Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

VIjana boys schools huko wanapiga mpaka wanamaliza na hawana madhara yoyote. Unaweza kuta baba yako mzazi alipiga sana tu. Hii kitu inaondokaga automatically unless utengeneze addiction. Na addiction si hilo tu kuna pombe, chakula, uongo n.k

Porn ni mbaya ndio, na ukitaka kuacha porn jitahidi kuwa busy. Unakosa kazi unakaa masaa chumbani unadhani utafanyaje?
Baba yangu alioa akiwa na 19 years aliandaliwa mazingira ya kutunzwa na wazazi wake so mtoe kwenye hizo tuhuma zenu za hilo balaa.

Hao vijana unataka mpaka wakueleze hayo madhara huko uboizini? mimi nakwambia kwasababu ni field yangu nakutana na watu wa miraba minne na wanajeshi kabisa wanaolalamika udhaifu walionao, jambo ni kubwa kuliko unavyodhani mkuu.

Kuhusu uraibu wa aina nyingine, achana kabisa na uraibu wa kupitia katikati ya mapaja mkuu huu haufanani na wowote.Na itakuwaje usitengeneze na mtu ananogewa?.
 
Mkuu nakubaliana na maoni yako lkn napinga la kusema hao jamaa wa bodi skuli hawana madhara yoyote

Je unaweza kudhibitisha vipi?

Kwa mfano je unajua kumwaga mapema ni kutokana na madhara ya kupiga nyeto?
Mkuu, Kumwaga mapema ni muda gani? Kibiolojia umeumbwa umwage kuanzia dk 5 mpaka nusu saa. Mwanamke aliyejiandaa vizuri kuingiliwa na mwanaume ni 6 to 20minitues tena wengine wakifika tu umemgusisha tayari.

NB: WANAUME WENGI WENYE TATIZO LA KUWAHI HAWANA HILO TATIZO, WANAWAKE WANAKUWA NA TATIZO LA KUCHELEWA SABABU YA KUTOKUWA TAYARI NA TENDO. BIASHARA ZIKAINGIA HAPO NA WANAUME WANATIBU MATATIZO YA WANAWAKE KWA KUNYWA MADAWA.

WANAUME WACHACHE SANA WATAFANYA TENDO CHINI YA 5MIN, NA IKITOKEA BASI MARA YA PILI INACHUKUA MUDA SAHIHI KUMALIZA.
 
Baba yangu alioa akiwa na 19 years aliandaliwa mazingira ya kutunzwa na wazazi wake so mtoe kwenye hizo tuhuma zenu za hilo balaa.

Hao vijana unataka mpaka wakueleze hayo madhara huko uboizini? mimi nakwambia kwasababu ni field yangu nakutana na watu wa miraba minne na wanajeshi kabisa wanaolalamika udhaifu walionao, jambo ni kubwa kuliko unavyodhani mkuu.

Kuhusu uraibu wa aina nyingine, achana kabisa na uraibu wa kupitia katikati ya mapaja mkuu huu haufanani na wowote.Na itakuwaje usitengeneze na mtu ananogewa?.

Sawa tuachane na baba yako. Sio sawa nilichofanya kutoa mfano huo, heshima ifate mkondo wake.

Kama ni field yako basi ndo sababu unahisi ni tatizo kubwa, Hata mtu anayefanya mochwari atakuambia watu wanakufa sana, daktari atasema watu ni wagonjwa sana n.k
 
dronedrake na wengine wote

Athari nyingine ya nyeto ni kutomaliza hamu ya sex,ndio maana mkuu unasema waeza piga hata mara sita au nne kwa siku.

Unajua kuna maji maji Fulani kitaalam ukiwa na real sex hutoka pamoja wakati unafanya sex na hayo ndio hukufanya kutosheka na tendo


Lakini

Katika nyeto hayatoki na ndio maana mtu wa nyeto kila wakati anapata hamu ya kupiga Puri Tu, lakini ukifanya normal sex unaweza maliza hamu na ukawa fresh Tu

Jamani Athari zipo nyingi Sana

Tubadilike ndugu zangu
 
maji maji yapi ? pre-cum au post-cum ? mbona nazitoa kabla na baada ya mshindo ?
Hapana mkuu sio hayo unajua kitaalam kuna maji kama Aina nne ambayo pamoja huambatana katika tendo zima la kukojoa Kwa mfano kuna maji ambayo Yanaipa manii rangi ya cream Fulani na harufu yake, na mengine husafirisha mbegu kwa urahisi zaidi.

Nimesahau mengine Ila hiyo system nzima iko na mambo mengi Sana

Achana na hiyo utelezi ya matamanio ambayo kazi yake kukutayarisha Kwa AJILI ya tendo na kusafisha njia ili mbegu zipite Kwa usalama zaidi,kama vile ving'ola vinavyo safisha njia ili msafara wa Raisi upite Bila bughudha
 
Hapana mkuu sio hayo unajua kitaalam kuna maji kama Aina nne ambayo pamoja huambatana katika tendo zima la kukojoa Kwa mfano kuna maji ambayo Yanaipa manii rangi ya cream Fulani na harufu yake, na mengine husafirisha mbegu kwa urahisi zaidi.

Nimesahau mengine Ila hiyo system nzima iko na mambo mengi Sana

Achana na hiyo utelezi ya matamanio ambayo kazi yake kukutayarisha Kwa AJILI ya tendo na kusafisha njia ili mbegu zipite Kwa usalama zaidi,kama vile ving'ola vinavyo safisha njia ili msafara wa Raisi upite Bila bughudha
muhimu kukojoa na kutoa mbegu, hayo mengine mbwembwe
 
Kila mtu asimamie anachokiamini maana kutokana na maisha yake mwenyewe pengine mwingine anakwambia punyeto kwake ina faida kutokana na moja,mbili,tatu....mwingine hataki kusikia kabisa kuhusu punyeto kutokana na athari zilizopo sasa ni wewe mwenyew kuamua ujiweke kwenye kundi gani la wakosaji,wasiojielewa,wenye dhambi au wanaojielewa na kuishi kulingana na matakwa ya maisha yanavyotaka kuishi,ubongo wako ukisha tathmini juu ya yote then uje na msimamo wako mmoja.
 
Mkuu, Kumwaga mapema ni muda gani? Kibiolojia umeumbwa umwage kuanzia dk 5 mpaka nusu saa. Mwanamke aliyejiandaa vizuri kuingiliwa na mwanaume ni 6 to 20minitues tena wengine wakifika tu umemgusisha tayari.

NB: WANAUME WENGI WENYE TATIZO LA KUWAHI HAWANA HILO TATIZO, WANAWAKE WANAKUWA NA TATIZO LA KUCHELEWA SABABU YA KUTOKUWA TAYARI NA TENDO. BIASHARA ZIKAINGIA HAPO NA WANAUME WANATIBU MATATIZO YA WANAWAKE KWA KUNYWA MADAWA.

WANAUME WACHACHE SANA WATAFANYA TENDO CHINI YA 5MIN, NA IKITOKEA BASI MARA YA PILI INACHUKUA MUDA SAHIHI KUMALIZA.
Mkuu kukojoa Chini ya dakika Moja au mbili ni tatizo

Na kuhusu wanawake wanatofautiana,ni wachache Sana hukukojoa mapema lkn wengi wao kitaalamu ni kwenye dakika 7 mpaka 13
 
Mwanaume kukojoa mapema hutokana na vitu vingi mtu anaweza akawa na nguvu za kiume lakin baadhi ya vitu vikasababisha akawa anakojoa mapema kwa mfano stress,kukaa muda mrefu bila kufanya tendo,kuwa na matamanio ya muda mfupi,na matatizo ya kiafya.
 
Usidhamirie kuacha porn, dhamiria kuwa busy, kuwa na majukumu, ukifanikiwa kuwa na majukumu ya kukuweka busy hutajua hata kama unatakiwa kuacha kutazama porn.
Huu Ni uwongo kwani wanaopiga nyeto hawana majukumu wengine wanamjukumu mpaka Basi ila hata uwe na majukumu kijasi gani itafika muda utaingia geto ulale au utaingia bafuni kuoga hizo ndio sehemu utapigahio nyeto tu hata uwe na majukumu na makamouni mengi kama Musk bize Kama raisi still utapata muda was kufanya hio.

Suala ni kudhamiria kuacha tu
 
Mkuu kukojoa Chini ya dakika Moja au mbili ni tatizo

Na kuhusu wanawake wanatofautiana,ni wachache Sana hukukojoa mapema lkn wengi wao kitaalamu ni kwenye dakika 7 mpaka 13
Bao la ngapi la kwanza unatakiwa utumie dakika ngapi
 
Kukojoa chini ya dakika moja sio tatizo tatizo lipo kwenye muendelezo baada ya kukojoa(refractory period) apo ndo tunapima nguvu za kiume mwingine akishakojoa tuu iyo ni majogoo[emoji23][emoji23]
 
Huu Ni uwongo kwani wanaopiga nyeto hawana majukumu wengine wanamjukumu mpaka Basi ila hata uwe na majukumu kijasi gani itafika muda utaingia geto ulale au utaingia bafuni kuoga hizo ndio sehemu utapigahio nyeto tu hata uwe na majukumu na makamouni mengi kama Musk bize Kama raisi still utapata muda was kufanya hio.

Suala ni kudhamiria kuacha tu
Kuwa serious basi mtanzania mwenzangu. Soma, elewa kilichoandikwa ndo utoe jibu. Nimeongelea kama unataka kuacha kutazama porn. Porn inahitaji muda kuitazama, ujifungie sehemu uitazame, huwezi kuwa busy unafyatua matofali huku unatazama porn, au upo busy unaandaa shamba huku unatazama porn. Kutazama Porn na kuwa idle bila kazi ni mapacha wanaofanana.

Hayo mambo ya punyeto yanakuzwa tu ila si tatizo na mostly huwa yanaondokaga yenyewe automatic, kijana rijali anayebalehe uwezekano ni mkubwa kuwa atapiga punyeto unless ajiingize kwenye ngono mapema. Mwili una mahitaji. Na hili tendo lipo hata kabla ya urahisi wa kupata porn ila huwa linajiondokea unapokuwa mtu mzima. Ni watu wachache sana watu wazima wataopt kupiga punyeto badala ya kutafuta mwenza japo wapo wanafanya.

Porn ni mbaya siyo sababu imeleta punyeto, ni mbaya sababu inaharibu akili na kulemaza uwezo wa kufikiri. Punyeto vijana wamekuwa wakizipiga kabla hata ya hizo porn.
 
Back
Top Bottom