Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Mkuu wewe ni specialist wa mambo ya uchafu na ushetani kwenye sekta hii huwezi ukausifu huu uzi.Uzi wa kipuuzi kabisa kuuanza mwaka 2023
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe ni specialist wa mambo ya uchafu na ushetani kwenye sekta hii huwezi ukausifu huu uzi.Uzi wa kipuuzi kabisa kuuanza mwaka 2023
Mpishi tu wa chakula cha shughuli akikaa jikoni mwanzo mwisho anakosa ile hamu ya chakula kwa kule kukiangalia na kusikilizia harufu muda wote.Lete ushahidi
uzi umejaa fantasies na hisia, hakuna factsMpishi tu wa chakula cha shughuli akikaa jikoni mwanzo mwisho anakosa ile hamu ya chakula kwa kule kukiangalia na kusikilizia harufu muda wote.
Vipi kwa jambo sensitive kama tendo la ndoa? yaani ukae unatizama maviungo ya uzazi ya watu tofauti siku nzima mengine meusi mabaya na uchafu usiozungumzika halafu usipate physiological damage?.
Wewe najua umeshafika 40s huna cha kupoteza, waelezeni ukweli hawa vijana sisi tuko field tunaona matatizo yao, hakuna kitu watakuja kufanya wakifika huko kwenye 40s maana ni kizazi dhaifu mno kwa kujiharibu wakiwa wadogo.
Wewe tukikukabidhi mke sasa hivi binti mwenye afya yake amelishwa vizuri kwao ukae nae 24/7 mwaka mzima, utatutia aibu tu.uzi umejaa fantasies na hisia, hakuna facts
sita sex naye, lazima nimpeleke Aga Khan akapime Ngoma, Gono, UTI , Kaswende, Warts, Herpes, HPV, Homa ya Inimwenye afya yake
Mbona unaota sana hayo magonjwa? au unadhani mke ni hao mabinti wa temeke sudan.sita sex naye, lazima nimpeleke Aga Khan akapime Ngoma, Gono, UTI , Kaswende, Warts, Herpes, HPV, Homa ya Ini
sasa shida hiyo yote ya nini ?
afya yangu ni bora kuliko sex, na-stick na Nyeto
sifugi K ndani kwangu , mimi na Nyeto, Nyeto na mimiMbona unaota sana hayo magonjwa? au unadhani mke ni hao mabinti wa temeke sudan.
Nani aliyepoteza nguvu za kiume kwa kupiga nyeto? Inachukua mda mtu kupoteza nguvu za kiume?Mkuu punyeto nayo ni janga ambalo utakuja kuona madhara yake hapo baadae, baada ya muda fulani unaua mishipa ya kwenye uume na kujikuta baadae hausimamishi vizur au kushindwa kabisa kupiga show
Heading sasa...isomeke AAZIMIA...Watu Wana malengo mengi Sana kila mwaka mpya ukianza na mengine ni Makubwa mno hata hayatekelezeki hata katika ndoto kwasababu hakuna ajuaye kesho yake, ingawa hii haitufanyi tusiache kuweka malengo.
Ndugu zangu ili tufanikiwe basi tunahitaji Sana msaada wa Mwenyezi Mungu, kwani si akili zetu pekee au ujanja wetu ambao unatuwezesha kutimiza malengo yetu pasina msaada wake.
Lakini tutakuwaje karibu na Mola wetu wakati kila siku tunaangalia mambo ya haramu?
Na mambo hayo ndio hutuhamasisha zaidi kufanya zinaa, kwasababu porn ina kawaida ya kumfanya mtu apate matamanio ya Hali ya juu na mwisho wake anaishia kuzini.
Porn ndio inayohamasisha watu kufanya mapenzi kinyume na maumbile, watu wengi sana siku hizi kutokana na kuathirika na video za ngono katika mitandao wamejikuta ni wahanga wakubwa wa kutaka kujaribu mambo ambayo huyaona huko katika porn.
Tubadilike ndugu zangu porn zinatuweka mbali na utukufu wa Mola wetu, kuangalia utupu ambao sio WA mume wako au mke wako ni haramu na INA mchukiza Sana muumba wetu.
Lakini hata ukija katika mazingira ya kawaida Tu, porn huwafanya watu kuwa tegemezi kwenye ngono, yaani hata akiwa na mkewe au mumewe ndani basi hawezi sisimka mpaka avute hisia za kwenye porn ndio aweze kupata hamasa na hamu ya Kula tunda na mwenza wake,je huo sio utumwa WA hisia?
Na humpunguzia hamu ya kuwa na mwenza wake pia, just imagine kila siku unaangalia utupu wa wanawake wangapi tena wa Aina mbali mbali, matokeo yake hata mkeo akiwa mtupu faragha na wewe hakuna kipya kwake kwasababu unaangalia za walatino, wabrazil, wachina, wahindi na listi inaendelea.
Vile vile porn iko na uraibu mkubwa Sana, yaani unakuwa Teja kiasi ambacho ukiwa Peke yako unatamani kuangalia huo uchafu, kuna mtu siku moja alionwa anaangalia porn ndani ya daladala, ebu just imagine mpaka unafikia kuangalia hayo madudu katika usafir WA umma ujue wewe tayar ni Teja la 5G.
Nadhani mnakumbuka Kule mjengoni kuna mbunge alionekana katika cctv camera yupo bungeni watu wanachangia mijadala lkn yeye anaangali porn.
Huu uraibu ni mbaya Sana,na ndio huwafanya watu kujichua kufanya masterbation na matokeo yake baada ya Mda mishipa ya uume hulegea na kuwafanya vijana kukosa nguvu za. Kiume.
Kuacha Kuangalia Porn ni Vita kubwa kuliko hata ya mrusi na Ukraine,inahitaji upambane haswa kushinda hizo temptation za kuangalia hayo madudu na hasa kama umekuwa na uraibu mkubwa.
Utaepuka mambo mengi Sana yenye kuzuru nafsi yako na mwili wako kama utafanikiwa kuacha kuangalia porn movies.
Weka Nia thabiti na azimia kwa nafsi yako na moyo wako wote kuwa no mor e porn 2023.
Mungu awabariki Sana.
Nawapenda Sana.
Kutoka kwangu ETUGRUL BEY
Ni hayo Tu!
Asante sana kwa kunipa hii heshima mkuu. Am honored kwakweli. Lakin aliekwambia ndani ya akili yako kwamba uniinvite kuchangia hajakosea.Kuna huyu madam anaitwa Mademoiselle huwa namkubali Sana Kwa comment zake mbali mbali
Kama hutojali tafadhali naomba utie neno hapa kidogo
Ila kama mada imekaa kushoto Sana kwako, usijali madam
Dah blaza ntumie na Mimi niingalieNimemaliza kutizama movie ya kuitwa Pirates, movie imejaa ngono mwanzo mwisho
Kwa hiyo hauna hata haja ya kuwa na familia wewe utakuwa mtu wa nyeto daima dumu ?sifugi K ndani kwangu , mimi na Nyeto, Nyeto na mimi
phuck family, Nyeto mpaka kufaKwa hiyo hauna hata haja ya kuwa na familia wewe utakuwa mtu wa nyeto daima dumu ?
Mwanaume aliyekamilika hawezi kuwa na mawazo kama hayo labda kama unafanya utani,nyeto tofauti sana na kuwa na mwenza coz utakosa vitu vingi sana vya msingi kwa uhitaji wa mwanadamu.phuck family, Nyeto mpaka kufa
sifanyi utaniunafanya utani
kama vipi ?vingi sana vya msingi
Kuacha nyeto sio rahisi kwanza inabidi ujiandae kiakili bwana nimeamua kuacha nyeto pia kama unakawaida ya kukaa sana ndani au kuwa mpweke jaribu kujichanganyasifanyi utani
kama vipi ?
siachiKuacha nyeto sio rahisi kwanza inabidi ujiandae kiakili bwana nimeamua kuacha nyeto pia kama unakawaida ya kukaa sana ndani au kuwa mpweke jaribu kujichanganya