TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Povu tayariHujaulizwa bro na hujui lolote kuhusu mpira kalime maembe mdogo wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Povu tayariHujaulizwa bro na hujui lolote kuhusu mpira kalime maembe mdogo wangu
Anajua basiiiiii!!!!Ni jambo jema ameongeza mingapi..
Ila Guede namkubali sana.Guede je?🥲
Hadi tuone mkataba maana hii ndio bongo bhana!Bado tupo nae sana mwamba huyu wale mliokuwa mnasema anaondoka mwamba haondoki na ataendelea kuwapiga mashuti makali sana 😂😁. Mwamba kabakia Yanga SC Cc ephen_
Is here to Stay 🔥 🟡 🟢
Baaasi.
Wananchi Ubingwa wa Africa tunao 😂✍️
View attachment 3038402
Anajua Ndele za Yanga ndio nguzo yake. Hana maajabu nje ya YangaBado tupo nae sana mwamba huyu wale mliokuwa mnasema anaondoka mwamba haondoki na ataendelea kuwapiga mashuti makali sana 😂😁. Mwamba kabakia Yanga SC Cc ephen_
Is here to Stay 🔥 🟡 🟢
Baaasi.
Wananchi Ubingwa wa Africa tunao 😂✍️
View attachment 3038402
😁🤣🤣🤣Kaongeza miaka miwiliNasoma habari yako nione mmemuongezea miaka mingapi sioni, umeleta tu ngonjera hapa isiyo na ladha yoyote.
Aziz Ki ameahidiwa mshahara wa milioni 97 kwa mwezi CR Belouzdad ya Algeria, nyie vyura mnaweza kujikamua mkatoa hiyo pesa?
Tangu uzaliwe umewahi kumuona chura mwenye akili?!Habari za Aziz kutokuwapo utopoloni zimeletwa na kiongozi wa watopolo. Habari za kusema bado yupo sana zinaletwa na watopolo. Kuhusisha watu wengine ni ujinga na upumbavu. Kaeni huko huko mkubaliane viongozi na wala mihogo wao. Inawezekana Injinia anataka kumuuza halafu aseme ameenda bure
MiwiliNi jambo jema ameongeza mingapi..
Guede je?🥲
Nipanic kitu gani wakati mmelianzisha wenyewe halafu mnataka muonekane mnawajibu wengine? Mumjibu Hersi, sio sisi. Mwambieni Aziz yupo sana, msituambie sisi. Yawezekana Hersi amepanic hukoUmepaniki mkuu?
Labda alisaini mapema kabla ya ligi kuisha hivyo mkataba unambana mpaka yanga wamruhusu maana kwa akili ya kawaida hakuna mchezaji anaeweza kuacha huo mshahara kwa ligi zetu hiziNasoma habari yako nione mmemuongezea miaka mingapi sioni, umeleta tu ngonjera hapa isiyo na ladha yoyote.
Aziz Ki ameahidiwa mshahara wa milioni 97 kwa mwezi CR Belouzdad ya Algeria, nyie vyura mnaweza kujikamua mkatoa hiyo pesa?
Hujaulizwa bro na hujui lolote kuhusu mpira kalime maembe mdogo wangu
Nipanic kitu gani wakati mmelianzisha wenyewe halafu mnataka muonekane mnawajibu wengine? Mumjibu Hersi, sio sisi. Mwambieni Aziz yupo sana, msituambie sisi. Yawezekana Hersi amepanic huko