Aziz Ki bado yupo sana Yanga, asaini mkataba wa kuendelea na klabu hiyo

Aziz Ki bado yupo sana Yanga, asaini mkataba wa kuendelea na klabu hiyo

Nasoma habari yako nione mmemuongezea miaka mingapi sioni, umeleta tu ngonjera hapa isiyo na ladha yoyote.

Aziz Ki ameahidiwa mshahara wa milioni 97 kwa mwezi CR Belouzdad ya Algeria, nyie vyura mnaweza kujikamua mkatoa hiyo pesa?
 
Bado tupo nae sana mwamba huyu wale mliokuwa mnasema anaondoka mwamba haondoki na ataendelea kuwapiga mashuti makali sana 😂😁. Mwamba kabakia Yanga SC Cc ephen_
Is here to Stay 🔥 🟡 🟢

Baaasi.

Wananchi Ubingwa wa Africa tunao 😂✍️
View attachment 3038402
Anajua Ndele za Yanga ndio nguzo yake. Hana maajabu nje ya Yanga
 
Nasoma habari yako nione mmemuongezea miaka mingapi sioni, umeleta tu ngonjera hapa isiyo na ladha yoyote.

Aziz Ki ameahidiwa mshahara wa milioni 97 kwa mwezi CR Belouzdad ya Algeria, nyie vyura mnaweza kujikamua mkatoa hiyo pesa?
😁🤣🤣🤣Kaongeza miaka miwili
 
Hii tabia ya kujitekenya na kujichekesha wenyewe mnayo niya wala mihogo.

Aliyewambia ana asilimia 40 za kubaki ni yule mlima mihogo.
Anayewambia bado yupo ni muuza mihogo wenu.
Wanaofurahi ni wala mihogo wenyewe . Sasa sijui tatizo liko wapi.
 
Habari za Aziz kutokuwapo utopoloni zimeletwa na kiongozi wa watopolo. Habari za kusema bado yupo sana zinaletwa na watopolo. Kuhusisha watu wengine ni ujinga na upumbavu. Kaeni huko huko mkubaliane viongozi na wala mihogo wao. Inawezekana Injinia anataka kumuuza halafu aseme ameenda bure
Tangu uzaliwe umewahi kumuona chura mwenye akili?!

Hao waache tu.
 
Nasoma habari yako nione mmemuongezea miaka mingapi sioni, umeleta tu ngonjera hapa isiyo na ladha yoyote.

Aziz Ki ameahidiwa mshahara wa milioni 97 kwa mwezi CR Belouzdad ya Algeria, nyie vyura mnaweza kujikamua mkatoa hiyo pesa?
Labda alisaini mapema kabla ya ligi kuisha hivyo mkataba unambana mpaka yanga wamruhusu maana kwa akili ya kawaida hakuna mchezaji anaeweza kuacha huo mshahara kwa ligi zetu hizi
 
Hujaulizwa bro na hujui lolote kuhusu mpira kalime maembe mdogo wangu
IMG-20240709-WA0008.jpg
IMG-20240709-WA0015.jpg

😂😂😂
 
Back
Top Bottom