Azam wanasusa ili kupata public sympathy, ukweli ni kwamba media zimeshawaibia watu wengi sana mawazo yao

Azam wanasusa ili kupata public sympathy, ukweli ni kwamba media zimeshawaibia watu wengi sana mawazo yao

Sasa nimepotosha mimi au aliye wapeleka Azam kwa Pilato au huja msikiliza Patrick Director wa Azam,hiyo statement uliyo andika ungemwambia aliye wapeleka kwa Pilato kwani hiko unacho kisema ndicho Patrick alicho kiongea alivyo hojiwa,kwamba jamaa anapotosha.

Azam hawataki hata hiyo huruma kwani wao biashara yao kubwa inayo waingizia pesa ni ligi ya NBC wameweka zaidi ya 225bil,kama kuna mwengine yupo katokea aendeleze walipoishia alipo ishia Azam.

Yaani mtu aweke 225bil ya NBC, bado kuna Laliga,Series A,Bundasliga kote kaweka mzigo tena mrefu then aje kutafuta huruma kwa mpuuzi mmoja ,ambaye anakuja kuwapa njaa watoto wa kitaa ambao walishaanza kuona mafanikio kwenye boxing.
225 bil acha uongo, au tying errors?
 
Mbona unawalazimisha watu na biashara zao, hivi huoni huyo mpuuzi kaharibu reputation ya Azam kwa vitu vya kipuuzi. Yy aendelee walipo ishia Azam,kwani huwezi kumpangia mtu hela yake ,afanyie nini yy kaona vitasa kwa sasa ana achana nayo,yy mwenye idea aendelee nayo.
Hukuna cha kuharibu reputation hilo ni tatizo lipo hasa kwa hawa wasimamizi wa hizi taasisi, mtu umetulia umeumiza kichwa unaamua kupeleka business idea yako kwenye taasisi na wewe upate chochote kitu hao wa simamizi wanaikataa na kuiponda ili wakuvunje moyo wa kuendelea nayo alafu badae hao hao wasimamizi wanaenda kwa boss kubwa kujifanya wao ndio wanatoa hio bisiness idea ili wapate credit kwa boss kubwa. Hio haikubaliki lazima kila mtu ale kutokana na akili zake na nguvu zake sio kuiba idae za watu ili uonekane wewe kichwa.
 
Hapa jf inaonekana mijadala ya matajiri inatetewa na watu wengi sana hii inaleta picha kwamba malofa hatupendani yaani tajiri akiiba sio tatizo ila hawa kutwa kuponda viongozi na kuwaita majina yote mabaya,Kama mnakusudia kukemea maovu iwe ni kwa kila muovu sio kuchagua pa kusimama,Akili ya halaka inanituma kwamba mnawaponda Ccm kwa sababu pale walipo mnapatamani ila nyie kuwa bakhresa ndo haiwezekani ndo mnaamua kuwa mawakili wake.
 
Hukuna cha kuharibu reputation hilo ni tatizo lipo hasa kwa hawa wasimamizi wa hizi taasisi, mtu umetulia umeumiza kichwa unaamua kupeleka business idea yako kwenye taasisi na wewe upate chochote kitu hao wa simamizi wanaikataa na kuiponda ili wakuvunje moyo wa kuendelea nayo alafu badae hao hao wasimamizi wanaenda kwa boss kubwa kujifanya wao ndio wanatoa hio bisiness idea ili wapate credit kwa boss kubwa. Hio haikubaliki lazima kila mtu ale kutokana na akili zake na nguvu zake sio kuiba idae za watu ili uonekane wewe kichwa.
Hivi Azam kabla ya Vitasa hawajawahi kuonesha ngumi? Hivi unajua Azam walisha cover mpaka mapambano ya Cheka. Sasa Idea mpya ipo wapi? mimi sioni, maana nijuavyo mimi Idea ni inarepresent Uniqueness, sasa Uniqueness ya vitasa na mapambano waliyo ya andaa ya Cheka ipo wapi? au wapi walipo umiza kichwa......? Hebu niambie ww,maana wakati na sikiliza mahojiano hata Cosota wenyewe hawaja sajili hilo jina la Vitasa.

Kweli Azam brand ni kubwa na ina hela,ila private kila hela inayotoka lazima iwe na sababu za msingi na ndio maana wasipo lipa kwa mtizamo wangu ni sawa sababu mimi sioni Uniqueness ya idea ya huyo jamaa.Ndio maana wamekata rufaa.
 
Aendelee nayo hawataki kutumia idea yake kama alivyo sema. Yy sasa ndio awaoneshe Azam kama yupo vizuri kuliko wao Azam, aendeleze Azam walipo ishia.

Azam hawataki hata hiyo huruma kwani wao biashara yao kubwa inayo waingizia pesa ni ligi ya NBC,kama kuna mwengine yupo katokea aendeleze walipoishia Azam.
Mbona unawalazimisha watu na biashara zao, hivi huoni huyo mpuuzi kaharibu reputation ya Azam kwa vitu vya kipuuzi. Yy aendelee walipo ishia Azam,kwani huwezi kumpangia mtu hela yake ,afanyie nini yy kaona vitasa kwa sasa ana achana nayo,yy mwenye idea aendelee nayo.
Nakubaliana na wewe , Azam kawaachia waendelee na vitasa vyao
 
Tanzania ni nchi ambayo unapeleka idea kwa mtu au kampuni wanaikataa na tena wanaiponda ila ukikaa baada miezi kadhaa unaona wanaitumia wengi hii imewatokea

Hata yule bosi wa zamani wa mawingu marehemu kwa sasa ambaye alikuwa anasifiwa sana ana akili ukweli ni kwamba alikua wakawaida sababu alikua ni bingwa wa kuiba idea za watu- alikua anaaminiwa na watu wengi walimpelekea idea nyingi kama kawaida akazikataa alafu anakuja kuzifanyia kazi na kudai ni za kwake ukweli ni kwamba hakua na akili hizo

Azam wanasusa ili kupata public sympathy? Kama ni kweli ana haki wamlipe waendelee na kazi, kwani huyo aliyeshinds kesi hana haki kisa kuna wengine wanakufa njaa? Wamlipe wabadili jina waendelee, au wakubaliane nae wanunue haki zake nchi hii tunadeka sana

Azam watafute jina lingine waendeleee na hiyo program ya ngumi sababu hata wakisusa na wao pia watapoteza fedha waache utoto
Unaongelea nini hapo
 
Tanzania ni nchi ambayo unapeleka idea kwa mtu au kampuni wanaikataa na tena wanaiponda ila ukikaa baada miezi kadhaa unaona wanaitumia wengi hii imewatokea

Hata yule bosi wa zamani wa mawingu marehemu kwa sasa ambaye alikuwa anasifiwa sana ana akili ukweli ni kwamba alikua wakawaida sababu alikua ni bingwa wa kuiba idea za watu- alikua anaaminiwa na watu wengi walimpelekea idea nyingi kama kawaida akazikataa alafu anakuja kuzifanyia kazi na kudai ni za kwake ukweli ni kwamba hakua na akili hizo

Azam wanasusa ili kupata public sympathy? Kama ni kweli ana haki wamlipe waendelee na kazi, kwani huyo aliyeshinds kesi hana haki kisa kuna wengine wanakufa njaa? Wamlipe wabadili jina waendelee, au wakubaliane nae wanunue haki zake nchi hii tunadeka sana

Azam watafute jina lingine waendeleee na hiyo program ya ngumi sababu hata wakisusa na wao pia watapoteza fedha waache utoto
Vitasa nayo ni idea? Ni kitu generic tu mkuu, unless kuna kitu kinafichwa hatukijui
 
Hapa jf inaonekana mijadala ya matajiri inatetewa na watu wengi sana hii inaleta picha kwamba malofa hatupendani yaani tajiri akiiba sio tatizo ila hawa kutwa kuponda viongozi na kuwaita majina yote mabaya,Kama mnakusudia kukemea maovu iwe ni kwa kila muovu sio kuchagua pa kusimama,Akili ya halaka inanituma kwamba mnawaponda Ccm kwa sababu pale walipo mnapatamani ila nyie kuwa bakhresa ndo haiwezekani ndo mnaamua kuwa mawakili wake.
Hku wengi ni vilaza ni kupenda ushabiki ila hamna uhalisia kabisa .
 
Hivi Azam kabla ya Vitasa hawajawahi kuonesha ngumi? Hivi unajua Azam walisha cover mpaka mapambano ya Cheka? Sasa Idea mimi sioni, maana nijuavyo mimi Idea ni inarepresent Uniqueness, sasa Uniqueness ya vitasa na mapambano waliyo ya andaa ya Cheka ipo wapi. Hebu niambie ww maana wakati na sicilia mahojiano hata Cosota wenyewe hawaja sajili hilo jina la Vitasa.

Kweli Azam brand ni kubwa na ina hela,ila private kila hela inayotoka lazima iwe na sababu za msingi na ndio maana wasipo lipa kwa mtizamo wangu ni sawa sababu mimi sioni Uniqueness ya madai ya huyo jamaa.Ndio maana wamekata rufaa.
business idea sio wazo tu kama unavyofikiria ww ni kitu kipana lazima kianishe ni namna gani kitafanyika ili kifanikiwe so kuna vitu vingi. Na lazima ujue hakuna kitu kipya (wazo jipya) kila kitu kishafanyika ila kilichobaki sasa iv ni namna gani hilo wazo lako utalifanya liwe tofauti
 
Back
Top Bottom