PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Hapa kwetu mifumo ya kikodi ndio unaoleta ugumu kwa walaji. Mikodi mpaka kwenye Sox
Tanzania ni nchi tajiri, watu wake wana pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ni nchi tajiri, watu wake wana pesa
Ni heri, hawajapandisha sana ukilinganisha na uwekezaji wa gharama kubwa wa minara unaoendelea sasa hivi.Nimepokea sms ya AzamTv kuhusu kupandisha bei za vifurushi kuanzia tarehe 01/08/2023.
Mkeka ni kama ifuatavyo;View attachment 2697690
Indeed hawana fear.Hawa jamaa hawamalizi miezi 6 bila kupandisha bei. Sio fear kabisa.
Jamani huyu jamaa yetu hajalalamika ila ana tupa taarifa sisi ambao aidha hatuna hiyo taarifa au si wateja wa Azam TV kwa muda huu.Mkuu ulisoma na kuelewa vigezo na masharti kabla kutumia huduma zao?
sasa hio ni premium wakubwa hawasumbuliwi sana
na kodi hazijulikan hata zinafanya kitu gani, poor social service! barabara mijin mbovu, maji shida, mahospitali hayana dawa, walimu kwenye shule vijijini shida, kazi kweli!Hapa kwetu mifumo ya kikodi ndio unaoleta ugumu kwa walaji. Mikodi mpaka kwenye Sox
na kodi hazijulikan hata zinafanya kitu gani, poor social service! barabara mijin mbovu, maji shida, mahospitali hayana dawa, walimu kwenye shule vijijini shida, kazi kweli!
Kama huku tunalia DStv vifurushi vyao tutaviweza?😅Mkataba wa Azam na TFF unaisha lini DStv achukue mikoba,
sawa mkuuJamani huyu jamaa yetu hajalalamika ila ana tupa taarifa sisi ambao aidha hatuna hiyo taarifa au si wateja wa Azam TV kwa muda huu.
Ni mwendo wa kununua ma v8 na kula bata. Semina na warsha zisizo na tija kwa wananchi.na kodi hazijulikan hata zinafanya kitu gani, poor social service! barabara mijin mbovu, maji shida, mahospitali hayana dawa, walimu kwenye shule vijijini shida, kazi kweli!
Daaaaah, Simu janja kakaIndeed hawana fear.