Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Kiwango cha manii unachotoa kinaendana na kasi ya uzalishaji kwa mujibu wa maumbile ya mwanadamu? na ndio maana sasa hivi hauna manii mazito bali vitone vyepesi vya maji na baadae utapata mapovu tu na ukizidi kujilazimisha utashuhudia damu mubashara.mkuu , kua realistic weka namba utengeneze hoja, achana na mda kidogo, kidogo kwako ni miaka mingapi ? au karne ngapi ? au masaa mangapi ?
mapema zaidi, mda gani huo ?
binafsi nimenza nyeto 2016 kwa kuibia, lakini 2020 ndiyo nikaanza rasmi kabisa, yaani full time, mara nne mpaka tano KILA SIKU mpaka leo hii
izo theories zenu sijui mnaokotaga wapi, blah blah kibao, facts hamna basi tu mnaleta hisia