Azam wana ubabishaji mwingi sana. Walituonesha kale kamechi kamoja tu siku ya ufunguzi; wakapotea mazima. Ukifungua hiyo ZBC2 yao muda mwingi unakutana na Masheikh wao wanatoa mawaidha!!AzamTv walitabgaza kwa mbwembwe watarusha michuano ya Uefa Euro.
Cha kushangaza jana hamna mechi waliyoonyesha.
Na leo mpk sasa hakuna mechi wameonyesha.
Nawauliza nyie Azam Tv utapeli mtaacha lini?
Au Euro ishaisha??
Anyway, imebidi nilipie DStv tu
Sasa kuna shida gani akirusha mechi za simba na yanga tu, na kuna ulazima gani wa kurusha mechi ndogo ambazo hazina watazamaji wengi, au sheria ndio zinataka hivyo kwamba ukichagua ligi fulani basi ni lazima urushe mechi zote za hiyo ligiMwaka ambao Azam aliomba tena haki ya kurusha ligi pia DStv alikuwepo, ila tatizo la DStv n alitaka kurusha mechi kubwa tuu za simba na Yanga tuu hapo ndipo kosa lake lilipo wakati mwenzake Azam anarusha hadi mechi za kajamba nani
Itakuwa Azam kamwaga mpunga mrefu + uzawa π,Sasa kuna shida gani akirusha mechi za simba na yanga tu, na kuna ulazima gani wa kurusha mechi ndogo ambazo hazina watazamaji wengi, au sheria ndio zinataka hivyo kwamba ukichagua ligi fulani basi ni lazima urushe mechi zote za hiyo ligi
EPL kule kuna makampuni kama matano hv ndio wanafanya production, kuna sky sport, IMG - huyu ndio main production studio wa EPL, kuna BT na nyingine nimezisahau, hao wamegawana idadi ya mechi ila kwa bongo ndio hvy Azam anafanya mechi zote pekee yake.Ni vyema Azam akaendelea kuonesha ligi yetu ya NBC,, unaipata HD,,
Dstv hatar ligi ya South Africa hawaitendei haki ,, lakin EPL si wanajiunga na Sky sport ndio tunapata HD murua
Kumbe kwa ten naona zote acha nilipie keshoAzam hamna kitu karibu dstv kifurushi cha ten tu mechi zote
AaahaaaMtoa mada sikia hii.
1. Dstv ni mpira
2. Azam ni maigizo ya kitanzania
3. Startimes wahindi wengi sana
Mh mkuu, em tufanye ww ndio unatoa kibali.Sasa kuna shida gani akirusha mechi za simba na yanga tu, na kuna ulazima gani wa kurusha mechi ndogo ambazo hazina watazamaji wengi, au sheria ndio zinataka hivyo kwamba ukichagua ligi fulani basi ni lazima urushe mechi zote za hiyo ligi
Azam kamwaga pesa mzee wangu, hata team wakionyeshwa utendaji kazi utakavyokuwa kwenye ligi kati ya Azam na dstv na wakiulizwa wanamtaka nani kati yao watasema wanamtaka Azam πItakuwa Azam kamwaga mpunga mrefu + uzawa π,
Mbona dstv wanarusha ligi ya Zambia lakin sio HD,, hatar za kajamba nani za Zambia zinaoneshwa sembuse za kwetu!
Tena mkataba wa alioingia aZam ni mrefu na wanauboresha kila mara,,
Na vitasa kama kawa π,
Mzee kama vp funga zote dstv na Azam, alafu unakuwa unaamua ulipie ipi kulingana na burudani
Azam aendelee TU π,Azam kamwaga pesa mzee wangu, hata team wakionyeshwa utendaji kazi utakavyokuwa kwenye ligi kati ya Azam na dstv na wakiulizwa wanamtaka nani kati yao watasema wanamtaka Azam π
Dstv ajitafakari kwanza πAzam aendelee TU π,
225Duuh kumbe dstv kifurushi cha elfu kumi tu, mnaangalia mechi za ulaya na hamsemi, ni channel gani hiyo
Hii si EPL? Unajiungaje kwa ten
Hivi huwa ipo hata kwenye kifurushi hicho kidogo mkuu225
Hii si EPL? Unajiungaje kwa ten
Na waphilipino hadi unawakariri wachezaji movieAaahaaa
Hiyo 3 ongezea na wachina