Azam TV badilisheni Tamthilia zenye mlengo wa itikadi za kidini

movies and siries ni sialaha za kijasusi wa kiuchumi,mtindo na kiutawala... tv pia ni silaha kichwa kikishindwa kudadavua yanayoonekana kwa macho..balaa litakukuta kama hili..
 
Mkwawa punguza makasiriko angalia tv ya Mwamposya au Jehovah Jire mchana na usiku kucha nani anakuzuia wewe mshamba?👹
 
Ikifika saa nne weka Azam One huko kuna series za marekani hii itakusaidia kuepuka maudhui ya Azam Two, mwanzoni nilikuwa naangalia hizo tamthilia ila nilikuja kuacha baada ya kuona story zake zinafanana tu, nikahamia Azam one huko ni moto sasa hivi inaisha Godfather of Harlem then ianze Snowfall.
 
Sasa mkuu unafanya kazi saa zote? Mind relaxation jambo mhimu..au ishu ni tamthliya lakini kurelqx kivingine sawa?
Hawa watu Wana maisha magumu sana maana kila kitu kwao ni complicated hawajui hata hizi tamthilia ni mafunzo ya maisha halisi
 
movies and siries ni sialaha za kijasusi wa kiuchumi,mtindo na kiutawala... tv pia ni silaha kichwa kikishindwa kudadavua yanayoonekana kwa macho..balaa litakukuta kama hili..
Na ukiwa timamu ndo utaliona hili
Na watu hapa wanakuja na majibu mepesi eti " badilisha chanel" yaani kama kitu cha kawaida hawaoni chuki inayopandwa ndani ya jamii hapa waislamu watajiona superior kuliko wakristu

Hizi tamthilia na filamu zina impact ya hali ya juu ya kubadili mtazamo wa watu
 
Mkwawa punguza makasiriko angalia tv ya Mwamposya au Jehovah Jire mchana na usiku kucha nani anakuzuia wewe mshamba?👹
Mwamposa ile iko mahususi kwa ajili ya kazi zake na hiyo Jehovah jire ni taaisi ya kidini ila Azam two ni universal hivyo ninachokisema kina maana
 
Haijalishi ni Mimi au nani anayepaswa kuangalia ninachokiangazia hapa ni usawa katika jamii uwiano wa maudhui na kutoa hisia kandamizi dhidi ya kundi fulani
 
Hakuna kinachokuzwa ukiwa timamu utaona hili ni tatizo ni kwa sababu umeamua tu kuegemea kwenye "dini ya haki"
KAMA UNA MGOGORO NA DINI FULANI NI WEWE MKUU
 
Ulionaga wapi zaidi ya Azam
Mwanamke moja anaua wanaume ishirini tutumie logic tu

mkuu sasa si ndio filamu, ulisahau Rambo na arnod walipiga kambi nzima?mbona hulalamiki hilo
 
mkuu sasa si ndio filamu, ulisahau Rambo na arnod walipiga kambi nzima?mbona hulalamiki hilo
Sijawahi kuziona hizo tamthilia unazozisemea Mimi naongelea nilichokiona
 
Nina mwaka wa 5 nshakitupa hiki kijamaa sababu ya hizo tamthilia zao, nliona watoto wanachokijenga kichwan mwao sitoweza kuki control vichwani mwao siku za usoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…