and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Ndo hapo sasa. Boss hanuniwiHilo jina wakimuachia atalifanyia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hapo sasa. Boss hanuniwiHilo jina wakimuachia atalifanyia nini?
Hujaonesha Uniqueness ya idea ya huyo jamaa na walichofanya Azam kwenye mapambano ya Cheka........business idea sio wazo tu kama unavyofikiria ww ni kitu kipana lazima kianishe ni namna gani kitafanyika ili kifanikiwe so kuna vitu vingi. Na lazima ujue hakuna kitu kipya (wazo jipya) kila kitu kishafanyika ila kilichobaki sasa iv ni namna gani hilo wazo lako utalifanya liwe tofauti
Upekee upo kuanzia kwenye jina ( Vitasa ) na kuna vitu vingine vidovidogo ambavyo wewe huwezi kuviona na ndio maana watu wakaanza kufatilia boxing za bongo kuliko kipindi cha kina cheka, MashariHujaonesha Uniqueness ya idea ya huyo jamaa na walichofanya Azam kwenye mapambano ya Cheka........
All i need uniambie Upekee wa idea ya huyo jamaa ,ila mimi sioni kabisa zaidi kuwapa njaa wana wakitaa ambao washaanza kuona nuru ya mafanikio upande wa boxing.
Hivi unajua hilo jina la Vitasa hata Cosota halipo.....?Au hujasikiliza mahojiano na director ya Director wa Azam.Upekee upo kuanzia kwenye jina ( Vitasa ) na kuna vitu vingine vidovidogo ambavyo wewe huwezi kuviona na ndio maana watu wakaanza kufatilia boxing za bongo kuliko kipindi cha kina cheka, Mashari
Fedha aliyotengeneza kupitia vitasa ni nyingi sana zaidi ya billioniAzam amalipe tu jamaa, tuache janja janja.
Atawauzia wanaolitaka.Unafikiri Vince MacMahon aka Mic men alitajirikaje?Hilo jina wakimuachia atalifanyia nini?
Mbona unawalazimisha watu na biashara zao, hivi huoni huyo mpuuzi kaharibu reputation ya Azam kwa vitu vya kipuuzi. Yy aendelee walipo ishia Azam,kwani huwezi kumpangia mtu hela yake ,afanyie nini yy kaona vitasa kwa sasa ana achana nayo,yy mwenye idea aendelee nayo.
Aendelee nayo hawataki kutumia idea yake kama alivyo sema. Yy sasa ndio awaoneshe Azam kama yupo vizuri kuliko wao Azam, aendeleze Azam walipo ishia.
Azam hawataki hata hiyo huruma kwani wao biashara yao kubwa inayo waingizia pesa ni ligi ya NBC,kama kuna mwengine yupo katokea aendeleze walipoishia Azam.
Mbona unawalazimisha watu na biashara zao, hivi huoni huyo mpuuzi kaharibu reputation ya Azam kwa vitu vya kipuuzi. Yy aendelee walipo ishia Azam,kwani huwezi kumpangia mtu hela yake ,afanyie nini yy kaona vitasa kwa sasa ana achana nayo,yy mwenye idea aendelee nayo.
Ndio waeshawachia idea yao waiendeleze,sasa hizi kelele za nini si wamewaachia, ndio muendeleze walipo ishia.
Katafuta interview ya Patrick (nimeiweka hapo), hilo wazo lenyewe hata Cosota halipo.Huyo halipwi hata shillingi, kwani sioni Uniqueness ya hilo wazo lake na Azam washakata rufaa.Kumbe wewe huelewi kinachoendelea. Jamaa kapeleka idea Azam, then Azama wakamwambia asubirie. Wakati jamaa anamsubiria anashangaa Azam wanatumia idea yake na Kwa mtiririko aliouandika hadi mabondia. Tena wakawa wanampigia simu kumuuliza wanapoishi mabondia. So jamaa kawashtaki wamlipe fidia kwa kutumia idea yake bila kumshirikisha au kununua idea.
Katafuta interview ya Patrick (nimeiweka hapo), hilo wazo lenyewe hata Cosota halipo.Huyo halipwi hata shillingi, kwani sioni Uniqueness ya hilo wazo lake na Azam washakata rufaa.Sio kuachia wamlipe milioni 250. Wamefanya wizi.