Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Kuna mtu huko juu anasema haiwezekani kuacha, uhalisia ni kwamba unaweza kuacha sema mnaiendekeza miili yenu, afterwards mtu ukifanya punyeto majuto ya kutosha na kujihisi hatia wakati huo huo baada ya dakika kadhaa unataka kufanya tena.

Tuchukulie kuna mwamba ameshika bastola iko full loaded anakupointia kichwani halafu anakuwekea porn video kisha anakwambia vua nguo ufanye punyeto, utaweza kufanya? jibu ni hapana.Sasa kwanini huamini kuwa unaweza kuacha mwenyewe kwa maamuzi yako?.

Mfano mwingine, unakuta onyo kuwa hii link ndio link pekee ya kukupeleka kwenye porn lakini ina Trojans wa kutosha, fungua tu data zako kwenye simu ziende na maji, utafungua au hisia zitakata?.

Tupunguze kuendekeza miili yetu wakuu, sisi ni watu wenye uamuzi na uwezo wa kutekeleza maamuzi yetu, na ukijua jinsi gani kuangalia hizo picha chafu kunakufungulia mashambulizi ya mashetani na mabalaa kwenye maisha usingethubutu hata siku moja kuvua nguo na kutizama vitu vya ajabu huku kamkono ka kulia kamepakwa mafuta mwenyewe unafumba fumba macho kwa starehe uchwara.

Mambo ya aibu sana, hivi mtu akija pale akakustua kwa ghafla, wewe RAYMANU254 unafanyaje hapo! hivi itakuwaje?.
 
Kuna mtu huko juu anasema haiwezekani kuacha, uhalisia ni kwamba unaweza kuacha sema mnajiendekeza miili yenu, afterwards mtu ukifanya punyeto majuto ya kutosha na kujihisi hatia wakati huo huo baada ya dakika kadhaa unataka kufanya tena.

Tuchukulie kuna mwamba ameshika bastola iko full loaded anakupointia kichwani halafu anakuwekea porn video kisha anakwambia vua nguo ufanye masterbation, utaweza kufanya? jibu ni hapana.Sasa kwanini huamini kuwa unaweza kuacha mwenyewe kwa maamuzi yako?.

Mfano mwingine, unakuta onyo kuwa hii link ndio link pekee ya kukupeleka kwenye porn lakini ina Trojans wa kutosha, fungua tu data zako kwenye simu ziende na maji, utafungua au hisia zitakata?.

Tupunguze kuendekeza miili yetu wakuu, sisi ni watu wenye uamuzi na uwezo wa kutekeleza maamuzi yetu, na ukijua jinsi gani kuangalia hizo picha chafu kunakufungulia mashambulizi ya mashetani na mabalaa kwenye maisha usingethubutu hata siku moja kuvua nguo na kutizama vitu vya ajabu huku kamkono ka kulia kamepakwa mafuta mwenyewe unafumba fumba macho kwa starehe uchwara.

Mambo ya aibu sana, hivi mtu akija pale akakustua kwa ghafla, wewe RAYMANU254 unafanyaje hapo! hivi itakuwaje?.
Mkuu unatoa madini Sana Yani Sana, hizo hoja zako ni nzito Sana kwa watu wenye kufikiri mkuu
 
Kuna mtu huko juu anasema haiwezekani kuacha, uhalisia ni kwamba unaweza kuacha sema mnaiendekeza miili yenu, afterwards mtu ukifanya punyeto majuto ya kutosha na kujihisi hatia wakati huo huo baada ya dakika kadhaa unataka kufanya tena.

Tuchukulie kuna mwamba ameshika bastola iko full loaded anakupointia kichwani halafu anakuwekea porn video kisha anakwambia vua nguo ufanye punyeto, utaweza kufanya? jibu ni hapana.Sasa kwanini huamini kuwa unaweza kuacha mwenyewe kwa maamuzi yako?.

Mfano mwingine, unakuta onyo kuwa hii link ndio link pekee ya kukupeleka kwenye porn lakini ina Trojans wa kutosha, fungua tu data zako kwenye simu ziende na maji, utafungua au hisia zitakata?.

Tupunguze kuendekeza miili yetu wakuu, sisi ni watu wenye uamuzi na uwezo wa kutekeleza maamuzi yetu, na ukijua jinsi gani kuangalia hizo picha chafu kunakufungulia mashambulizi ya mashetani na mabalaa kwenye maisha usingethubutu hata siku moja kuvua nguo na kutizama vitu vya ajabu huku kamkono ka kulia kamepakwa mafuta mwenyewe unafumba fumba macho kwa starehe uchwara.

Mambo ya aibu sana, hivi mtu akija pale akakustua kwa ghafla, wewe RAYMANU254 unafanyaje hapo! hivi itakuwaje?.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kmmke ukishtuliwa ghafla "wewe unafanyaje apo" utakuwa mdogo kama pirton
 
Porn si nzuri ki afya ya mwili na roho,huondoa nguvu za kiroho na kumfanya mtu kuwa mtupu,nguvu za kiroho ndio zinazoongoza kwa mvuto wa mtu,ndio ile mmoja anachaguliwa mmoja anaachwa.

Utazamaji wa porn upo sambamba na punyeto,huwezi kusema wewe huwa unatazama tu porn ila hupigi punyeto ...ni nadra sana hii japo inawezekana .
Punyeto si nzuri na kama inawezekana basi ni bora kuiacha mara moja.

Mitandao nayo ina chochea sana utazamaji wa porn ,si twitter , instagram au wap,pote huko ni balaa tupu
We kama ni mhanga wa porn na nyeto ni bora kufuta apps zote zinazokupa acess ya kutazama huo uchafu,futa twitter,futa instagram.

Na twitter siku izi ndo kuna porn za kutosha tena za watoto wa uswahilini kabisa, kila ukijaribu kufungua tu twitter huwezi kumaliza mda bila kukutana na maudhui ya ngono.Soo sad!

Mimi napenda sana twitter ila kutokana na maudhui ya ngono nimeamua kuacha kuitumia kama instagram tu,nina miaka sijui kianachoendelea huko.

Nachotaka kusema porn ni adui wa maendeleo yako binafsi ,porn hupelekea mtu kuwa mtumwa wa nyeto ,na vipaumbele vyako kutotimilizika ,kuwa mtu usiye tumainika,mtazaji wa porn yupo tayari hata kufanya ngono na ndugu yake.
Porn hufanya mtu kutojiamini na kuwa mtu mwenye kujiona na hatia mda wote,unakuwa umenajisika mda wote,na neema au mambo mazuri kukutana nayo inakuwa nadra mana unakuwa ni chukizo mbele za Mungu.Hata ukienda kwenye usaili kukandwa inakuwa ni kawaida yako,unakuwa mtu wa kukataliwa.mtu usiye na neema

Amua leo kuacha kabisa kutazama picha hizo kama unauhitaji wa kuacha.Ila kama hauhitaji kuacha we utaja acha siku madhara yake yatakapo jidhihirisha
 
Kuna kisa nilikisikiliza kutoka kwa shk Yusufu Abdi wa Mombasa alielezea kua kuna jamaa alikua akitizama porno kisha mwanae mdogo akaingia chumbani ghafla kukuta baba yake akitizama uchafu huo na mtoto huyo akatoka mbio akisema baba aibu aibu, ndugu yule alishughulishwa akaona aelekee masjid kwa aibu ile nakudhamiria kubadilika,
Baadae anarudi nyumbani anakuta mwanae yule amefariki, na imekua ni mawaidha kwake daima anasema atasikia milele ile sauti ya mwanae ikisema aibu aibu baba na nadhan ndo sababu ya kuacha kutizama porno
 
Kuna kisa nilikisikiliza kutoka kwa shk Yusufu Abdi wa Mombasa alielezea kua kuna jamaa alikua akitizama porno kisha mwanae mdogo akaingia chumbani ghafla kukuta baba yake akitizama uchafu huo na mtoto huyo akatoka mbio akisema baba aibu aibu, ndugu yule alishughulishwa akaona aelekee masjid kwa aibu ile nakudhamiria kubadilika,
Baadae anarudi nyumbani anakuta mwanae yule amefariki, na imekua ni mawaidha kwake daima anasema atasikia milele ile sauti ya mwanae ikisema aibu aibu baba na nadhan ndo sababu ya kuacha kutizama porno
Hekma za baby zu .
 
Mkuu inawezekana kabisa kuachana na haya maujinga, sema hii ni dalili kuwa miaka 10-20 mbele tutakuwa na kizazi cha watu wazima wa hovyo sana maana ndio hawa hawa kina dronedrake .
Porn si nzuri ki afya ya mwili na roho,huondoa nguvu za kiroho na kumfanya mtu kuwa mtupu,nguvu za kiroho ndio zinazoongoza kwa mvuto wa mtu,ndio ile mmoja anachaguliwa mmoja anaachwa.

Utazamaji wa porn upo sambamba na punyeto,huwezi kusema wewe huwa unatazama tu porn ila hupigi punyeto ...ni nadra sana hii japo inawezekana .
Punyeto si nzuri na kama inawezekana basi ni bora kuiacha mara moja.

Mitandao nayo ina chochea sana utazamaji wa porn ,si twitter , instagram au wap,pote huko ni balaa tupu
We kama ni mhanga wa porn na nyeto ni bora kufuta apps zote zinazokupa acess ya kutazama huo uchafu,futa twitter,futa instagram.

Na twitter siku izi ndo kuna porn za kutosha tena za watoto wa uswahilini kabisa, kila ukijaribu kufungua tu twitter huwezi kumaliza mda bila kukutana na maudhui ya ngono.Soo sad!

Mimi napenda sana twitter ila kutokana na maudhui ya ngono nimeamua kuacha kuitumia kama instagram tu,nina miaka sijui kianachoendelea huko.

Nachotaka kusema porn ni adui wa maendeleo yako binafsi ,porn hupelekea mtu kuwa mtumwa wa nyeto ,na vipaumbele vyako kutotimilizika ,kuwa mtu usiye tumainika,mtazaji wa porn yupo tayari hata kufanya ngono na ndugu yake.
Porn hufanya mtu kutojiamini na kuwa mtu mwenye kujiona na hatia mda wote,unakuwa umenajisika mda wote,na neema au mambo mazuri kukutana nayo inakuwa nadra mana unakuwa ni chukizo mbele za Mungu.Hata ukienda kwenye usaili kukandwa inakuwa ni kawaida yako,unakuwa mtu wa kukataliwa.mtu usiye na neema

Amua leo kuacha kabisa kutazama picha hizo kama unauhitaji wa kuacha.Ila kama hauhitaji kuacha we utaja acha siku madhara yake yatakapo jidhihirisha
 
hapana, nakusahihisha, tutakua na kizaza cha wasiomeza njugu kama kina dronedrake
Kwahyo mafanikio ni kushindwa kujizuia kuparamia kila mwanamke kwa mbadala wa kujikamua mwenyewe kwa mkono wako, mkuu hata mnyama hawezi kufanya haya mambo wachilia mbali mtu mwenye uwezo wa kucopy jina la msanii wa huko amrikani kama wewe.
 
Back
Top Bottom