Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Wanasaikolojia wanadai porn husababisha upungufu wa nguvu za kiume
 
Ukiangalia porn unapiga puchu kwa raha sana....na unaokoa gharama nyingi na magonjwa mengi yanakupitia kushoto...
kama hutaki maendeleo acha.
Kikubwa kilicho nifanye nichukie nyeto naona ni udhaifu ni sawa na kutumia vitu fake kitu ambacho unajidangaya na kujishusha vyeo wanawake wote wazuri baada ya kufanya mpango wa kuoa unatumia mkono wako mwenyewe huo ni udhaifu wa hali ya juu. Hata katika maisha ya kawaida mimi bidhaa bora ninue kitu ghali cha uhakika kuliko ninue fake yake hata kama kinanipa ufanyaji Kazi na ufanisi unalingana na kutoachana mbali lakini nahisi ufahari sana na amanai ndani ya moyokutumia kitu halisi na Og.
 
mkuu , kua realistic weka namba utengeneze hoja, achana na mda kidogo, kidogo kwako ni miaka mingapi ? au karne ngapi ? au masaa mangapi ?

mapema zaidi, mda gani huo ?

binafsi nimenza nyeto 2016 kwa kuibia, lakini 2020 ndiyo nikaanza rasmi kabisa, yaani full time, mara nne mpaka tano KILA SIKU mpaka leo hii

izo theories zenu sijui mnaokotaga wapi, blah blah kibao, facts hamna basi tu mnaleta hisia
Mkuu Kwanza umenifurahisha kusema kwamba 2020 ndo umeanza rasmi full time yaani kama umeanza full time job hahaha dah umetisha Sana.

Hizi sio blah blah mkuu ni ukweli mtupu nadhani tofauti ya kuathirika kutokana na mtu na mtu ndio hufanya kwa wengine kuonekana kama hakuna athar.

Hii haina tofauti na wavuta sigara,ukiwaambia sigara sio nzuri atakwambia Mzee mi nimeanza kuvuta toka zamani Sana mbona Niko poa Tu,mfano Baba mkwe wangu Mungu amrehemu ameshatangulia mbele za haki alianza kuvuta sigara toka 1954 akiwa Darasa la Saba lkn kwenye miaka ya hivi karibuni alianza kukooa Ile mbaya na akiacha kuvuta ndo balaa.

Nini ninachojaribu kusema hapa ni kwamba Athari zipo tena Sana,sasa ni Mda gani utaona hayo madhara inategemeana mtu na mtu

Lakini nitafanya utafiti kidogo kuhusu mda gani mtu huweza kuathirika halafu nitaleta hapa
 
mkuu , kua realistic weka namba utengeneze hoja, achana na mda kidogo, kidogo kwako ni miaka mingapi ? au karne ngapi ? au masaa mangapi ?

mapema zaidi, mda gani huo ?

binafsi nimenza nyeto 2016 kwa kuibia, lakini 2020 ndiyo nikaanza rasmi kabisa, yaani full time, mara nne mpaka tano KILA SIKU mpaka leo hii

izo theories zenu sijui mnaokotaga wapi, blah blah kibao, facts hamna basi tu mnaleta hisia
Hiyo picha chini ni utafiti wa madaktari uingereza baada ya kufanya Scan za ubongo ,muulize mtu mbobezi kwenye nyeto akaacha jinsi gani anavyohisi utofauti akupe ushuhuda.
Screenshot_20230106_075421.jpg
 
Nini ninachojaribu kusema hapa ni kwamba Athari zipo tena Sana,sasa ni Mda gani utaona hayo madhara inategemeana mtu na mtu
bila kutaja mda kwa kweli, andiko halina maana , maana yaweza kua miaka 100,
 
Hiyo picha chini ni utafiti wa madaktari uingereza baada ya kufanya Scan za ubongo ,muulize mtu mbobezi kwenye nyeto akaacha jinsi gani anavyohisi utofauti akupe ushuhuda.View attachment 2470620

weka maelezo ya kina, izo rangi zinamaanisha nini ? nini tofauti ya kijani kushoto na samawati kulia ?
 
kufanya mpango wa kuoa
bvll$hit huko ndoani ndiyo kunanuka HIV, mume ana michepuko kadhaa, mke ana michepuko kadhaa
na bahati mbaya wanandoa wanasex bila ndom maana ni wanandoa

njoo mtaani huku, wake za watu wanauza uchi kweupee bila kupepesa macho na wanakupa na bei kabisa ukipata umcheki, hapo mme yuko kazini
mme anarudi ana kojolea papuchi ambayo mchana imetumika yenye muhuri wa Gridi, baada ya miaka 2 tayari OIs zinashika hatamu,
 
Unaweza kuacha nyeto pia ukawa mraibu wa watoto wa kike wanaojiuza ukaambulia magonjwa,cha msingi usimwambie mtu aache nyeto bali toeni ushauri wa kuacha uzinzi na uasharati maana mtu anayepiga nyeto anaweza akawa na athari chache zaidi kuliko yule mwenye anayefanya sex na wanawake wengi au ata kama ni mwanamke mmoja lakin asiwe muaminifu
 
Asante Sana madam kwa mchango wako hakika huwa huniangushi hata kidogo ndio maana nikajikuta nakukumbuka na kukukaribisha katika huu mjadala.

Na kupitia maelezo yako tumepata kufahamu nini maana ya kuathirika na huu uraibu maana nawe ulikuwa mmoja wapo kwahiyo umezungumzia kutokana na uzoefu wako, na umenifurahisha zaidi ulipo wataja wacheza porn kadhaa hii yote inaonyesha Hali halisi uliyopitia na Mimi huko nyuma wakati napita napita nakumbuka majina Kama mills na chereoke kama sio mageni Sana kwangu.

Nashukuru Sana Kwa kushare nasi uzoefu wako hakika umetupa nafasi ya kujua ukubwa WA tatizo katika jamii yetu na Sisi binafsi pia.

Kuna kitu kikubwa Sana tumejifunza kutoka kwako madam Mademoiselle

Shukrani sana kwa mda wako.
Asante sana...
 
Kila kitu ni kuamua tu! Ukisema sifanyi basi simamia msimamo wako..ni kweli dunia imejaa vishawishi vya kutosha lakini epuka yale mazingira yatakayokupeleka huko.
 
Unaweza kuacha nyeto pia ukawa mraibu wa watoto wa kike wanaojiuza ukaambulia magonjwa,cha msingi usimwambie mtu aache nyeto bali toeni ushauri wa kuacha uzinzi na uasharati maana mtu anayepiga nyeto anaweza akawa na athari chache zaidi kuliko yule mwenye anayefanya sex na wanawake wengi au ata kama ni mwanamke mmoja lakin asiwe muaminifu
Mkuu vyanzo vya mambo yote hayo ni hizo picha mkuu kwa asilimia kubwa.

Hizi picha zitakuhamasisha kuzini au kupiga nyeto, najua unaweza sema hata Bila hizo unaweza kufanya hivyo lkn ukweli kabisa hamasa inayoletwa na hizi picha ni kubwa mno.

Kwahiyo tunahimiza tuache Hizo picha,tuache uzinzi na tuache punyeto

Punyeto itaua uanaume wako,ndio maana wake zetu wanatoka Sana nje ya ndoa kwasababu tumeshindwa kukidhi haja zao Kwa kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume
 
Mkuu vyanzo vya mambo yote hayo ni hizo picha mkuu kwa asilimia kubwa.

Hizi picha zitakuhamasisha kuzini au kupiga nyeto, najua unaweza sema hata Bila hizo unaweza kufanya hivyo lkn ukweli kabisa hamasa inayoletwa na hizi picha ni kubwa mno.

Kwahiyo tunahimiza tuache Hizo picha,tuache uzinzi na tuache punyeto

Punyeto itaua uanaume wako,ndio maana wake zetu wanatoka Sana nje ya ndoa kwasababu tumeshindwa kukidhi haja zao Kwa kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume
Ni kweli punyeto zina madhara ila uzinzi una madhara zaidi japokuwa ata wasiopiga punyeto sikuizi wana upungufu wa nguvu za kiume tujikite zaidi kutunza afya zetu
 
Mkuu watu wanapoteza nguvu za kiume,hata tafiti mbali mbali zinasema hivyo, na ni kweli mtu haathiri ghafla Tu laa Bali inamchukua Mda kidogo,na hii huenda ikatokana na mara ngapi mtu hufanya, kwa mfano anayefanya mara mbili au tatu kwa siku bilashaka huyu ataathirika mapema zaidi kuliko Yule ambaye anafanya mara mbili kwa wiki
Nyeto Ingekua ina madhara haya mnayosema aisee mtaani sijui ingekuaje!
 
Niwaambie tu ,upigaji punyeto unaweza kumaliza nguvu za kiume au usimalize,na hii inategemea na namna mtu anavyo fanya,tambua punyeto zipo za namna tofauti tofauti.
Kwa wale walio pitia shule za bweni watanielewa,ukiweka wapiga punyeto watano utaona kila mtu ana staili yake ya upigaji japo lengo ni moja,kufika kileleni

Punyeto inayochosha uume ni ile ya kusugua uume mzima ,yani mtu anasugua uume wake kwa mkono toka kwenye kichwa cha uume hadi kwenye shina la uume,na pengine anaweza asiwe anafika kwenye shina moja kwa moja ila akawa anacheza na katikati na kwenye kichwa,hapo lazima uume ulegee mana mishipa itakuwa inashughurishwa si kitoto.
Kuna wengine huwa wana cheza na kichwa tu ,hawa angalau kupatwa na tatizo la ulegevu wa misuri huwa ni nadra.

Madhara ya porn na nyeto yapo kimwili na kiroho zaidi.
Tambua wanadamu tunaishi kwa nguvu ,na nguvu hizi si za kimwili bali za kiroho.Mtu ili ufanikiwe lazima uwe na nguvu za kiroho,nguvu za kiroho ndio huwa zinatoa uwezo wa kumiliki mali au kutawala jambo fulani

Unapoona kuna mtu kakuweza kwa jambo furani ,au kuna kitu kinakushinda wewe ila kuna mwingine anakiweza vizuri ,hizo ni nguvu za kiroho,mmezidiana ki roho.

Utazamaji wa porn na upiga punyeto huondoa nguvu za kiroho na kumfanya mtu aishi mtupu,unaweza jiona una nguvu na misuri ya kutosha ila tambua nguvu za mwili huwa hazina faida sana ukilinganisha na nguvu za kiroho.
Nguvu za kiroho ni kibali,matendo machafu hasa zinaa huondoa kibali kwa asilimia kubwa zaidi .
punyeto ni uchafu unao utenda juu ya nafsi yako mwenyewe,yani unatenda uovu katika mwili wako mwenyewe

Dalili za kupungukiwa au kukosa nguvu za kiroho ni pamoja na Kukosa kibali,mbele za Mungu na mbele ya binadamu, kuwa mtu wa kukataliwa na mambo yako kusua sua

Kuhisi hatia mda wote na kukosa amani,kukosa ujasiri na kuwa muoga hata kwa mambo ya kawaida ,kuwa mpweke ,kukosa msaada hata kwa watu wako wa karibu,kukosa ushawishi na kuwa mtu wa kupuuzwa ,kushindwa kufanya mambo mbele za watu ambayo unaweza kuyafanya ukiwa peke yako.

Hayo ni baadhi tu ila yapo mengi,katika yote ni bora zaidi kuchagua njia sahihi katika maisha .Na utambue kila unapojichua na kutoa mbegu zako ndo nguvu huondoka kwa staili hiyo

Ndo mana tunaambiwa, ikimbieni zinaa,mzinifu hawezi kuwa na nguvu za kiroho na ndio maana hata wachungaji wakianza kuchepuka kazi zao huishia pale pale
 
Back
Top Bottom