NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Kituo cha Habari cha Azam TV kimefuta mahojiano waliyofanya na mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele katika kurasa zake zote za mitandao ya kijamii baada ya klabu ya Yanga kuripotiwa kuitaka Azam TV kufanya hivyo.
Mahojiano hayo yaliyonukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini yalijikita katika kuichafua klabu ya Yanga pamoja na mpira wa Tanzania kiujumla na kuzua mjadala mkubwa miongoni mwa wafuasi wa soka.
Azam Media wanapaswa kujitokeza hadharani na kuomba Radhi kwa upuuzi walioufanya kwani wamechafua taasisi na tasnia ya mpira wetu huu kwa ujumla.
Ukisikiliza interview ya Fiston kalala Mayele imejaa kashifa ya udhalilishaji wa viongozi pamoja na ligi yetu kwa jumla lakini Azam media bila kujali/kuchuja wameipost.
Maoni Yangu: Endapo Azam media wasipoomba Radhi mashabiki wa Yanga na viongozi pamoja na wadau wa mpira basi itafahamika kuwa Azam media watakua wametumika kuichafua Yanga Sc na mpira wetu kwa ujumla.
Mahojiano hayo yaliyonukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini yalijikita katika kuichafua klabu ya Yanga pamoja na mpira wa Tanzania kiujumla na kuzua mjadala mkubwa miongoni mwa wafuasi wa soka.
Azam Media wanapaswa kujitokeza hadharani na kuomba Radhi kwa upuuzi walioufanya kwani wamechafua taasisi na tasnia ya mpira wetu huu kwa ujumla.
Ukisikiliza interview ya Fiston kalala Mayele imejaa kashifa ya udhalilishaji wa viongozi pamoja na ligi yetu kwa jumla lakini Azam media bila kujali/kuchuja wameipost.
Maoni Yangu: Endapo Azam media wasipoomba Radhi mashabiki wa Yanga na viongozi pamoja na wadau wa mpira basi itafahamika kuwa Azam media watakua wametumika kuichafua Yanga Sc na mpira wetu kwa ujumla.