Aziz Ki bado yupo sana Yanga, asaini mkataba wa kuendelea na klabu hiyo

Aziz Ki bado yupo sana Yanga, asaini mkataba wa kuendelea na klabu hiyo

Inatuhusu nini sisi?

Mbwa tu huyo yeye na wamiliki wake na mashabiki zake
 
rty
 

Attachments

  • 1720629686911.jpg
    1720629686911.jpg
    400.4 KB · Views: 2
Sasa sisi Makolo si tunaenda kupigwa 10 kila baada ya dakika 45? Professor Mangungu tafadhali usipeleke timu uwanjani.
Hili jina la mkiti wetu huwa lina nimix sana kila nikijitahidi kutamka Mangungu naishia kusema Chief Mangungo II !! Hivi Mangungu hana undugu na yule Chief Mangungo og ikawa kaondoa o akaweka u?

Aziz Ki amepata mafanikio Yanga hawezi kutimka now!
 
Hii tabia ya kujitekenya na kujichekesha wenyewe mnayo niya wala mihogo.

Aliyewambia ana asilimia 40 za kubaki ni yule mlima mihogo.
Anayewambia bado yupo ni muuza mihogo wenu.
Wanaofurahi ni wala mihogo wenyewe . Sasa sijui tatizo liko wapi.
Poleni sana. Maana mateso bado yako pale pale. Dogo Aziz Kii ni jini mnyonya damu yule!! Kamwe hatowaacha salama. Bora tu angeondoka kwenye ligi yetu.
 
N
Kama ni kweli basi huyo ni mpambavu wa wapumbavu.

Anatanguliza mapenzi kwa Mashabiki badala ya kutafuta pesa? Anadhani akipata majeraha au kiwango kushuka hao Mashabiki watamvumilia?

Najua hata Mashabiki wenye akili timamu wa utopolo watakuwa wanamshangaa japo hawawezi kusema.
Nimeshangaa sana🤣🤣 anyway Pengine mwakani akafika final CAF akachukuliwa na Timu za ulaya.
 
Back
Top Bottom