Uchaguzi 2020 Azimio: Bunge la Marekani laisihi Serikali ya Tanzania na wahusika wote kuhakikisha Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki

Uchaguzi 2020 Azimio: Bunge la Marekani laisihi Serikali ya Tanzania na wahusika wote kuhakikisha Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki

Uzuri wa Tanzania mvua ni nyingi wao hutegemea kutumia njaa kama silaha na sisi hatuna njaa zimbabwe na sisi ni vitu tofauti kabisa kule kuna njaa,hawana bahari ,hawana maziwa,hawana vitu ambavyo ni muhimu,sisi tunategemewa na nchi 07 kupitisha bidhaa zao,sisi tuna mazao mengi na hatutegemei chakul kutoka nje.
Hali huwezi fananisha Zimbabwe na Tanzania.
 
Siwezi kupingana na wewe! Unaconcern zako.. na naziheshimu. Ninachochukia ni "cowardice" mnayopotray kwa kujificha nyuma ya Marekani na Majirani.

You got an issue with your wife unangoja kuulalamikia umma kisa jirani yako ameuanika udhaifu wa mkeo? Utakuwa mume au kituko!?

Kuwa mwanaume.. ukiona hujaridhishwa ongea.. ukiona umedharauliwa pigania heshima yako sio kupiga kelele umesimama nyuma ya mwanaume mwingine.

Akina Abushiri (na machifu wote collaborators) waliishia utumwani kwa kutegemea vya bure toka kwa wageni.. and this is a "Deja vu" all over again.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hapana tunahitaji majeshi ya nje kutusaidia kama ilivyokuwa Iraq na kwingineko kabla mambo hayajawa mazito zaidi, kweli nchi imeporwa kijanja na watu wanaojifanya wazalendo kumble majizi makubwa.
 
Sisi mbona hhatukuwasii iMarekani na bunge kuwa Uchaguzi wa Marekani unakuwa huru na haki
Donald Trump asitumie warusi kumsaidia kuchakachua matokeo Marekani ilu ashinde kwa kutumia experts wa computer wa Kirusi?


Americans we Tanzanians under Leadership of Magufuli we are knowledgeable than you in some areas including election and ability to fight Corona don't teach us we agree there are areas that you have more knowledge than us but we also we have areas that we are knowledgeable than you like election and war against Corona
Trump and Congress Wear Mask because they are confused they don't know how to fight Corona!!!

Solve the problem of Trump who rigged election fraudulently before you jump to Tanzania as advissors!!!! Clean your house first
cc: Carleen
Khantwe

Hahahahahahahahahaahahahaaa. Unakuta huyu ndio mkurugenzi wa elimu ya sekondari pale wizara ya elimu
 
Kuna mgombea nimeona video kazidisha muda kakataa kushuka jukwaani na eti linajigamba lipo tayari kwa lolote
Watanzania, tuungane kumkataa IBILISI CCM kwa nguvu zetu zote. Changamoto zote zinazoikumba nchi yetu kwa sasa, chanzo ni hawa WAHUNI, WATEKA NYARA, Kubambia watu kesi zisizo na dhamana, kutawala kwa MABAVU kwa kuitupilia mbali KATIBA YA WANANCHI, na upuuzi mwingine mwingi tu.
 
Hapana tunahitaji majeshi ya nje kutusaidia kama ilivyokuwa Iraq na kwingineko kabla mambo hayajawa mazito zaidi, kweli nchi imeporwa kijanja na watu wanaojifanya wazalendo kumble majizi makubwa.
Kesho uje na mrejesho wa hali ya sasa ya huko Iraq, Afghanistan, Libya nk

Mwenzio akinyolewa!???? Wewe tia Maji.

Kalaghabao

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa Snowden yuko wapi? Acha kudanganyika kirahisi hivyo!
Watanzania, tuungane kumkataa IBILISI CCM kwa nguvu zetu zote. Changamoto zote zinazoikumba nchi yetu kwa sasa, chanzo ni hawa WAHUNI, WATEKA NYARA, Kubambia watu kesi zisizo na dhamana, kutawala kwa MABAVU kwa kuitupilia mbali KATIBA YA WANANCHI, na upuuzi mwingine mwingi tu.
 
Wanatamani wasimamie uchaguzi huu kumsaidia mchumba wao ashinde.
Watanzania, tuungane kumkataa IBILISI CCM kwa nguvu zetu zote. Changamoto zote zinazoikumba nchi yetu kwa sasa, chanzo ni hawa WAHUNI, WATEKA NYARA, Kubambia watu kesi zisizo na dhamana, kutawala kwa MABAVU kwa kuitupilia mbali KATIBA YA WANANCHI, na upuuzi mwingine mwingi tu.
 
Natoa amri kwa Serikali ya Marekani kuhakikisha Uchaguzi wao utakuwa Huru na haki ,

Hatutaki kusikia tena Urusi ikishutumiwa kuingilia Uchaguzi wao.
 
Hivi Kuna watu wanaamini kutakuwa na uchaguzi huru na haki? Kukatwa kwa wagombea wa ubunge ni kielelezo Tosha kuwa wapinzani hawatatangazwa washindi.
 
Back
Top Bottom