Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
TFF usiwalaumu kabisa, walikuwa tayari kuiahirisha, ila Ally Kamwe (kiongozi wa Yanga) akasema wao hawataki kudekadeka, wacheze tu. TFF ikasema sawa chezeni!Alafu TFF hao hao na serekali wanakuja na hoja ya uzalendo! Unataka watu wawe wazalendo huku unaipangia Yanga mechi ngumu few days kabla! Like serious?