Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Huyo ni malaya tayari
 
Kina Elon musk wote wanaangalia porn ....

Asilimia kubwa ya wafanyakazi marekani ,wanatumia PC z kazin kuangalia porn ...
Kwahiyo mkuu unataka kutuambia kuwa kwasababu wao wanaangalia na Sisi tuangalie au
 
Itakuwa vizur uwasaidie wahanga WA hilli tatizo
 
Shukrani mkuu itawasaidia wengi
 
Daah nimetoboa wiki sasa ila huu uzi umeniangusha tena kwenye hili dhahama
 
Kati ya vitu siwez acha ni kutazama pono na kupiga nyeto. Semeni muwezavyo.
Kwani Sisi tunashida mkuu ?

Endelea na starehe zako na furahia Mda wako, kuna siku utatukumbuka
 
Na njia nyingine natural ambayo mtu ambaye anakojoa haraka anaweza kufanya ni kufanya zoezi hili.

Msione tunazungumzia haya Bila sababu,ndoa nyingi zinavurugika kwakuwa wanawake hawapati dozi Yao kikamilifu na ndio maana huamua kutoka nje kutest zali Kwa wadau wengine.

Kuna mwanamke mmoja alisikika akisema wanaume wengine wanakutreat vizur wanakupeleka hotel nzur na sehemu nzur lkn ukiwa nao geto bao moja halafu chali, lkn akasema kuna wahuni Tu/masela ukiwa nao geto wanasugua papuchi mpaka unafeel yes.

Kwahiyo ili kuondoa hizi aibu ndogo ndogo punyeto iachwe

Anyways kama unatatizo la kukojoa haraka fanya hivi, piga punyeto halafu ukijisikia unataka kukojoa unaacha,unakaa kidogo unajichua tena ukitaka kukojoa unaacha kwa kufanya hivyo baada ya Mda fulani utaacha kukojoa mapema na kupiga show za mandonga mtu kazi
 
Wahuni ndo wanapiga nyeto sasa yani swala la kumwaga upesi nyeto isihusishwe watu na majukumu ya kazi +biashara mawazo saa ngapi ataweza kukamia ila hawa wahuni wakimbiza mwenge mtu hana kitu inampa mawazo kwann asisuguee mpakaa
 
Ushauri wangu kwa watu mnaopoteza mzuka ukiwa na mke au mwanamke yeyote usilazimishe tafuta ambae atakupa mzukaa piga kazi ....
 

Sodoma na gomora waliangamizwa kwa sababu ya vitendo hivyo je na wao walikuwa wanatazama porn?
 
Kuna washikaji walikuwa wanaambiana khs porn fulani walioiangalia kwa wakati tofauti, sasa wanavoambiana utadhani ni movie flani hv
Kuna rafik yangu mmoja mtu wa heshima zake daktari na ni mtu wa dini tu mzuri.

Katika story za hapa na pale nikamuomba ushauri namna ya kuacha kutazama hizo uchafu.
Nilikuja kugundua ninaomba ushauri kwa legendary kwani alikuwa anawajua hadi kwa majina na akasema hakuna video mpya asiyoijua pale na anatamani aache ila anashindwa. Ebwana wee nilicheka kama mazuri.

Namshukuru mwenyezi Mungu nishapona huo ugonjwa siku nyingi.
 
Sodoma na gomora waliangamizwa kwa sababu ya vitendo hivyo je na wao walikuwa wanatazama porn?
Hawakuwa wanatazama porn lakini wao walikuwa makonki Kwa mambo machafu mpaka Mungu akaamua kuwaangamiza

Ila

Sisi ndio wachafu zaidi kwasababu huu uchafu unaeneo dunia nzima kwa uwezo wa internet
 
Kwanza hongera kwa kupona na hii inaonyesha kuwa kila kitu kinawezekana kama ukiwa na dhamila njema.

Pole Sana ulienda kuomba ushauri Kwa shetani. (Shetani ni Jambo ovu au mtu muovu au mapepo)
 
Nimefuatilia uzi wako pamoja na comments zako mwanzo mpaka mwisho.

Ni ushauri mzuri unautoa wa kusaidia vijan wadogo mpaka wakubwa.

Nimewahi ingia Tanesco tumepanga folen kuja jamaa amevaa magwanda ya ccm yupo mbele yng nakuta anaperuzi website ya porn, nilishangaa sana.!

Kwa kuongezea mawazo yako nafikiri tushauri vijana waoe ilimradi tu umebarehe yaani miaka 18, 19 mpaka 20 oa ili kuzuia haya majanga.
Ukizidisha umri huo hujaoa yaani huna pa kupunguzia shahawa zako, believe me huwezi kukwepa punyeto hata Kama unamiliki nokia kitochi na hujui kama kuna websites za ngono.

Mfano mimi mwenyw nilianza darasa la sita from no where lkn nilikuja kuacha baada ya kuoa.

Ukweli ni kwamba sisi afrik tuna aminisha vijana wetu kuoa wakiwa wamejenga, wana pesa ya kutosha mara at least miaka 28 mpaka 35 mtu bado anatafuta maisha kuoa kakuwek kando, utaponea wapi punyeto weweeee.!!

Kwa hiyo tujikite kuona sababu ni nini na kushauriana.
Mi mwanangu akifikisha miaka 18 hata kama yupo shule nashauri aoe maana atanidanganya kwamba hana mihemko, wazungu pia ni mfano mzuri wao age 15 tayari ana sehemu ya kukojolea.
Hayo ma punyeto atayatolea wapi na ma porn??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…