Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa kilicho nifanye nichukie nyeto naona ni udhaifu ni sawa na kutumia vitu fake kitu ambacho unajidangaya na kujishusha vyeo wanawake wote wazuri baada ya kufanya mpango wa kuoa unatumia mkono wako mwenyewe huo ni udhaifu wa hali ya juu. Hata katika maisha ya kawaida mimi bidhaa bora ninue kitu ghali cha uhakika kuliko ninue fake yake hata kama kinanipa ufanyaji Kazi na ufanisi unalingana na kutoachana mbali lakini nahisi ufahari sana na amanai ndani ya moyokutumia kitu halisi na Og.Ukiangalia porn unapiga puchu kwa raha sana....na unaokoa gharama nyingi na magonjwa mengi yanakupitia kushoto...
kama hutaki maendeleo acha.
Mkuu Kwanza umenifurahisha kusema kwamba 2020 ndo umeanza rasmi full time yaani kama umeanza full time job hahaha dah umetisha Sana.mkuu , kua realistic weka namba utengeneze hoja, achana na mda kidogo, kidogo kwako ni miaka mingapi ? au karne ngapi ? au masaa mangapi ?
mapema zaidi, mda gani huo ?
binafsi nimenza nyeto 2016 kwa kuibia, lakini 2020 ndiyo nikaanza rasmi kabisa, yaani full time, mara nne mpaka tano KILA SIKU mpaka leo hii
izo theories zenu sijui mnaokotaga wapi, blah blah kibao, facts hamna basi tu mnaleta hisia
Hiyo picha chini ni utafiti wa madaktari uingereza baada ya kufanya Scan za ubongo ,muulize mtu mbobezi kwenye nyeto akaacha jinsi gani anavyohisi utofauti akupe ushuhuda.mkuu , kua realistic weka namba utengeneze hoja, achana na mda kidogo, kidogo kwako ni miaka mingapi ? au karne ngapi ? au masaa mangapi ?
mapema zaidi, mda gani huo ?
binafsi nimenza nyeto 2016 kwa kuibia, lakini 2020 ndiyo nikaanza rasmi kabisa, yaani full time, mara nne mpaka tano KILA SIKU mpaka leo hii
izo theories zenu sijui mnaokotaga wapi, blah blah kibao, facts hamna basi tu mnaleta hisia
Asante mkuu kwa kuja na hii dataHiyo picha chini ni utafiti wa madaktari uingereza baada ya kufanya Scan za ubongo ,muulize mtu mbobezi kwenye nyeto akaacha jinsi gani anavyohisi utofauti akupe ushuhuda.View attachment 2470620
bila kutaja mda kwa kweli, andiko halina maana , maana yaweza kua miaka 100,Nini ninachojaribu kusema hapa ni kwamba Athari zipo tena Sana,sasa ni Mda gani utaona hayo madhara inategemeana mtu na mtu
Je umeona comment ya adriz hapo?bila kutaja mda kwa kweli, andiko halina maana , maana yaweza kua miaka 100,
Hiyo picha chini ni utafiti wa madaktari uingereza baada ya kufanya Scan za ubongo ,muulize mtu mbobezi kwenye nyeto akaacha jinsi gani anavyohisi utofauti akupe ushuhuda.View attachment 2470620
bvll$hit huko ndoani ndiyo kunanuka HIV, mume ana michepuko kadhaa, mke ana michepuko kadhaakufanya mpango wa kuoa
Haina maelezo kamili,nazan hii imebase kwenye addiction sio madhara kwenye ubongoHiyo picha chini ni utafiti wa madaktari uingereza baada ya kufanya Scan za ubongo ,muulize mtu mbobezi kwenye nyeto akaacha jinsi gani anavyohisi utofauti akupe ushuhuda.View attachment 2470620
Asante sana...Asante Sana madam kwa mchango wako hakika huwa huniangushi hata kidogo ndio maana nikajikuta nakukumbuka na kukukaribisha katika huu mjadala.
Na kupitia maelezo yako tumepata kufahamu nini maana ya kuathirika na huu uraibu maana nawe ulikuwa mmoja wapo kwahiyo umezungumzia kutokana na uzoefu wako, na umenifurahisha zaidi ulipo wataja wacheza porn kadhaa hii yote inaonyesha Hali halisi uliyopitia na Mimi huko nyuma wakati napita napita nakumbuka majina Kama mills na chereoke kama sio mageni Sana kwangu.
Nashukuru Sana Kwa kushare nasi uzoefu wako hakika umetupa nafasi ya kujua ukubwa WA tatizo katika jamii yetu na Sisi binafsi pia.
Kuna kitu kikubwa Sana tumejifunza kutoka kwako madam Mademoiselle
Shukrani sana kwa mda wako.
Mkuu vyanzo vya mambo yote hayo ni hizo picha mkuu kwa asilimia kubwa.Unaweza kuacha nyeto pia ukawa mraibu wa watoto wa kike wanaojiuza ukaambulia magonjwa,cha msingi usimwambie mtu aache nyeto bali toeni ushauri wa kuacha uzinzi na uasharati maana mtu anayepiga nyeto anaweza akawa na athari chache zaidi kuliko yule mwenye anayefanya sex na wanawake wengi au ata kama ni mwanamke mmoja lakin asiwe muaminifu
Tena sio kidogo mkuuTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Kweli mkuuKila kitu ni kuamua tu! Ukisema sifanyi basi simamia msimamo wako..ni kweli dunia imejaa vishawishi vya kutosha lakini epuka yale mazingira yatakayokupeleka huko.
Ni kweli punyeto zina madhara ila uzinzi una madhara zaidi japokuwa ata wasiopiga punyeto sikuizi wana upungufu wa nguvu za kiume tujikite zaidi kutunza afya zetuMkuu vyanzo vya mambo yote hayo ni hizo picha mkuu kwa asilimia kubwa.
Hizi picha zitakuhamasisha kuzini au kupiga nyeto, najua unaweza sema hata Bila hizo unaweza kufanya hivyo lkn ukweli kabisa hamasa inayoletwa na hizi picha ni kubwa mno.
Kwahiyo tunahimiza tuache Hizo picha,tuache uzinzi na tuache punyeto
Punyeto itaua uanaume wako,ndio maana wake zetu wanatoka Sana nje ya ndoa kwasababu tumeshindwa kukidhi haja zao Kwa kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume
Nyeto Ingekua ina madhara haya mnayosema aisee mtaani sijui ingekuaje!Mkuu watu wanapoteza nguvu za kiume,hata tafiti mbali mbali zinasema hivyo, na ni kweli mtu haathiri ghafla Tu laa Bali inamchukua Mda kidogo,na hii huenda ikatokana na mara ngapi mtu hufanya, kwa mfano anayefanya mara mbili au tatu kwa siku bilashaka huyu ataathirika mapema zaidi kuliko Yule ambaye anafanya mara mbili kwa wiki