State Propaganda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2024
- 542
- 1,286
SahihiDawa yake unakuwa hufatilii tu channels hizo kama mpenda tamthiliya nenda channel Romanza nk utakuta za kifilipino nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihiDawa yake unakuwa hufatilii tu channels hizo kama mpenda tamthiliya nenda channel Romanza nk utakuta za kifilipino nk
So kushindana na professor ushahidi wako ni Dictionary,
Hawa watu Wana maisha magumu sana maana kila kitu kwao ni complicated hawajui hata hizi tamthilia ni mafunzo ya maisha halisiSasa mkuu unafanya kazi saa zote? Mind relaxation jambo mhimu..au ishu ni tamthliya lakini kurelqx kivingine sawa?
Na ukiwa timamu ndo utaliona hilimovies and siries ni sialaha za kijasusi wa kiuchumi,mtindo na kiutawala... tv pia ni silaha kichwa kikishindwa kudadavua yanayoonekana kwa macho..balaa litakukuta kama hili..
Haijalishi ni Mimi au nani anayepaswa kuangalia ninachokiangazia hapa ni usawa katika jamii uwiano wa maudhui na kutoa hisia kandamizi dhidi ya kundi fulaniIkifika saa nne weka Azam One huko kuna series za marekani hii itakusaidia kuepuka maudhui ya Azam Two, mwanzoni nilikuwa naangalia hizo tamthilia ila nilikuja kuacha baada ya kuona story zake zinafanana tu, nikahamia Azam one huko ni moto sasa hivi inaisha Godfather of Harlem then ianze Snowfall.
KAMA UNA MGOGORO NA DINI FULANI NI WEWE MKUUHakuna kinachokuzwa ukiwa timamu utaona hili ni tatizo ni kwa sababu umeamua tu kuegemea kwenye "dini ya haki"
Ulionaga wapi zaidi ya Azam
Mwanamke moja anaua wanaume ishirini tutumie logic tu
Jana nimerudi nimechoka nikafikia kujitupa tu kwenye kiti hakukuwa na mtu sebuleni ila TV ilikuwa inaonesha chaneli ya Azam 2
Macho yangu yakaona kipande kimoja kwenye tamthilia ya kituruki bila shaka inaitwa Alpasalani nadhani, Sasa Kuna Binti alikuwa Yuko kwenye mtego na viongozi wa utawala mwingine inaonesha huo utawala una Ukristu maana askari wake wana misalaba kwenye mavazi yao.
Sasa hawa askari aisee ni midebwedo vibaya mno yaani mwanamke moja anaua infidels (humo wanaita wadhalimu) zaidi ya 20 mbele ya kiongozi wao halafu Yuko pekeake na bado anaendelea kusurvive!? Duuuh ina maana hao ni wanyonge kiasi hiko? Halafu mule inaonesha waislamu ni watu wema sana na wakristu ni watu wenye Roho mbaya mno na hii chanel secular ila inabagua Imani moja na kuipendelea ingine.
Ututuki ni nchi ambayo raia wake wengi ni waislamu hivyo ni sawa kuwa na maudhui kama Yale, Sasa Tanzania hii ni multi religion county huwezi kuwa na maudhui hayo hayo tu kila siku ya kukandamiza Imani moja na kuipendelea ingine kulikuwa na;
Zote hizi maudhui ni yaleyale.
- Ertugrul
- Ottoman
- Barbarossa na Sasa ni hii
- Alpasalani
Azam tv badilikeni, hela tunalipa sisi lakini mnatutibua nyingi makusudi kabisa.
Na huu mwezi nitaacha kulipia hiki kisimbuzi kama ni ligi kuu nitaangalia bandani na kisimbuzi nitanunua cha startimes.
Azam tv mjifunze kwa wenzenu, mbona wao wanajua mipaka yao.
Mnakera bwana aah!