza nao zamani sana sema wakristo wajinga sana, mimi niliona tangu zamani sana na never siwezi kuwa na dish Azam wala kuangalia Azam tv never.

Azam ni wadini tena ni fedheha kuangalia Azam
We jamaa ni KICHAA
 
Muhammad alisema: Usiwasalimie Wayahudi na Wakristo kabla ya kukusalimu na ukikutana na yeyote kati yao kwenye barabara mlazimishe aende sehemu nyembamba kabisa ya njia (mtaroni).
Sahih Muslim 2167
kwai hilo 👆nalo ni lalamiko au kitugani?
 
kwai hilo 👆nalo ni lalamiko au kitugani?
Ni muongozo wa waislamu, huruhusiwi ata kutoa Salam kwa wakristo na wayahudi

Muhammad alisema: Usiwasalimie Wayahudi na Wakristo kabla ya kukusalimu na ukikutana na yeyote kati yao kwenye barabara mlazimishe aende sehemu nyembamba kabisa ya njia (mtaroni).
Sahih Muslim 2167
 
Acha kulia lia hata kwenye mambo ya kijinga, kwani kwa kufanya hivyo wangekuogezea msosi nyumbani!?
 
Sisi waislam tumeagizwa kupendana sisi kwa sisi ni marufuku kutamka jina Yesu ndio maana tunamuita Issa
 
Ni muongozo wa waislamu, huruhusiwi ata kutoa Salam kwa wakristo na wayahudi

Muhammad alisema: Usiwasalimie Wayahudi na Wakristo kabla ya kukusalimu na ukikutana na yeyote kati yao kwenye barabara mlazimishe aende sehemu nyembamba kabisa ya njia (mtaroni).
Sahih Muslim 2167
Wakristo na wayahudi walikua wakiwavuta nguo wanawake wa kiislam wanabaki uchi mitaani na visa vingine vingi sana wakati huo vilifanywa na wakristo na wayahudi dhidi ya waislam.

sasa ukiona Muhammad kapewa amri hiyo basi ipo sababu,embu anzia mwanzo nini kilitokea mpaka Muhammad akapewa iyo amri.
 
Mmililiki wa azam tv ni muislam kindakindaki, anahubiri uislam kwenye media zake, kuhubiri ukristo ni kutangaza dini asiyoiamini. Media zake zimekuwa zikiona ukakasi kuweka channel za kikristo. Zikiwekwa ni moja tu ambayo ni maarufu ili kuvutia wakristo kununua ving'amuzi vyake. Upande wa ajira nako kipaumbele ni wa dini yake, kwa ujumla kampuni hii imejaa udini na ubaguzi
 
Wakristo na wayahudi walikua wakiwavuta nguo wanawake wa kiislam wanabaki uchi mitaani na visa vingine vingi sana wakati huo vilifanywa na wakristo na wayahudi dhidi ya waislam.

sasa ukiona Muhammad kapewa amri hiyo basi ipo sababu,embu anzia mwanzo nini kilitokea mpaka Muhammad akapewa iyo amri.
Embu weka hiyo Hadith

Ila amri ya Allah ni kuwasukuma wakristo na kutowasalimia

Muhammad alisema: Usiwasalimie Wayahudi na Wakristo kabla ya kukusalimu na ukikutana na yeyote kati yao kwenye barabara mlazimishe aende sehemu nyembamba kabisa ya njia (mtaroni).
Sahih Muslim 2167
 
Wanajivua nguo, usitetee ujinga.

Kama wanajua watazamaji wao wana imani tofauti, hawatakiwi kuwabagua, wanachofanya ni ushamba na ubinafsi.

Vinginevyo wasiuze dikoda zao kwa wasio wa imani yao, lakini kama kwenye biashara wako tayari kupokea pesa ya yule asiye wa imani yao, lakini kwenye salamu hawataki kutoa salamu kwao, Azam ni washamba, na wasipoangalia kwa huu ujinga wao mbele ya safari utawa cost, mambo huanza taratibu.
Mimi ni mkristu safi kabisa ila sihitaji mtu mwingine ahangaike na Iman yangu naamini katika Baba mwana na roho mtakatifu inatosha
 
Ving'amuzi vya azam kama si mpira vitadoda sokoni kwa kuwa na idadi ndogo ya wanunuzi. Mkristo gani atanunua king'amuzi ambacho hakina channel za kutosha? Mbona zuku, star times na dstv wanasherehekea christmas na wateja wao? yaani kampuni inapewa masafa na umma halafu inaleta dharau kwa wateja wake wasioamini dini yake hii si nzuri. Hiyo kampuni iachane na udini iwe fair kwa wateja wake wa dini zote
 
Nikiwa kama mdau wa michezo hasa hizi za ligi yetu na uzalendo wa Nchi yetu niliamua Kwa upendo kabisa kununua Azam Tv (Nina DStv pia) ili niweze kuburudika.

Lakin kwa masikito makubwa hii media sio mara ya kwanza kufanya hivi ila kipind hiki Azam tv wameonesha wazi wazi ubaguzi wa kuonesha hawapendi /kuheshimu Iman za wakristo.

Msimu huu wa xmass wametuoneshea dharau na ubaguzi wa wazi kabisa yaani Azam Tv Wanasahau Kama Wateja Na Watangazaji Wao Wengine Ni Wakristo Wanaogopa Kutamka na Kuandika Neno 'Christmas' azamtvtz

Mnatubagua Sisi Wateja Wenu Sababu Ya Ukristo Wetu!?[emoji26][emoji1745] Hii jambo ni la ovyo sana na baada ya hili tazama hata hizo tamthilia zao nyingi AZAM TWO zimekaa kidini katika mwelekeo wa kuponda ukristo na kutukuza dini Yao.

Na hata wafanyakazi wao huko Azam Media wapeana ajira kiubaguzi na wakristo waliopo ni wale wenye kipaji haswa yaani sio wa kubahatisha.
Nawasihi sana radio tumaini, wao japo ni wakatoliki ila kwenye siku kuu za kiislamu huwa wanatoa nafasi kwa salamu na kupiga nyimbo za off nk.
 
Back
Top Bottom