Aziz Ki akwamisha pre-season ya Yanga Uturuki

Narudia tena Engagement na Machoko sihitaji

Mm Nina argue na Wanaume wenzangu rijali ila sio ww mtoto mchele×2
 
Wamepitwa hadi na Namungo FC, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Badala wajipange, wao kutwaa kuwazia mbeya city na mtibwa.

Utopiswee km Utopwisee.
 
Na wewe unataka upewe gari? [emoji22][emoji22]

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kufanya vizuri ni kuchukua kombe nothing else Pisto amefukuzwa Al Ahl na kafika final nyinyi wenyewewe mmemfukuza Kaka yake Zidane kwa kushindwa kuchukua makombe

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Narudia tena Engagement na Machoko sihitaji

Mm Nina argue na Wanaume wenzangu rijali ila sio ww mtoto mchele×2
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata ku argue unajua wee?? Wallah km issue ya badiliko la pre season umechanganyikiwa hivi, je mwakani kukosa vikombe? Mtalia wazi wazi na ndo tabia zenu hamjuagi kujikaza, mnamwaga tyuuh chozi, "yoyo maamaa tunaonewaa, TFF ni simba"

Byuti byuti.
 
Sawa Mama
 
Nmekwambia leta hapa reliable source kwamba team itaenda Turkey , punguza kukaa salon za kike na dada zako

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mbona umeandika kishangingi Rasta?

Huko juu nimetoka kuweka link ya mahojiano kati ya presenter wa global na Agent Enda tour akilalamikia hilo swala, ilikuwa ni swala la wewe kumakinika na kutembelea hiyo link
 
Sidhani kama kwenda huko Uturuki Kama ni kipaumbele cha Yanga, kipaumbe ni kujenga kikosi kilicho bora ili yanga iendelee kubeba vikombe ,Kama inauma chomoaaaa
Kipaumbele kime cha ge baada ya mfuko kuchanika

Usiwaone NENDA TOUR wajinga, wala kuiona taasisi kubwa ya Yanga inakubali kuchafuliwa kwa madai ya uwongo ukadhani ni uzalendo.
 
Kipaumbele kime cha ge baada ya mfuko kuchanika

Usiwaone NENDA TOUR wajinga, wala kuiona taasisi kubwa ya Yanga inakubali kuchafuliwa kwa madai ya uwongo ukadhani ni uzalendo.
Sio kila hbr ya kipumbavu ni ya kutoka na kuikanusha

Wapumbavu wanaachwa na upumbavu wao
 
Sasa 1B ipo costant haitumiki?

Hapo kuna M100 ya kodi imeyeyuka

Halafu fikiria tu nusu ya hiyo hela yote imeenda kwa Azizi Ki

Unafikiri wao wajinga kwenda moro?
Kama Yanga imetumia zaidi ya nusu ya pesa inazopata kutupa furaha wananchi bado jambo jema, Yanga sio bank useme inatunza pesa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tukiamua hivyo tutaweza sema hata Yanga yako nayo sio source ya kuaminika kuhusiana na mipango mzima ya club

Club ya Yanga unayoiona kama reliable source kumbuk ilishawahi kuweka picha ya chama akiwa amevalia jezi ya Yanga
 
Sio kila hbr ya kipumbavu ni ya kutoka na kuikanusha

Wapumbavu wanaachwa na upumbavu wao
Mambo mrngi ya kipumbavu mmeyashupalia ndio liwe hili?

Sio nyie mlitaka kuandamana kwenda hadi kwa mama samia kulalamika kuhusu marefa?

Kuna jambo la kipumbavu kuzidi hilo?
 
Kama Yanga imetumia zaidi ya nusu ya pesa inazopata kutupa furaha wananchi bado jambo jema, Yanga sio bank useme inatunza pesa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Boss anaumia nyie mnafurahi afu mkiambiwa michango mna mind
 
🦁Mwacheni wivu mjueee🤔
 
Tukiamua hivyo tutaweza sema hata Yanga yako nayo sio source ya kuaminika kuhusiana na mipango mzima ya club

Club ya Yanga unayoiona kama reliable source kumbuk ilishawahi kuweka picha ya chama akiwa amevalia jezi ya Yanga
Leta hiyo picha au screenshots kutoka kwenye official page ya Yanga
 
Mambo mrngi ya kipumbavu mmeyashupalia ndio liwe hili?

Sio nyie mlitaka kuandamana kwenda hadi kwa mama samia kulalamika kuhusu marefa?

Kuna jambo la kipumbavu kuzidi hilo?
Hapana jambo la kipumbavu zaidi ni lile la mbumbumbu kuoneshwa Bango la check linalo onesha pesa ya uwekezaji takribani imekuwa billion 20 zimewekwa Bank na wala haijulikani imewekwa bank gani

Na mwekezaji akiulizwa pesa imewekwa hana majibu yaliyo kamilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…