johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,730
Ndie walikuwa wawili kina Sykes nashangaa toto lao lipo lipo tuHuyu ni babu yake dully sykes?
Mauza,Mohamed Said, historia zako nzuri sana tatizo haziko balanced zimeegemea sana kuonyesha ni waislam tu waliopigania uhuru wa Tanganyika kitu ambacho ni uongo! Angalizo: mimi ni muislamu..jitahidi kua fair kidogo ili hizi historia ziwe zimebalance na sio kuvutia upande mmoja tu. Thanks.
Mbona hujibu swali ,unazunguka sana ? Jibu swali wacha maelezo mengi yasiyo eleweka ,uliposema Aziz Ali ndiye Muafrika wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na vioo ulikuwa na maana ganiYamagashi,
Ni rahisi sana kumuamsha mtu aliyelala kuliko yule ajifanyae amelala.
Nimekuelekeza vipi utapata jibu.
Anamaanisha mtanganyika wa kwanza mweusi kuwa na nyumba ya vigae. Elewa picha.Mbona hujibu swali ,unazunguka sana ? Jibu swali wacha maelezo mengi yasiyo eleweka ,uliposema Aziz Ali ndiye Muafrika wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na vioo ulikuwa na maana gani
Kulikuwa na ugumu gani kusema Mtanzania wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na kioo badala ya Muafrika wa kwanza ?
Oh kumbe Mwafrika wa kwanza maana yake ni Mtanganyika wa kwanza ?Anamaanisha mtanganyika wa kwanza mweusi kuwa na nyumba ya vigae. Elewa picha.
Yamakagashi,Mbona hujibu swali ,unazunguka sana ? Jibu swali wacha maelezo mengi yasiyo eleweka ,uliposema Aziz Ali ndiye Muafrika wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na vioo ulikuwa na maana gani
Kulikuwa na ugumu gani kusema Mtanzania wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na kioo badala ya Muafrika wa kwanza ?
Yamakagashi,Oh kumbe Mwafrika wa kwanza maana yake ni Mtanganyika wa kwanza ?
Asante sana
Nikiita hizi hekaya unachukia haya sawaYamakagashi,
Hakuna swali la kujibu.
Mtu asiejua kuogelea anaezama unamtupia mdizi aushike atoke majini.
Jibu kumbe unalijua halafu unauliza jibu sasa mimi nikujibu kitu kipi?
Kumbatia huo mdizi ukutoe hatarini.
Mada inayozungumziwa ni ya Tanganyika kwa Akili za kawaida tu mzee Mohamed Said alikuwa na maana ya Mwafrika kwanza kujenga nyumba ya vioo Tanganyika sio Africa au ulimwenguni"Mwafrika wa kwanza kununua gari na kujenga nyumba ya vigae na vioo mtoni " Aziz Ali ,hapa ulikuwa na maana gani ? Kwamba Afrika nzima Aziz Ali ndio alikuwa wa kwanza kujenga au ulimaanisha Mtanzania mweusi wa kwanza kujenga nyumba ?
Katika andiko ili udini uliwekwa mbele upo wapi tuache kufikiria kikaburu jamani mbona hivyoNapenda uandishi was Mohammad Said,tatizo anaweka sana dini mbele kama vile uislam ndio uliopigania Uhuru wa Tanganyika,badilika kaka
Kwa hiyo nikisema Mmarekani wa kwanza kujenga nyumba ya vioo maana yake naongelea Lost Angels lakini sio Sao Paolo sio ?Mada inayozungumziwa ni ya Tanganyika kwa Akili za kawaida tu mzee Mohamed Said alikuwa na maana ya Mwafrika kwanza kujenga nyumba ya vioo Tanganyika sio Africa au ulimwenguni
Sidhani km hicho unasema kina ukweli wwote jaribu pia kusoma vitabu vya mzee Mohamed Said kuna wakatoliki wengi tu wamewataja na kuwapa sifa zao katika kupigania Uhuru wa nchi hii ndugu ynguMohamed Said, historia zako nzuri sana tatizo haziko balanced zimeegemea sana kuonyesha ni waislam tu waliopigania uhuru wa Tanganyika kitu ambacho ni uongo! Angalizo: mimi ni muislamu..jitahidi kua fair kidogo ili hizi historia ziwe zimebalance na sio kuvutia upande mmoja tu. Thanks.
Kumbuka kuna aina tatu au njia tatu za kujibu swali njia ya kwanza unaweza kujibu swali kwa kupitia swali njia ya unaweza kujibu swali kwa maelezo njia tatu unaweza kujibu swali kwa kifupi sasa Mzee Mohamed Said amekujibu swali lako kupitia swali sasa sioni ubaya wwote hapo ndugu ynguMbona hujibu swali ,unazunguka sana ? Jibu swali wacha maelezo mengi yasiyo eleweka ,uliposema Aziz Ali ndiye Muafrika wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na vioo ulikuwa na maana gani
Kulikuwa na ugumu gani kusema Mtanzania wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na kioo badala ya Muafrika wa kwanza ?
Nafikiri labda utakuwa una matatizo binafsi kichwani mwako umesoma vzuri andiko na kulielewa vzuri kbs maana mfano unao toa na mada yetu ni vitu viwili tofauti sie tumezungumzia Tanganyika sio Africa ila ktk tanganyika kuna aina ya watu tofauti mfano unaweza kusema rage ni mtanganyika wa kwanza mwenye Asili ya kisomali kuwa mbungeKwa hiyo nikisema Mmarekani wa kwanza kujenga nyumba ya vioo maana yake naongelea Lost Angels lakini sio Sao Paolo sio ?
Wewe utanichosha na maswali yangu hamtaki kujibu mnazungukaNafikiri labda utakuwa una matatizo binafsi kichwani mwako umesoma vzuri andiko na kulielewa vzuri kbs maana mfano unao toa na mada yetu ni vitu viwili tofauti sie tumezungumzia Tanganyika sio Africa ila ktk tanganyika kuna aina ya watu tofauti mfano unaweza kusema rage ni mtanganyika wa kwanza mwenye Asili ya kisomali kuwa mbunge