Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Mimi sina dem wala mke naangalia zangu porn napiga zangu nyeto😁nalala sina ela za uwezo wa kua na mwanamke sina pesa sina swaga
 
Usidhamirie kuacha porn, dhamiria kuwa busy, kuwa na majukumu, ukifanikiwa kuwa na majukumu ya kukuweka busy hutajua hata kama unatakiwa kuacha kutazama porn.
 
Ukiangalia porn unapiga puchu kwa raha sana....na unaokoa gharama nyingi na magonjwa mengi yanakupitia kushoto...
kama hutaki maendeleo acha.
 
Unaazimia kuacha kuangalia ile unaingia Twitter unakutana na thread za watoto wameshalala, ukienda insta unakuta mademu wanatwerk, ukienda Telegram unakutana na group au channels za pisi kali.

Basi unasema unazima data jirani yako anakutega makusudi tu. Au umelala usiku unasikia chumba cha jirani mwanachuo kaleta demu.

Mradi tu na wewe ufanye dhambi zisizo za lazima
Hahahaa mkuu shetani ni mjanja sana
 
Asee ni ubishi wetu tu binadam lakin nyeto suala la aibu sana
Hili suala limeokoa vijana wengi sana na maambukizi. Unajua kama sio kusubiri kupevuka kwa akili na baadhi ya viungo, vijana walitakiwa katika miaka 15 wawe na ndoa. Kumzuia kijana asifanye hili jambo ni kumkatili sana.
 
Kwakweli mimi nina azimia kuacha/kupunguza unywaji wa pombe..... Maana dah....
 
Asante sana kwa kunipa hii heshima mkuu. Am honored kwakweli. Lakin aliekwambia ndani ya akili yako kwamba uniinvite kuchangia hajakosea.

Kitambo kidogo...nilishakuwaga na huu uraibu. Nimeteseka sana kuuacha..sana tu. Kila mtu ana shit ameshawahi pitia in life, well this is mine. Sasa unachokisema si uongo. Porn and Masturbation ina uraibu mbaya sana.

Sikuwaga na feeling na wanaume at all. Ilinipelekea niwe mtu flani nunda sana..extreme. Ikaniharibu saikojia maana always nilitakaga kuwa alone, mwenyewe mwenyewe, kivyangu vyangu. Ikanitengezea fake independence kujiona naweza kila kitu. Imenichukua muda mrefu kuishinda hii tabia.

Side effects: sawa ile ukicome unapata raha maana organs umezistimulate, na ubongo umereceive something you think is nice, lakin sasa shida ni kwamba viungo vya uzazi vinapata effect, ambazo zimeshaandikwa na shida kubwa zaidi ni ya kiroho. Partnership tunazofanya na hawa watu kwenye videoz, spiritual exchange zinazofanyika si kitoto.

Maana unakuwa enticed kufanya na wengi, sasa vitabu vya dini vyote vinakataza zinaa, waganga tu wanakatazaga uchafu hasa kama kuna specific directions kwa kitu unachokitazamia, majini tu ukiwa nao kuna wengine hawataki uzini..likikuvaa halitaki ukito****** ovyo, wewe ni nani?? kila unachofanya unajisikia kuhukumiwa, ukitaka kusali ama swali picha ama clip ya mriah mills, cherokee, sara j, darcie dolce inakujia kichwani alivyokua ananyonywa ndogo huku ananengua..ama nina kayy alivyokua anatwerk huku inaingia..saa ngapi utaswali ama kusali, saa ngapi utawaza maendeleo ndugu yangu. Maana unavyozidi kuwaza, unazidi kutamani, huyooo pornhub, kutafuta ingine yenye mikiki zaidi ili uenjoy.

Hata ukiwa prodctv utafanya asilimia 40 tu na utajiona ooh mbona nafanya kazi napata hela..lakin kiuhalisia umechunda..60 yote unampa bwana shetty. Hatimae sasa tamaa itazidi kuzaa dhambi, utatamani kufanya zaid...ukikutana na mshkaji ama manzi..wewe unataka upractise...na nikwambie hizi sexual fantasies watu tunazo ni porn after-effect, utazila ndogo mwshoe utatatman za wanaume wenzako...mtakataa hapa kwmba laana sijui nini lakin nimekutana na case katika counselling mwanaume ananiambia wazi j...nimechoka wanawake, sikuwah kupata wazo la kula wanaume wenzangu lakin hii porn stuff..na kula wanawake wengi mpaka kuja kuzoea kula ndogo imenipelekea nianze kuwaangalia wanaume wenzangu kwa jicho la pili. Anafaa kunywa vinywaji vikali ili alale maana he is so confused. Alishapata good women maishan mwake lakin kwa sabbu ya huu uraibu hawezi kuishi nao kw amani.

Mungu kasema anatupa akili katika mambo yote..na anatufundisha ili tupate faida, sasa kama tunaengage kwenye hizi addictions..tutasali ama swali kwa nani? Kama alivyonisaidia mimi, akusaidie na wewe ufanikiwe kuachana na hii addiction ili ubetter your life..and kama unaona am bluffing ni sawa..nilikua kama ama zaid yako...do what you like...neno langu si sheria anyways. Mkawe kheri na baraka kwenye maisha yenu yote. One love...
Duh.
 
Hili suala limeokoa vijana wengi sana na maambukizi. Unajua kama sio kusubiri kupevuka kwa akili na baadhi ya viungo, vijana walitakiwa katika miaka 15 wawe na ndoa. Kumzuia kijana asifanye hili jambo ni kumkatili sana.
Mkuu acheni kupoteza watu, limewaokoa na maambukizi ya gono na kuwasababishia athari kubwa kwenye ubongo hali inayowamaliza sekta zote sasa.

Vijana wanamaliza bundle la mwezi kwa siku moja tu kwasababu ya kutizama porn wewe unasema kuwakataza ni kuwakatili?.

Kwani hao vijana ni wanyama kwamba wanamparamia kila mtu? kama hujafikia muda wa kupata mtu permanent wa kuishi nae si uachane na kufanya mapenzi? tatizo kila anaepita mbele mnataka kujua anafananaje sasa adhabu yenu ni gono, uti sugu na kuota mawarts huko chini.
 
Asante sana kwa kunipa hii heshima mkuu. Am honored kwakweli. Lakin aliekwambia ndani ya akili yako kwamba uniinvite kuchangia hajakosea.

Kitambo kidogo...nilishakuwaga na huu uraibu. Nimeteseka sana kuuacha..sana tu. Kila mtu ana shit ameshawahi pitia in life, well this is mine. Sasa unachokisema si uongo. Porn and Masturbation ina uraibu mbaya sana.

Sikuwaga na feeling na wanaume at all. Ilinipelekea niwe mtu flani nunda sana..extreme. Ikaniharibu saikojia maana always nilitakaga kuwa alone, mwenyewe mwenyewe, kivyangu vyangu. Ikanitengezea fake independence kujiona naweza kila kitu. Imenichukua muda mrefu kuishinda hii tabia.

Side effects: sawa ile ukicome unapata raha maana organs umezistimulate, na ubongo umereceive something you think is nice, lakin sasa shida ni kwamba viungo vya uzazi vinapata effect, ambazo zimeshaandikwa na shida kubwa zaidi ni ya kiroho. Partnership tunazofanya na hawa watu kwenye videoz, spiritual exchange zinazofanyika si kitoto.

Maana unakuwa enticed kufanya na wengi, sasa vitabu vya dini vyote vinakataza zinaa, waganga tu wanakatazaga uchafu hasa kama kuna specific directions kwa kitu unachokitazamia, majini tu ukiwa nao kuna wengine hawataki uzini..likikuvaa halitaki ukito****** ovyo, wewe ni nani?? kila unachofanya unajisikia kuhukumiwa, ukitaka kusali ama swali picha ama clip ya mriah mills, cherokee, sara j, darcie dolce inakujia kichwani alivyokua ananyonywa ndogo huku ananengua..ama nina kayy alivyokua anatwerk huku inaingia..saa ngapi utaswali ama kusali, saa ngapi utawaza maendeleo ndugu yangu. Maana unavyozidi kuwaza, unazidi kutamani, huyooo pornhub, kutafuta ingine yenye mikiki zaidi ili uenjoy.

Hata ukiwa prodctv utafanya asilimia 40 tu na utajiona ooh mbona nafanya kazi napata hela..lakin kiuhalisia umechunda..60 yote unampa bwana shetty. Hatimae sasa tamaa itazidi kuzaa dhambi, utatamani kufanya zaid...ukikutana na mshkaji ama manzi..wewe unataka upractise...na nikwambie hizi sexual fantasies watu tunazo ni porn after-effect, utazila ndogo mwshoe utatatman za wanaume wenzako...mtakataa hapa kwmba laana sijui nini lakin nimekutana na case katika counselling mwanaume ananiambia wazi j...nimechoka wanawake, sikuwah kupata wazo la kula wanaume wenzangu lakin hii porn stuff..na kula wanawake wengi mpaka kuja kuzoea kula ndogo imenipelekea nianze kuwaangalia wanaume wenzangu kwa jicho la pili. Anafaa kunywa vinywaji vikali ili alale maana he is so confused. Alishapata good women maishan mwake lakin kwa sabbu ya huu uraibu hawezi kuishi nao kw amani.

Mungu kasema anatupa akili katika mambo yote..na anatufundisha ili tupate faida, sasa kama tunaengage kwenye hizi addictions..tutasali ama swali kwa nani? Kama alivyonisaidia mimi, akusaidie na wewe ufanikiwe kuachana na hii addiction ili ubetter your life..and kama unaona am bluffing ni sawa..nilikua kama ama zaid yako...do what you like...neno langu si sheria anyways. Mkawe kheri na baraka kwenye maisha yenu yote. One love...
Asante Sana madam kwa mchango wako hakika huwa huniangushi hata kidogo ndio maana nikajikuta nakukumbuka na kukukaribisha katika huu mjadala.

Na kupitia maelezo yako tumepata kufahamu nini maana ya kuathirika na huu uraibu maana nawe ulikuwa mmoja wapo kwahiyo umezungumzia kutokana na uzoefu wako, na umenifurahisha zaidi ulipo wataja wacheza porn kadhaa hii yote inaonyesha Hali halisi uliyopitia na Mimi huko nyuma wakati napita napita nakumbuka majina Kama mills na chereoke kama sio mageni Sana kwangu.

Nashukuru Sana Kwa kushare nasi uzoefu wako hakika umetupa nafasi ya kujua ukubwa WA tatizo katika jamii yetu na Sisi binafsi pia.

Kuna kitu kikubwa Sana tumejifunza kutoka kwako madam Mademoiselle

Shukrani sana kwa mda wako.
 
Mkuu ishi upendavyo watu tunafurahia mademu wa sio na shaka ndani mwao kwenye hizo porn, kila mtu afanye anavyotaka asivunje tu sheria za nchi.
 
nyeto ni BORA kuliko mrembo, warembo wa sasa brek pvmbv, mnato umeyeyuka tangu umri wa miaka 12

nyeto una adjust kiganja tu size uipendayo, ukitaka mwaga haraka unakibana, punde si punde vitamin D hii hapa, swafi kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nani aliyepoteza nguvu za kiume kwa kupiga nyeto? Inachukua mda mtu kupoteza nguvu za kiume?
Mkuu watu wanapoteza nguvu za kiume,hata tafiti mbali mbali zinasema hivyo, na ni kweli mtu haathiri ghafla Tu laa Bali inamchukua Mda kidogo,na hii huenda ikatokana na mara ngapi mtu hufanya, kwa mfano anayefanya mara mbili au tatu kwa siku bilashaka huyu ataathirika mapema zaidi kuliko Yule ambaye anafanya mara mbili kwa wiki
 
Mda kidogo

mapema zaidi
mkuu , kua realistic weka namba utengeneze hoja, achana na mda kidogo, kidogo kwako ni miaka mingapi ? au karne ngapi ? au masaa mangapi ?

mapema zaidi, mda gani huo ?

binafsi nimenza nyeto 2016 kwa kuibia, lakini 2020 ndiyo nikaanza rasmi kabisa, yaani full time, mara nne mpaka tano KILA SIKU mpaka leo hii

izo theories zenu sijui mnaokotaga wapi, blah blah kibao, facts hamna basi tu mnaleta hisia
 
Back
Top Bottom