Azam wameigharimu sana Yanga kuelekea mchezo wao na Mamelodi

Azam wameigharimu sana Yanga kuelekea mchezo wao na Mamelodi

Mechi baina ya Yanga na Azam imezaa majeruhi wawili ambao ni wachezaji muhimu sana kwa Yanga.Wachezaji hawa ni Pacome na Yao Kouassi.

Tunachojiuliza hii ni bahati mbaya tu au kulikuwa na nia ovu?

Anyway, Yanga tujipange tu kutokana na hali halisi kiuelekea mechi yetu na Mamelodi.
Pacome aliumia kwenye mazoezi ya mwisho kabla ya mechi, ila mwalimu aliamua kumwanzisha kutokana na umuhimu wa mechi.

Kwa mchezo ulivyokuwa, nadhani mwalimu alitaka kumaliza mechi mapema kisha ampumzishe kabla hajajitonesha.

Ila makosa ya Mzize yakagharimu timu. Kwani kabla ya kufunga lile goli alipoteza nafasi mbili za wazi kabisa zilizoundwa na Pacome.

Ova
 
Yanga wao ndio walitakiwa hiyo mechi kuchezesha wachezaji wao wanaowaweka benchi sio wanaweka kikosi hicho hicho wanachokitegemea Mamelodi walicheza hiyo siku na Martizburg kocha aliweka wachezaji wengi wa benchi akijua ana mechi ya robo fainal karibuni sema makocha wetu wanataka kuonyesha wanaweza wakati ndio kwanza tunaanza..
Mkuu embu kuwa serious basi, swala la kuchezesha wachezaji wanaokaa benchi hutegemea na aina ya mpinzani unayeenda kucheza nae. Ucheze na Azam halafu upange wachezaji wanaokaa benchi kweli upo serious?
Hata kocha wa Yanga mara nyingi kawapanga wanaokaa benchi ila hutegemea na aina ya mpinzani anayecheza nae.

Hao Mamelod unajua hiyo timu iliyocheza nayo ipo daraja la ngapi?
Mamelod wamecheza na timu ya daraja la kwanza hivyo kwao haikuwa mechi ngumu na ndio maana wameweka wanaokaa benchi.
 
Mkuu embu kuwa serious basi, swala la kuchezesha wachezaji wanaokaa benchi hutegemea na aina ya mpinzani unayeenda kucheza nae. Ucheze na Azam halafu upange wachezaji wanaokaa benchi kweli upo serious?
Hata kocha wa Yanga mara nyingi kawapanga wanaokaa benchi ila hutegemea na aina ya mpinzani anayecheza nae.

Hao Mamelod unajua hiyo timu iliyocheza nayo ipo daraja la ngapi?
Mamelod wamecheza na timu ya daraja la kwanza hivyo kwao haikuwa mechi ngumu na ndio maana wameweka wanaokaa benchi.
Walikua wanacheza Nedbank Cup hawa Mamelodi wametolewa kombe moja tayari kwa hiyo sasa hivi wanakaza sana..
Yanga wachezaji wa kucheza mechi ya Azam kwa beki za kina Fred na kibabage wanacheza vizuri tu kiungo yule dogo Shaha Mzanzibar anacheza vizuri tu kuliko mechi zote wachezaji hao hao ikitokea majeruhi kidogo tu kwa kuwa wachezaji hawapati nafasi kocha anaumiza kichwa gemu ya points tatu na mtoano ni tofauti ilitakiwa aangalie kule huku akiwalinda wachezaji sasa ajawalinda Wachezaji na kapoteza points...
 
Walikua wanacheza Nedbank Cup hawa Mamelodi wametolewa kombe moja tayari kwa hiyo sasa hivi wanakaza sana..
Yanga wachezaji wa kucheza mechi ya Azam kwa beki za kina Fred na kibabage wanacheza vizuri tu kiungo yule dogo Shaha Mzanzibar anacheza vizuri tu kuliko mechi zote wachezaji hao hao ikitokea majeruhi kidogo tu kwa kuwa wachezaji hawapati nafasi kocha anaumiza kichwa gemu ya points tatu na mtoano ni tofauti ilitakiwa aangalie kule huku akiwalinda wachezaji sasa ajawalinda Wachezaji na kapoteza points...

Kama first eleven ya Yanga inasumbuana na Azam, hao wakina Shaha wataweza nini au unataka wafungwe nyingi? Imefanyika rotation dhidi ya Ihefu tu Yanga ikapoteza mechi ndio uje ucheze na Azam kwa timu ya kikosi cha pili?
 
Yanga hatuna presha kikosi chetu ni kipana mno.Madunduka yapo hoi presha imewajaa kama yanacheza menyewe.So far our target was group stage hata tukifungwa mia kuna shida gani?
 
Yanga wao ndio walitakiwa hiyo mechi kuchezesha wachezaji wao wanaowaweka benchi sio wanaweka kikosi hicho hicho wanachokitegemea Mamelodi walicheza hiyo siku na Martizburg kocha aliweka wachezaji wengi wa benchi akijua ana mechi ya robo fainal karibuni sema makocha wetu wanataka kuonyesha wanaweza wakati ndio kwanza tunaanza..
Imetugharimu sana.
 
Mechi baina ya Yanga na Azam, imezaa majeruhi wawili ambao ni wachezaji muhimu sana kwa Yanga.Wachezaji hawa ni Pacome na Yao Kouassi.

Tunachojiuliza hii ni bahati mbaya tu au kulikuwa na nia ovu?

Anyway, Yanga tujipange tu kutokana na hali halisi kiuelekea mechi yetu na Mamelodi.
Pacome alikuwa benchi kwenye mechi ya Ivory coast na Benin Jumamosi, maana yake yuko fiti.
 
Mechi baina ya Yanga na Azam, imezaa majeruhi wawili ambao ni wachezaji muhimu sana kwa Yanga.Wachezaji hawa ni Pacome na Yao Kouassi.

Tunachojiuliza hii ni bahati mbaya tu au kulikuwa na nia ovu?

Anyway, Yanga tujipange tu kutokana na hali halisi kiuelekea mechi yetu na Mamelodi.
Ila watacheza.. wakiwa na majeruhi hivyo hivyo. Report ya dr hjwa haisikilizwi yanga maana jata mechi na cr belouzidad pacome alifosi na dr akakubali..
 
Hii mechi haikuwa na ulazima kabisa yaani.

Alafu TFF hao hao na serekali wanakuja na hoja ya uzalendo! Unataka watu wawe wazalendo huku unaipangia Yanga mechi ngumu few days kabla! Like serious?

Stupid kabisa yaani
Yanga wana kikosi kipana
 
Yanga hatuna presha kikosi chetu ni kipana mno.Madunduka yapo hoi presha imewajaa kama yanacheza menyewe.So far our target was group stage hata tukifungwa mia kuna shida gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleee kwa maumivuuu
 
Wakati timu zinajiaanda na Mechi round ya tano, Yanga walicheza back to back ndo wakakutana na CR Belouzdad.
Wakati Simba wanaomba recovery kwa wachezaji wao, Yanga wao wajiona wanaweza kwenda na move ileile kucheza kila baada ya siku 3, Tena mechi ngumu. Ujuaji utawagharimu.
 
Shida ni nini Yanga si wana kikosi kipana tulishaelewana..
 
Mechi ilikuwa bado two weeks.
 
Mechi baina ya Yanga na Azam, imezaa majeruhi wawili ambao ni wachezaji muhimu sana kwa Yanga.Wachezaji hawa ni Pacome na Yao Kouassi.

Tunachojiuliza hii ni bahati mbaya tu au kulikuwa na nia ovu?

Anyway, Yanga tujipange tu kutokana na hali halisi kiuelekea mechi yetu na Mamelodi.
Halafu Pacome alishambuliwa kwa makusudi tu, na yule aliyemshambulia wala hakupewa hata yellow card.
 
Mechi baina ya Yanga na Azam, imezaa majeruhi wawili ambao ni wachezaji muhimu sana kwa Yanga.Wachezaji hawa ni Pacome na Yao Kouassi.

Tunachojiuliza hii ni bahati mbaya tu au kulikuwa na nia ovu?

Anyway, Yanga tujipange tu kutokana na hali halisi kiuelekea mechi yetu na Mamelodi.
Pacome na Aucho wanaweza kucheza, tatizo Yao aliyeumia Nyama za paja, huwa zinachelewa kupona, coz huchanika ndani kwa ndani.
 
Kwa 2 big matches mkuu? Wiki 2 chache sana
Afisa HabarI wenu aliwahi kusema nyie siyo wa kudekadeka kama wale jamaa wa upande wa pili baada ya simba kuomba mechi yao na mtibwa isogezwe ili ajiandae vizuri kwa ajili ya kwenda kuwakabiri asec .

Tena akaongeza kwa kusema ,mna kikosi kipana mnaweza kucheza mechi 2 kwa siku Moja na zote mkashinda. Sasa haya malalamiko wanetu yanatoka wapi tena?
 
Mechi baina ya Yanga na Azam, imezaa majeruhi wawili ambao ni wachezaji muhimu sana kwa Yanga.Wachezaji hawa ni Pacome na Yao Kouassi.

Tunachojiuliza hii ni bahati mbaya tu au kulikuwa na nia ovu?

Anyway, Yanga tujipange tu kutokana na hali halisi kiuelekea mechi yetu na Mamelodi.
Wewe jamaa kweli ni utopolo. Hivi kama kweli kocha yupo serious na huyo mchezaji kwa nini amemruhusu kwenda national team wakati ni majeruhi.
Usiitafutie Azam sababu.
 
Niliweka uzi hapa mapema kabisa kuwa mechi ya Azam vs Yanga haikupaswa kuwepo tarehe 17 ila tu ni kwasababu ni ratiba za kukomoana.

Acha ujinga , ratiba ya ligi kuu inakuwepo kabla ya hizo nyingine.
 
Back
Top Bottom