Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

Ni historia nzuri kabisa na nimefurahi sana kuisikia kwani mimi nimewahi kuishi Mtoni National Housing na nailikuwa sijui historia hii ya Mtoni kwa Aziz Ali. Lakini kilichonifurahisha zaidi ni kuhusu mtoto wa huyu bwana ambaye alikuwa contractore enzi hizo za niaka ya 50 hence he was rich lakini I quote ''Aziz Ali yeye alinunua karabai kwa kila msikiti na ikifika Maghrib mwanae Hamza alikuwa akizitia mafuta na kuziwasha kisha akizipeleka kila msikiti tayari kwa sala ya Maghrib. Inapomalizika sala ya Isha alikuwa anapita tena katika ile misikiti kukusanya karabai zake na kurudi nazo nyumbani kwao Mtaa wa Mbaruku na Kongo' I am so humbled kwa kweli. Hili ndio wenzetu matajiri wanalotushinda kuwafundisha watoto humbleness, big up Marehemu Aziz Ali May your Soul Rest in Peace! Huyu Hamza nayeye yuko wapi?
Hamza Aziz alikuja kuwa IGP wa kwanza wa Tanganyika huru.
 
Iceman,
Aziz Ali
umaarufu wake uko katika utajiri wake na katika kujenga misikiti na nyumba
za watu wa Dar es Salaam akwa kama mkandarasi kwa ustaarabu sana maana inasemekana akiwafanyia wepesi kulipa na ikiwa mtu kashindwa kulipa alisamehe deni.

Hii mali yake aliyochuma katika uhai wake alirithi mwanae Dossa na Dossa alitumia mali hii katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Kumbe Dossa Aziz ni Mtoto wa Aziz Ally? Ilikuaje Mzee Dossa yeye akaelekeza makazi yake Mlandizi Pwani?
 
Hamza Aziz alikuja kuwa IGP wa kwanza wa Tanganyika huru.
Ahaaa You see! Jamani safi sana! I am sure alichaguliwa kutokana na Credit lakini pia huwa kuna lawama Mwalimu Nyerere sijui hakuwakumbuka baadhi ya watu, huenda pia mchango wa baba yake ulisaidia. Lakini botom line, Academic Qualifications tu hazitoshi vijana wajue kuwa Attitude inachangia mnooo pia katika kazi. Ninaamini na huyu Bwana Hamza alikuwa nayo na ilijengwa na baba yake. Kuna la kujifunza hapo! Thanks.
 
Oh kumbe Mwafrika wa kwanza maana yake ni Mtanganyika wa kwanza ?

Asante sana
Hapa hebu nimsaidie maana sijui utakuwa wa mwaka gani. Hapa alikuwa analinganisha makundi ya: Mwafrika, Mzungu, Muhindi na mwarabu.
 
Ahaaa You see! Jamani safi sana! I am sure alichaguliwa kutokana na Credit lakini pia huwa kuna lawama Mwalimu Nyerere sijui hakuwakumbuka baadhi ya watu, huenda pia mchango wa baba yake ulisaidia. Lakini botom line, Academic Qualifications tu hazitoshi vijana wajue kuwa Attitude inachangia mnooo pia katika kazi. Ninaamini na huyu Bwana Hamza alikuwa nayo na ilijengwa na baba yake. Kuna la kujifunza hapo! Thanks.
Mwana,
hakuna mahali popote katika maandishi yangu ambako nimeleta
hoja ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika kukumbukwa
kwa kupewa vyeo.

Mimi siku zote nimeandika msukumo ukiwa kusahihisha historia.

Labda nifahamishe kuwa wengi katika waliomuunga Nyerere mkono
mathalan Abdul Sykes, Dossa Aziz, Hamza Mwapachu, John Rupia
na wazee kama Mwinjuma Mwinyikambi, Jumbe Tambaza kuwataja
wachache walikuwa watu wa kujiweza sana.

Miaka ya 1950 Dossa Aziz ana malori saba ya mchanga na yeye mwenyewe
ana gari ndogo ya kutembelea na nyingine alimpa Nyerere afanyie kazi za
TANU.

Abdul Sykes anaendesha Mercedes Benz kijana mdogo kabisa.
Mdogo wake Abbas anaendesha Citroen ikisisimua vijana wenzake mji mzima.

Mie mdogo haya yote nimeyaona kwa macho yangu.

Siku moja nazungumza na Balozi Abbas Sykes nikamuuliza kuhusu ile gari
yake.

Nilipata mshtuko.

Alinambia hela ya kununua ile gari alichukua kwa mama yake Bi. Mruguru biti
Mussa.


Wazalendo hawa hawakufanya yote waliyofanya kwa kutaka vyeo baada ya uhuru
kupatikana.

Ninachofanya mimi siku zote ni kuiweka sawa historia za hawa wazee wangu ili
kizazi hiki na vinavyokuja waje kuwajua watu hawa na historia yetu isipotee.

Mtunda yake ni haya kuwa hii leo vijana wa Gerezani wananiandikia wananiuliza
kwa nini Yusuf Makamba apewe mtaa Gerezani ilhali Dossa Aziz aliyefanya
makubwa hajapewa mtaa wowote?

Jibu langu siku zote huwaambia kuwa waiulize serikali ya CCM ni vigezo vipi
vilitumika kumpa Makamba mtaa wakamuacha Dossa?

Mwana,
Kuna la kujifunza hapa.
Thanks.
 
Mwana,
hakuna mahali popote katika maandishi yangu ambako nimeleta
hoja ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika kukumbukwa
kwa kupewa vyeo.

Mimi siku zote nimeandika msukumo ukiwa kusahihisha historia.

Labda nifahamishe kuwa wengi katika waliomuunga Nyerere mkono
mathalan Abdul Sykes, Dossa Aziz, Hamza Mwapachu, John Rupia
na wazee kama Mwinjuma Mwinyikambi, Jumbe Tambaza kuwataja
wachache walikuwa watu wa kujiweza sana.

Miaka ya 1950 Dossa Aziz ana malori saba ya mchanga na yeye mwenyewe
ana gari ndogo ya kutembelea na nyingine alimpa Nyerere afanyie kazi za
TANU.

Abdul Sykes anaendesha Mercedes Benz kijana mdogo kabisa.
Mdogo wake Abbas anaendesha Citroen ikisisimua vijana wenzake mji mzima.

Mie mdogo haya yote nimeyaona kwa macho yangu.

Siku moja nazungumza na Balozi Abbas Sykes nikamuuliza kuhusu ile gari
yake.

Nilipata mshtuko.

Alinambia hela ya kununua ile gari alichukua kwa mama yake Bi. Mruguru biti
Mussa.


Wazalendo hawa hawakufanya yote waliyofanya kwa kutaka vyeo baada ya uhuru
kupatikana.

Ninachofanya mimi siku zote ni kuiweka sawa historia za hawa wazee wangu ili
kizazi hiki na vinavyokuja waje kuwajua watu hawa na historia yetu isipotee.

Mtunda yake ni haya kuwa hii leo vijana wa Gerezani wananiandikia wananiuliza
kwa nini Yusuf Makamba apewe mtaa Gerezani ilhali Dossa Aziz aliyefanya
makubwa hajapewa mtaa wowote?

Jibu langu siku zote huwaambia kuwa waiulize serikali ya CCM ni vigezo vipi vilitumika
kumpa Makamba mtaa wakamuacha Dossa?

Mwana,
Kuna la kujifunza hapa.
Thanks.
MOhamed naona hukunielewa sikukusema wewe nimesema kuna watu huwa wanatoa Lawama kwa Mwalimu Nyerere wewe ndio umetutoa tonmgotonmgo kuwa pamoja na credit za watoto wa waliochangia uhuru inaonekana waliwaconsider. Sasa sijui wapi nimekupoint wewe labda ni kujishuku tu!
 
Wanamajlis,
Ukweli ni kuwa historia hii niliyoandika na kitabu kuchapwa Uingereza mwaka 1998,
''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924- 1968)The Untold Story of the Muslim
Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,'' Minerva Press, Londn ilichoma na
kuwastua wengi sana.

Kwa nini iliwashtua wengi ni kuwa wanahistoria takriban wote waliaanza kwa kusema
kuwa harakati za kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika zilianza na Mwalimu
Nyerere
1954.

Mimi nilirudi nyuma sana nikaanza na historia ya African Association na nikitumia kile
kinachoitwa, ''biographical approach,'' na kwa kusoma nyaraka za ukoo wa Sykes nikaja na
historia mpya kabisa kwa wengi.

Lakini kubwa ni kuwa wengi katika mashujaa wa uhuru wa Tanganyika walikuwa ni wazee
wangu hapa Dar es Salaam na wakifahamika kwa sifa hiyo.

Hili nimelisema mara kadhaa hapa jamvini.
Sina haja ya kurudia.

Wengi walipoona majina yale ya Waislam sijui kwa nini hawakupenda.

Lakini ukweli ni kuwa hawa ndiyo walokuwa wameachwa kutajwa katika historia rasmi ya
TANU iliyoandikwa na Chuo Cha Kivukoni mwaka wa 1981.

Kuhusu Wakristo katika kupigania uhuru wa Tanganyika walikuwapo na ukipitia faharasa
(index) ya kitabu utakuta majina yao.
Mpaka kupitia Index kwa nini huyataji?!?!?!
 
Huyo alikuwa mhamiaji mateka wa kivita toka Afrika Kusini, kabila lake ni Mzulu......
Kibaya nikuwa Mohamed Said anamfifisha Cesil Matola kwamba hastahili kupewa jina la mtaa kwakuwa si mdarisalamu lakini hapohapo anajisahau na kumtaja Mzee Azizi Ali ambae ana mtaa kabisa na hakuwa kiongozi wa kisiasa wala harakati, kibaya zaidi hana nasaba za Dar Es Salaam, kwakuwa kwao ni Tanga.

Cesil Matola muyao alikuwa rais wa kwanza wa AA, na mpaka leo hakumbukwi popote katika historia ya Dar wala historia ya CCM....
Can You imagine?!?!?! Double standard!!!!
 
Kadoda,
Hata mimi ningependa kusoma habari za Cecil Matola.

Nilifanya utafiti wa wazalenso wa Mission Quarters habari nilizopata
zilikuwa za Erika Fiah na Mwalimu Thomas Saudtz Plantan peke yao.

Sikupata maisha ya Cecil Matola labda kwa kuwa alikufa mwaka 1933
mapema kiasi cha kutoweza kufanya mengi.

Hata katika nyaraka za Sykes, Cecil Matola hakutokeza ila akina Plantan
wote, Thomas, Schneider na mdogo wao Ramadhani wamo.
Cha Muhimu ni kuwa nchi hii ilipiganiwa na makabila yote na dini zote. lakini hikli haliondoi ukweli kuwa aliyewaunganisha mpaka tukapata uhuru ni Mwalimu Nyerere. Hebu naomba utuandikie kwa uchambuzi " Analysisi'' Factors zilizo mfanya - Mwalimu mwenye umri mdogo sana, Mtu aliyetokea Bara, Mtu mywenye dini tofauti na Wapigania uhuru ambao umewataja. Alikuwa ana karama gani kuweza kuwaconvince mpaka wakampa uongozi na kweli Uhurtu ukapatikana? Hebu tuandikie na hicho kitabu na utumie reference zako. Kwani kama kupigania uhuri wako wengi tu akiwemo mama mmoja alityesema mimi nilipigania uhuru na sikutaka cheo!
 
Viroba ni hatari sana acha kuvinywa akili zako zirejee... Nani kasema sielewi au unachanganya hoja za wengine unanipa Mimi na pia hujaulizwa wewe na aliyemuuliza ni mwingine acha uvivu Wa kusoma Mada huku ndio maana unakurupuka... Aliyeulizwa mleta Mada kashindwa kujibu wewe ndio unajua majibu kuliko yeye aliyetunga story ya uongo? Mimi namuweka sawa asiweke vikorombezo kwenye mambo ya history even history za dini ujinga ujinga mwingi ulifutwa maana vinaleta upuuzi na history haitokubalika katu... Huyu huwezi mtetea zaidi nawe unajionesha kuwa ni bwege Wa ushabiki tu mbululaz kitu kielezea wazi na Dunia wakisoma wanaona Mwafrica Wa kwanza kujenga nyumba ya Vigae aliishi Tanganyika period

Povu linakutoka, huo unaousema ni uongo mpaka sasa hujaja na mbadala wake wa ukweli.

Tunajuwa, ni maradhi ya moyo na kila kukicha huzidi.


Alama Mohamed Said leta historia ya wazee wetu waliosahauliwa na nnaelewa kwanini Duduwasha historia hii inamuwasha mpaka povu linamtoka kwa kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.

Ni kwa sababu tu hawaoni wazee wake kwenye hii historia na akitazama kumbukumbu zao anakuta hana kabisa pa kuwaweka kwenye historia hii adimu ya Tanganyika.

Duduwasha tupe basi ukweli badala ya huu uongo tunaousoma hapa.

Hapo sasa!
 
Cha Muhimu ni kuwa nchi hii ilipiganiwa na makabila yote na dini zote. lakini hikli haliondoi ukweli kuwa aliyewaunganisha mpaka tukapata uhuru ni Mwalimu Nyerere. Hebu naomba utuandikie kwa uchambuzi " Analysisi'' Factors zilizo mfanya - Mwalimu mwenye umri mdogo sana, Mtu aliyetokea Bara, Mtu mywenye dini tofauti na Wapigania uhuru ambao umewataja. Alikuwa ana karama gani kuweza kuwaconvince mpaka wakampa uongozi na kweli Uhurtu ukapatikana? Hebu tuandikie na hicho kitabu na utumie reference zako. Kwani kama kupigania uhuri wako wengi tu akiwemo mama mmoja alityesema mimi nilipigania uhuru na sikutaka cheo!

Si uandike wewe unayoyajuwa, maana Mohamed Said kayaandika ayajuayo kutokana na wazee wake alipokuwa akikuwa anawaona.

Hivi yote ayasemayo, umekisoma kitabu cha Mohamed Said japo kimoja ukayakosa? Kama jibu ni ndiyo tuandikie basi mbadala na ukizitaka rejea zake zote kaziainisha katika vitabu vyake kitaalam kabisa.

Mbona waandishi wengine wengi tu huenda mpaka kwake kuchukuwa elimu bila khiyana, hata nawe waweza kwenda tu kuchota mengi halafu uje na mbadala.
 
Si uandike wewe unayoyajuwa, maana Mohamed Said kayaandika ayajuayo kutokana na wazee wake alipokuwa akikuwa anawaona.

Hivi yote ayasemayo, umekisoma kitabu cha Mohamed Said japo kimoja ukayakosa? Kama jibu ni ndiyo tuandikie basi mbadala na ukizitaka rejea zake zote kaziainisha katika vitabu vyake kitaalam kabisa.

Mbona waandishi wengine wengi tu huenda mpaka kwake kuchukuwa elimu bila khiyana, hata nawe waweza kwenda tu kuchota mengi halafu uje na mbadala.
Naomba anijibu muhusika tafadhali!
 
Nakushuru kwa kusahihisha makosa ya kiherufi...

Juu ya rejea sina sababu ya kuzisoma kwakuwa zote ni mkusanyiko wa mawazo yako jambo ambalo mimi nakupinga siku zote.

Umesahihishwa mpaka jina la mtaa si herufi tu.

Huna ulijualo kijana.
 
Back
Top Bottom