AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,406
- 4,899
Kama nao ninsehemu ya dhulumati washughulikiwe tu.Hahahaha, sawa bhana.
Ndugu zako je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nao ninsehemu ya dhulumati washughulikiwe tu.Hahahaha, sawa bhana.
Ndugu zako je?
Goli la mkono a. K. a ushindi wa mezaniSafi sana US tuko pamoja sisi tunaenda kumuondoa dikteta kazi yenu ni kutusaidia km kutakua na uibaji wa kura na kutangazwa walioshindwa
Hahahaha sawa bhana.Kama nao ninsehemu ya dhulumati washughulikiwe tu.
Hali huwezi fananisha Zimbabwe na Tanzania.Uzuri wa Tanzania mvua ni nyingi wao hutegemea kutumia njaa kama silaha na sisi hatuna njaa zimbabwe na sisi ni vitu tofauti kabisa kule kuna njaa,hawana bahari ,hawana maziwa,hawana vitu ambavyo ni muhimu,sisi tunategemewa na nchi 07 kupitisha bidhaa zao,sisi tuna mazao mengi na hatutegemei chakul kutoka nje.
Hapana tunahitaji majeshi ya nje kutusaidia kama ilivyokuwa Iraq na kwingineko kabla mambo hayajawa mazito zaidi, kweli nchi imeporwa kijanja na watu wanaojifanya wazalendo kumble majizi makubwa.Siwezi kupingana na wewe! Unaconcern zako.. na naziheshimu. Ninachochukia ni "cowardice" mnayopotray kwa kujificha nyuma ya Marekani na Majirani.
You got an issue with your wife unangoja kuulalamikia umma kisa jirani yako ameuanika udhaifu wa mkeo? Utakuwa mume au kituko!?
Kuwa mwanaume.. ukiona hujaridhishwa ongea.. ukiona umedharauliwa pigania heshima yako sio kupiga kelele umesimama nyuma ya mwanaume mwingine.
Akina Abushiri (na machifu wote collaborators) waliishia utumwani kwa kutegemea vya bure toka kwa wageni.. and this is a "Deja vu" all over again.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
cc: CarleenSisi mbona hhatukuwasii iMarekani na bunge kuwa Uchaguzi wa Marekani unakuwa huru na haki
Donald Trump asitumie warusi kumsaidia kuchakachua matokeo Marekani ilu ashinde kwa kutumia experts wa computer wa Kirusi?
Americans we Tanzanians under Leadership of Magufuli we are knowledgeable than you in some areas including election and ability to fight Corona don't teach us we agree there are areas that you have more knowledge than us but we also we have areas that we are knowledgeable than you like election and war against Corona
Trump and Congress Wear Mask because they are confused they don't know how to fight Corona!!!
Solve the problem of Trump who rigged election fraudulently before you jump to Tanzania as advissors!!!! Clean your house first
Watanzania, tuungane kumkataa IBILISI CCM kwa nguvu zetu zote. Changamoto zote zinazoikumba nchi yetu kwa sasa, chanzo ni hawa WAHUNI, WATEKA NYARA, Kubambia watu kesi zisizo na dhamana, kutawala kwa MABAVU kwa kuitupilia mbali KATIBA YA WANANCHI, na upuuzi mwingine mwingi tu.Kuna mgombea nimeona video kazidisha muda kakataa kushuka jukwaani na eti linajigamba lipo tayari kwa lolote
Kesho uje na mrejesho wa hali ya sasa ya huko Iraq, Afghanistan, Libya nkHapana tunahitaji majeshi ya nje kutusaidia kama ilivyokuwa Iraq na kwingineko kabla mambo hayajawa mazito zaidi, kweli nchi imeporwa kijanja na watu wanaojifanya wazalendo kumble majizi makubwa.
Watanzania, tuungane kumkataa IBILISI CCM kwa nguvu zetu zote. Changamoto zote zinazoikumba nchi yetu kwa sasa, chanzo ni hawa WAHUNI, WATEKA NYARA, Kubambia watu kesi zisizo na dhamana, kutawala kwa MABAVU kwa kuitupilia mbali KATIBA YA WANANCHI, na upuuzi mwingine mwingi tu.Kwa Snowden yuko wapi? Acha kudanganyika kirahisi hivyo!
Wamevubja sheria ipi mkuu?Huu utakua uchaguzi bora kuwahi kutokea
CHADEMA wanavunja sheria wazi wazi ili wakamatwe lakini polisi wamewachunia,
Watanzania, tuungane kumkataa IBILISI CCM kwa nguvu zetu zote. Changamoto zote zinazoikumba nchi yetu kwa sasa, chanzo ni hawa WAHUNI, WATEKA NYARA, Kubambia watu kesi zisizo na dhamana, kutawala kwa MABAVU kwa kuitupilia mbali KATIBA YA WANANCHI, na upuuzi mwingine mwingi tu.Wanatamani wasimamie uchaguzi huu kumsaidia mchumba wao ashinde.
Mku huu mtihani mzito kwa Viongozi wangu. Tuombe Mungu tusipitie walikopitia Gaddafi,Sadam,Mubara, na wengine wengi kwani huu mchezo ni Individual kuendana na matendo ya waliolengwa.
Eti magufuli kasema kweli ujinga mzigoMagufuli alishalisemea hili muda mrefu na akarudia na kusisitiza kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki. Sasa marekani Wana Nini kipya?
Mwambie Kipara Ile pc mkr itazima aise Hawa wenye dunia yao huwa hawachezewi mwambieni aache ushamba wa kijijini hapaHata wakileta ruben Lisu hashindi!