Hata kwenye List ya Richest people hajawekwa..Alafu eti data zinasema MO ana mawe kuliko bakharesa..hapo ndo huwa sielewi..hela za MO hazionekanagi laivu laivu zikifanya vitu
Ndio maana nasema Azam hawezi. Si ni biashara, sasa mfanyabiashara gani anafanya investment kujifurahisha na kutafuta sifa.Naomba nkusahihishe mkuu
Sio kama HAWEZI" ila hiyo ni biashara
Kumbuka biashara inamuhitaji mtumiaji(mwananchi)
Ikiwa mwananchi hawezi hata kulipa 35k itawezazaje kuweza kununua haki ya kurusha EPL?
Kwahyo ni issue ya kibiashara na sio uwezo
Hawezi kununua haki ya kurudha kwa hela nyingi afu ategemee hasara
To complicated sio rahisi kama unavyozaniaMuanze na Bella benz
Unajua huku wanachukulia mambo poa poa tu..Mumeitwa hapo
Industry ipiUnajua huku wanachukulia mambo poa poa tu..
Ila mkija kwenye industry mtaelewa
Ndio maana nasema Azam hawezi. Si ni biashara, sasa mfanyabiashara gani anafanya investment kujifurahisha na kutafuta sifa.
Na Azam yuko likely kunyimwa hakimiliki endapo ataweka dau mezani kwa hao kina La Liga, UEFA na EPL. Yaani waache DSTV mwenye viewers wengi zaidi in Southern Sahara waje kwa mbongo mwenye subscribers wachache hasa Swahili speakers. StarTimes ikiamua iko more likely kuipa challenge DSTV kwenye hizo anga kuliko Azam. Na Canal+ ndio hiyo imeteka soko la French speakers inataka soko la Arica nzima.
Hakuna Kamera ya millioni 500 !
Industry za viwanda mbali mbali mkuuIndustry ipi
Hajui kitu huyoNi hela ndogo au nyingi?
Serie A piaLa Liga msimu ujao itakuwa Live Azam Tv, unalipi la kusema maana ulishajimaliza kwamba hawawezi kupewa hata La Liga.
Mtaalam wa maswala ya Camera kwenye moja na mbili, kwamba hawajanunua Camera wamenunua lens tu.Camera za Uwanjani na kurekodi Wanyama porini zina gharama kubwa sana nadhani hiyo 500m ni baadhi ya Lens zake tu zikiwa set nzima...
Uislam mwing kmmkBakhresa yuko vizuri kajaliwa na kila kitu. Ila ajitahidi tu kwenye USAWA wote sisi ni watanzania.
adriz Sol de Mayo Webabu Adiosamigo
Brother Lens moja inauzwa hiyo bei sio camera zipo camera wanazotumia kurekodi wanyama ni ghari sana unaposikia Studio ya kurekodi Wanamuziki mfano wa USA wanakua wameweka hela nyingi sana pale kwenye zile camera zao..Hakuna Kamera ya millioni 500 !
DSTV najua ni kampuni kubwa afrika sijalinganisha DSTV na Azam,bali nimesema kama azam angeonyesha EpL kwa Tanzania angepata watazamaji wengi kuliko DSTV maana wengi wetu azam ni rafiki zaidi kuliko hiyo DSTV.....Hizo Kamera kwa Tanzania sio jambo dogo mkuu.Azam hawezi pata kibali cha kuonyesha EPL.
Alafu kulinganisha Azam na DSTV ni kulinganisha toroli na fuso. Kitendo cha Azam kununua camera tano za milioni 500 each ndio kinaleta headlines na kuonekana maajabu. Sasa kasome Canal+ imeweka dau la kiasi gani kuomba kuinunua DSTV. Zaidi ya trilioni nne za kibongo kununua about 65% ya shares
Watz wengi ni vichwa maji wao wakiona juisi nyingi wanajua thamani ndo hiyo.Azam hawezi pata kibali cha kuonyesha EPL.
Alafu kulinganisha Azam na DSTV ni kulinganisha toroli na fuso. Kitendo cha Azam kununua camera tano za milioni 500 each ndio kinaleta headlines na kuonekana maajabu. Sasa kasome Canal+ imeweka dau la kiasi gani kuomba kuinunua DSTV. Zaidi ya trilioni nne za kibongo kununua about 65% ya shares
La Liga msimu ujao itakuwa Live Azam Tv, unalipi la kusema maana ulishajimaliza kwamba hawawezi kupewa hata La Liga.
Hawezi pewa exclusive rights. La Liga na Serie A sijui wanatoaje labda wanatoa non exclusive maana sio mfuatiliaji sana wa mpira ila ninachojua UEFA wanatoa exclusive rights akipewa mmoja kwenye ukanda huo hapewi mwingine.Serie A pia
Anazo 5 /sAzam ana channel 8 na zote n HD