Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mechi baina ya Yanga na Azam, imezaa majeruhi wawili ambao ni wachezaji muhimu sana kwa Yanga.Wachezaji hawa ni Pacome na Yao Kouassi.
Tunachojiuliza hii ni bahati mbaya tu au kulikuwa na nia ovu?
Anyway, Yanga tujipange tu kutokana na hali halisi kiuelekea mechi yetu na Mamelodi.
Tunachojiuliza hii ni bahati mbaya tu au kulikuwa na nia ovu?
Anyway, Yanga tujipange tu kutokana na hali halisi kiuelekea mechi yetu na Mamelodi.