Aziz Ki bado yupo sana Yanga, asaini mkataba wa kuendelea na klabu hiyo

Aziz Ki bado yupo sana Yanga, asaini mkataba wa kuendelea na klabu hiyo

Sana sana mimi nikiulizwa maoni yangu kuwa ninadhani ni kitu gani kinaendelea, naweza kusema Injinia alimshawishi Ki asaini walau mwaka mmoja kwa makubaliano kwamba atauzwa dirisha hili hili ili walau Yanga ipate hela, ila wananchi hawakuelezwa. Sasa kuna uwezekano Injinia anataka kujenga mazingira ya kuipiga Yanga, hapo ameanza kujengea watu saikolojia kwamba Ki hajasaini ili akiondoka(akiuzwa kinyemela) asiwepo mtu wa kuulizia mapato
 
😁🤣🤣🤣Kaongeza miaka miwili
Kuongeza mkataba sio sababu ya kutoondoka, mkataba anaongeza ili kumuongezea thamani mchezaji watakaokuja kumtaka waje na kibunda cha maana.

Usishangilie tu Ki kuongeza mkataba, anaweza kubebwa na wenye pesa zao pamoja na huo mkataba wenu mliomuongeza, kaa kwa kutulia chura hili game hulijui.
 
Nasoma habari yako nione mmemuongezea miaka mingapi sioni, umeleta tu ngonjera hapa isiyo na ladha yoyote.

Aziz Ki ameahidiwa mshahara wa milioni 97 kwa mwezi CR Belouzdad ya Algeria, nyie vyura mnaweza kujikamua mkatoa hiyo pesa?
Kuna mwanajeshi wa Japan alikuja kukubali kushindwa vita kuu ya pili ya dunia miaka ya 2000. Watu kama nyie mpo dunia nzima.
 
Zile zilikuwa ni siasa za mpira

Hersi alitaka kuipa mirage Yanga
Ili wamchague tena mwakani..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wanamuona kama mwamposa vile
 
Dah! Jamaa kweli kaamua kuacha mls97, afu aendelee kupata 28.Hatariiii!
 
Bado tupo nae sana mwamba huyu wale mliokuwa mnasema anaondoka mwamba haondoki na ataendelea kuwapiga mashuti makali sana 😂😁. Mwamba kabakia Yanga SC Cc ephen_
Is here to Stay 🔥 🟡 🟢

Baaasi.

Wananchi Ubingwa wa Africa tunao 😂✍️
View attachment 3038402
Taarifa mbaya sana hii kwa sombasomba Fc.
 
Dah! Jamaa kweli kaamua kuacha mls97, afu aendelee kupata 28.Hatariiii!
Kama ni kweli basi huyo ni mpambavu wa wapumbavu.

Anatanguliza mapenzi kwa Mashabiki badala ya kutafuta pesa? Anadhani akipata majeraha au kiwango kushuka hao Mashabiki watamvumilia?

Najua hata Mashabiki wenye akili timamu wa utopolo watakuwa wanamshangaa japo hawawezi kusema.
 
Habari za Aziz kutokuwapo utopoloni zimeletwa na kiongozi wa watopolo. Habari za kusema bado yupo sana zinaletwa na watopolo. Kuhusisha watu wengine ni ujinga na upumbavu. Kaeni huko huko mkubaliane viongozi na wala mihogo wao. Inawezekana Injinia anataka kumuuza halafu aseme ameenda bure
Makasiriko kya nini bro!?
 
Kuna mwanajeshi wa Japan alikuja kukubali kushindwa vita kuu ya pili ya dunia miaka ya 2000. Watu kama nyie mpo dunia nzima.
😂 🤣 😆 umenikumbusha mbali anaitwa Onoda, alikuwa second lieutenant wa Jeshi la Japani vita iliisha mwaka 1945 WWII yeye akaendelea kupigana hadi 1974.

Alikuwa haamin kuwa vita imeisha na alikuwa hakubal habari za kuisha kwa vita, sema kuna dogo mmoja alikuwa rafiki yake alipomfuata na kumpa taarifa hizi ndio aliiamin kweli vita hii imeisha.

daah sema usiwafananishe makolo na huyu mwamba inauma sana 😃😀.
 
Back
Top Bottom