Azam Tv kutoonesha Ligi kuu Tz bara msimu ujao

Azam Tv kutoonesha Ligi kuu Tz bara msimu ujao

Tatizo kubwa la wafanyabiashara wa tanzania ndio maana hatuendelei
1. Unakuta mtu amefunga yeye kwa imani yake iwe lakini analazimisha watu ambao sio wa imani yake nao wafunge pale anapokuwa mtoa huduma wa biashara ya chakula anafunga hoteli mwezi mzima

2. Unakuta mtu anatoa huduma fulani na ana imani fulani labda jumamosi unakuta anafunga duka siku nzima. Sasa hao wateja watakuwa wanakusubiria wewe tu sehemu ambayo wanakuja mara umefunga mara umefungua kwa imani zako?

3. Kwani hao wanaojifanya hawarushi matangazo kisa kampuni ya pombe inadhamini kwani ni malaika hawatendi dhambi yoyote? na barabara zinazojengwa kwa kodi ya hizo pombe mbona wanazitumia?
Na uyaseme hayokwa wasabato na siku yao ya sabato pia usitolee mifano kwa waislam tu !
 
Taarifa zilizotangazwa jana katika kikao cha ndani ya management hasa kitengo cha sports ni kuwa Azam haitarusha mechi hata moja ya ligi kuu baada ya Vodacom kutoendelea na udhamini kisha kuchukuliwa na wauza pombe TBL ambapo Policy ya Azam ni kutorusha aina yoyote ya pombe.

pia kikao hicho kimetoa pendekezo la kuiondoa timu ya Azam katika ligi hiyo.

Pole wenye vingamuzi vya azamView attachment 811392
Huu utakuwa unafiki wa khali ya juu..kama World cup iliyomalizika Russia wadhamini wakuu walikuwa mabingwa wa kilevi Budweiser na bado nchi yenye asili ya dini ya kiislamu kama Saudi Arabia na nyinginezo na zimeshiriki ikiwa ni pamoja kuonyesha michezo yote ikiwa na udhamini wa pombe achilia mbali hata hao Azam kureport matokeo ya michezo yoote...iweje leo mtuletee habari hizi za "kipuuzi" napenda kuamini kuwa ni uhongo mtupu na sio kweli
 
Tatizo kubwa la wafanyabiashara wa tanzania ndio maana hatuendelei
1. Unakuta mtu amefunga yeye kwa imani yake iwe lakini analazimisha watu ambao sio wa imani yake nao wafunge pale anapokuwa mtoa huduma wa biashara ya chakula anafunga hoteli mwezi mzima

2. Unakuta mtu anatoa huduma fulani na ana imani fulani labda jumamosi unakuta anafunga duka siku nzima. Sasa hao wateja watakuwa wanakusubiria wewe tu sehemu ambayo wanakuja mara umefunga mara umefungua kwa imani zako?

3. Kwani hao wanaojifanya hawarushi matangazo kisa kampuni ya pombe inadhamini kwani ni malaika hawatendi dhambi yoyote? na barabara zinazojengwa kwa kodi ya hizo pombe mbona wanazitumia?
Una uhakika bakhresa haendelei kwenye biashara zake?
 
Afunge asifunge atajua mwenyewe kwanza siangaliagi mpira wa kishamba mimi wa bongo hii.
 
Wapewe dstv,tuwasahau hawa azam
Naona Azam wanajisahau watz wengi walinunua king'amuzi kwa sababu ya mpira wa bongo aiseee acha nijiandae kuuza king'amuzi chao wasiletee habari zao za kijinga
 
Tatizo kubwa la wafanyabiashara wa tanzania ndio maana hatuendelei
1. Unakuta mtu amefunga yeye kwa imani yake iwe lakini analazimisha watu ambao sio wa imani yake nao wafunge pale anapokuwa mtoa huduma wa biashara ya chakula anafunga hoteli mwezi mzima

2. Unakuta mtu anatoa huduma fulani na ana imani fulani labda jumamosi unakuta anafunga duka siku nzima. Sasa hao wateja watakuwa wanakusubiria wewe tu sehemu ambayo wanakuja mara umefunga mara umefungua kwa imani zako?

3. Kwani hao wanaojifanya hawarushi matangazo kisa kampuni ya pombe inadhamini kwani ni malaika hawatendi dhambi yoyote? na barabara zinazojengwa kwa kodi ya hizo pombe mbona wanazitumia?
Anazan yupo uarabuni acha atujaribu na sisi tumuoneshee . tena star times au ving'amuzi vingine wakipanga wataua Azam Tv kifo kibaya sana
 
Anazan yupo uarabuni acha atujaribu na sisi tumuoneshee . tena star times au ving'amuzi vingine wakipanga wataua Azam Tv kifo kibaya sana
Tatizo star time yeye hana mashine za kurekodi na kurusha live zaidi ana studio ya kurusha hewani kilichorekodiwa na watu wengine kama ilivyokuwa kombe la dunia , hivyo akitaka kuchukua kandarasi hiyo inamlazimu anunue vifaa vya kisasa kabisa kwa ajili ya kuonyesha live maana sioni kampuni nyingine yenye kamera bora kama za huyu jamaa mwenye dini yake ambaye anataka kututesa.
 
Wanaona Pombe Ni Dhambi Wakati Nao Ni Wadhambi Tu. Lini Walikuwa Ni Watakatifu Kama Si Unafiki? Wanaogopa Tope Wakati Wanakanyaga Udongo
Kila watu wana taratibu na kanuni zao, ni kama vile tulivyojipangia kusimama wakati kitambaa
kinachoitwa bendera kinateremshwa kwenye Mlingoti, Ni utii wa kulazimishana hivyo usiwalaumu
waliojipangia kanuni zao.
 
Back
Top Bottom