vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Pacome jana alikuwa kwenye sub kwenye mechi ya Ivory coast vs Benin. Toka lini majeruhi akawekwa kwenye benchi la wachezaji wa akiba?Pacome ni confirmed kwamba hatakuepo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pacome jana alikuwa kwenye sub kwenye mechi ya Ivory coast vs Benin. Toka lini majeruhi akawekwa kwenye benchi la wachezaji wa akiba?Pacome ni confirmed kwamba hatakuepo?
ndio mpira ulivyoMechi baina ya Yanga na Azam imezaa majeruhi wawili ambao ni wachezaji muhimu sana kwa Yanga.Wachezaji hawa ni Pacome na Ya Kouassi.
Tunachojiuliza hii ni bahati mbaya au kulikuwa na nia ovu?
Anyway, Yanga tujipange tu kutokana na hali halisi kiuelekea mechi yetu na Mamelodi.
Kwa 2 big matches mkuu? Wiki 2 chache sanaFew days wiki mbili kabla?
Hiv kwann Simba na Yanga mnahisi mnahitaji favor toka kwa wengine 😂😂😂 yan zayid amuache pacome alete madhara kisa Yanga ana game na Mamelod? Hiv mnakula nnAzama washenzi sana wale jamaa. Sijui safari hii nani aliwalisha sumu. Walikuwa wazuri tu ghafla wamebadilika kwetu.
Ila wao walivyomuumiza kibu na kufanikiwa kuharibu mipango ya kocha kisha kutupiga tano walishangilia!Hiv kwann Simba na Yanga mnahisi mnahitaji favor toka kwa wengine 😂😂😂 yan zayid amuache pacome alete madhara kisa Yanga ana game na Mamelod? Hiv mnakula nn
Ila nashangaa pia kwa nini Yanga hawakuomba kuiahirisha.Hii mechi haikuwa na ulazima kabisa yaani.
Alafu TFF hao hao na serekali wanakuja na hoja ya uzalendo! Unataka watu wawe wazalendo huku unaipangia Yanga mechi ngumu few days kabla! Like serious?
Stupid kabisa yaani
Kuwa na hurumaWangeumia timu nzima tu utopolo hao
Tumepata Mamelodi hii kwetu ni bahati kubwa sanaaa!Yanga anakula nyingi trust me ephen_ , na hasa baada ya serikal na Ndumbalo wake kuanza kutoa matamko ya kijinga jinga wanaongeza unnecessary pressure kwa Yanga
Wote watacheza? Au wote hawatacheza?wote
Hivi unajua ukubwa wa hii mechi?Few days wiki mbili kabla?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aposto kuna liutopolo huku..........!!!
Aposto answer ilo pigaaa maweee..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiv kwann Simba na Yanga mnahisi mnahitaji favor toka kwa wengine [emoji23][emoji23][emoji23] yan zayid amuache pacome alete madhara kisa Yanga ana game na Mamelod? Hiv mnakula nn
[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu kajamaa kapo mtaani na miwani yake kanaamadisha " TWENZETU KWA MADIBA" badala ya kujiaadhaa na dhoruba itakayowakuta na atafanya machawa wote pale gSM Wawambaratike yeye anahamasisha safari[emoji1][emoji1][emoji1]