Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Tanzania ni nchi ambayo unapeleka idea kwa mtu au kampuni wanaikataa na tena wanaiponda ila ukikaa baada miezi kadhaa unaona wanaitumia wengi hii imewatokea
Hata yule bosi wa zamani wa mawingu marehemu kwa sasa ambaye alikuwa anasifiwa sana ana akili ukweli ni kwamba alikua wakawaida sababu alikua ni bingwa wa kuiba idea za watu- alikua anaaminiwa na watu wengi walimpelekea idea nyingi kama kawaida akazikataa alafu anakuja kuzifanyia kazi na kudai ni za kwake ukweli ni kwamba hakua na akili hizo
Azam wanasusa ili kupata public sympathy? Kama ni kweli ana haki wamlipe waendelee na kazi, kwani huyo aliyeshinds kesi hana haki kisa kuna wengine wanakufa njaa? Wamlipe wabadili jina waendelee, au wakubaliane nae wanunue haki zake nchi hii tunadeka sana
Azam watafute jina lingine waendeleee na hiyo program ya ngumi sababu hata wakisusa na wao pia watapoteza fedha waache utoto
Hata yule bosi wa zamani wa mawingu marehemu kwa sasa ambaye alikuwa anasifiwa sana ana akili ukweli ni kwamba alikua wakawaida sababu alikua ni bingwa wa kuiba idea za watu- alikua anaaminiwa na watu wengi walimpelekea idea nyingi kama kawaida akazikataa alafu anakuja kuzifanyia kazi na kudai ni za kwake ukweli ni kwamba hakua na akili hizo
Azam wanasusa ili kupata public sympathy? Kama ni kweli ana haki wamlipe waendelee na kazi, kwani huyo aliyeshinds kesi hana haki kisa kuna wengine wanakufa njaa? Wamlipe wabadili jina waendelee, au wakubaliane nae wanunue haki zake nchi hii tunadeka sana
Azam watafute jina lingine waendeleee na hiyo program ya ngumi sababu hata wakisusa na wao pia watapoteza fedha waache utoto