Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine

Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine

Mchezaji wa soka maarufu, Aziz Ki, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu mapenzi yake na mpenzi wake, Hamisa Mobetto. Akitumia mtandao wa kijamii wa Instagram, Aziz Ki ameandika ujumbe wa kipekee kwa Mobetto, akimtakia Siku ya Valentine na kuelezea jinsi alivyojisikia kuhusu uhusiano wao saa chache kuelekea ndoa yao.

View attachment 3236582

"Tangu nilipokutana nawe (Hamisa), nilijua kuwa wewe ni wangu wa milele. Wewe ni ushindi wangu mkubwa, ndoto yangu nzuri zaidi imetimia."

"Mwaka jana, nilipiga shuti muhimu zaidi-sio uwanjani, lakini kwa goti moja. Na uliposema NDIYO, Dunia yangu ilibadilika milele."


View attachment 3236583
View attachment 3236584
View attachment 3236601
Soma, Pia
Mapenzi matamu nyie....dah jamaa anafaidi.
Kadi za mwaliko basi jamani na mie nikalione hilo limsambwanda live
 
siioni stability yake uwanjani kupitia huyo mdangaji. Changamoto za mahusiano zina impact mpaka kwenye kiwango cha wachezaji uwanjani.
Ah wee bwana inategemea mbona romaldinho na ronaldo de lima wakisasambua mbususu ndio walikuwa wanapiga boli hatari kweli kweli.

Huyu nae akishapewa msambwanda huo atakuwa anatupia tuu.
 
Wachezaji wengine hawana mahusiano?
Anaelewa maana ya stability, mimi sioni kuna binti hapo katoa mfano wa Uwoya (Ambao wote wadnagaji) na Ndikumana jamaa alikuwa anacheza nje, ila kilicho tokea baada kuoa mlikiona, kuna akina Kyle Walker na Pep Guardiola so MIMI SIONI STABILITY ya Ki kupitia hayo mahusiano.

Kwa maslahi ya Yanga wamuuze, kabla hajaanza kucheza chini ya kiwango na uzuri club za Uarabuni wanamtaka kwa hela kubwa USD 400k.
 
Ah wee bwana inategemea mbona romaldinho na ronaldo de lima wakisasambua mbususu ndio walikuwa wanapiga boli hatari kweli kweli.

Huyu nae akishapewa msambwanda huo atakuwa anatupia tuu.
Ronaldinho na Ronaldo malaya wakutupwa wale,hawajui kustick na mwanamke mmoja,tena kama huyo Ronaldinho alikuwa sometimes anaondoka kambini kwenda kwenye matamasha yao ambayo wanawake hutembea na bikini mtaani na De lima kuna Rumours alipita mpaka na Transgender.

Ila huyu Ki kajilipua kabisa,tena kwa mdangaji mfuatilie Uwoya na Ndikumana.
 
Anaelewa maana ya stability, mimi sioni kuna binti hapo katoa mfano wa Uwoya (Ambao wote wadnagaji) na Ndikumana jamaa alikuwa anacheza nje, ila kilicho tokea baada kuoa mlikiona, kuna akina Kyle Walker na Pep Guardiola so MIMI SIONI STABILITY ya Ki kupitia hayo mahusiano.

Kwa maslahi ya Yanga wamuuze, kabla hajaanza kucheza chini ya kiwango na uzuri club za Uarabuni wanamtaka kwa hela kubwa USD 400k.
Acha nongwa mkuu kwa hiyo unataka yeye asifaidi matunda ya kazi yake.
 
Acha nongwa mkuu kwa hiyo unataka yeye asifaidi matunda ya kazi yake.
Mimi sina Nongwa uzuri ni mwana Yanga,pili mpira naufuatilia yaani mpaka maisha ya wachezaji wanayo ya pitia sababu ya changamoto zao za ndoa.Kuna sehemu nimesema asifaidi?.Ila kwa maslahi ya timu ya Yanga na kwa trend za wanawake kama hao,bora Yanga wamuuze tupate hela maana kiwango kikidrop tutamuuza ila kwa hela mbuzi.
 
Ronaldinho na Ronaldo malaya wakutupwa wale,hawajui kustick na mwanamke mmoja,tena kama huyo Ronaldinho alikuwa sometimes anaondoka kambini kwenda kwenye matamasha yao ambayo wanawake hutembea na bikini mtaani na De lima kuna Rumours alipita mpaka na Transgender.

Ila huyu Ki kajilipua kabisa,tena kwa mdangaji mfuatilie Uwoya na Ndikumana.
Muhimu anaipa roho inachotaka mzeya anajinesea juu ya msambwanda. Na sinasikia anapiga miguu yote
 
Mimi sina Nongwa uzuri ni mwana Yanga,pili mpira naufuatilia yaani mpaka maisha ya wachezaji wanayo ya pitia sababu ya changamoto zao za ndoa.Kuna sehemu nimesema asifaidi?.Ila kwa maslahi ya timu ya Yanga na kwa trend za wanawake kama hao,bora Yanga wamuuze tupate hela maana kiwango kikidrop tutamuuza ila kwa hela mbuzi.
Kinaweza kisidrop pia.
 
Muhimu anaipa roho inachotaka mzeya anajinesea juu ya msambwanda. Na sinasikia anapiga miguu yote
Hayo ya miguu yote sijui, ila Yanga wamuuze tena Uarabuni ataenda kupata mshahara mzuri kuliko Yanga na Signing fees yake atakayo ipata itakuwa kubwa.
 
Back
Top Bottom