Azzan Zungu ataka mazungumzo Bandari ya Bagamoyo kunusuru tatizo la ajira

Azzan Zungu ataka mazungumzo Bandari ya Bagamoyo kunusuru tatizo la ajira

Bandari ya Bagamoyo haiwezi kujengwa pasipo kuzuia utendaji wa bandari zingine, ni sharti la lazima linasemwa kuwepo ndani ya mkataba. Huwezi kupata vyote.
Hii ndo comment ya mhim haya mengine ni makalele, tu ,mwekezaji lazima ahakikishe dar port inakufa natural death , ili wasipata ushindani wowote, na hatimaye wabaki wamyewe huo ndo ukweli
 
Nashukuru wewe umenielewa vizuri sana,ikiwa mkataba wake utazuia utendaji wa bandari zingine na pia kuzuia MAMLAKA zetu katika kukusanya mapato ni kwamba #MRADI_HUO_HAUTUFAI.
Hii ndo hoja ya msingi Piga huwa kipengele cha kuazuia kuendeleza , bandari nyingne kikiondolewa mwekezaji hawezi kusaini huo mkataba Piga ua
 
Bagamoyo special economy zone ni mkombozi wa ajira ila shida hapa ni matango pori watu walilishwa basi wao ni kupinga tu ila huu mradi ni muhimu
Una umuhim gani ili hali hata mfagiaji wa mwisho atatoka china ,na serikali amna kuitia mguu hapo
 
Hii ndo comment ya mhim haya mengine ni makalele, tu ,mwekezaji lazima ahakikishe dar port inakufa natural death , ili wasipata ushindani wowote, na hatimaye wabaki wamyewe huo ndo ukweli

Sky is too big for all birds to fly sio lazima mmoja ashuke ili mwingine apande
 
Mbunge wa Ilala ameomba muongozo leo Bungeni Dodoma kuhusu mpango wa Serikali kuanzisha mazungumzo tena ya bandari ya Bagamoyo kutokana bandari ya Dar es Salaam kuzidiwa na kutokuwa na uwezo wa kuingiza meli kubwa. Zungu amesema bandari ya Bagamoyo itapelekea kuanzisha viwanda, kuleta ajira na gateway kwa Bagamoyo.

Zungu amesema ulikuwa mpango wa Serikali kuanzisha Industrial Park Bagamoyo lakini wakapata mgogoro wa kimkataba.


Mkataba ndio tatizo. Kama ndivyo unaanzishaje mazungumzo bila kurekebisha? Mazungumzo yalishavunjika kwa sababu hiyo. Au tinaenda kukubali yaishe?
 
Mbunge wa Ilala ameomba muongozo leo Bungeni Dodoma kuhusu mpango wa Serikali kuanzisha mazungumzo tena ya bandari ya Bagamoyo kutokana bandari ya Dar es Salaam kuzidiwa na kutokuwa na uwezo wa kuingiza meli kubwa. Zungu amesema bandari ya Bagamoyo itapelekea kuanzisha viwanda, kuleta ajira na gateway kwa Bagamoyo.

Zungu amesema ulikuwa mpango wa Serikali kuanzisha Industrial Park Bagamoyo lakini wakapata mgogoro wa kimkataba.


Akili ndogo kwani ikiwa bandari ya Bagamoyo itajengwa ndio itakuwa mwarobaini wa tatizo la ajira nchini? huyu bwana alikuwa waziri mbona hakutoa huo ushauri pori kwenye baraza la mawaziri? hawa ndio wanjisogeza na viten%, hawajui kuwa kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo ambayo ipo opua na mdomo na ya Dar Es Salaam kutaua bandari ya Dar Es Salaam ambayo tayari ina miundo mbinu mikubwa zaidi, wanaodai hivyo basi wadai hata Airport mpya ijengwe Bagamoyo, hizi kelele zilizoibuka kuhusu bandari ya Bagamoyo sio za bure, kuna mkono wa mtu mzito anayewatumia watu wake,hii ni fursa kwake yeye na maswahiba zake, wanataka kuturudisha kulekule kwa '' unanijua mimi ni nani''
 
hizo meli kubwa haziwezi kuingia Dar, kwanini zisipelekwe mtwara ambayo ni natural port mpaka hapo mtakapo baadaye miaka 10 au 20 inayo kuja baada ya wachumi na wana sheria kuupitia vizuri,sio wanasiasa.
Ndio Bandari bora kabisa na ina kina kirefu cha asili.
Haihitaji kuchimbwa kuongeza kina na meli yoyote inatia Nanga.
Na pia ipo mbali na Bandari ya Daresalaam.
Huku Bagamoyo inatafutwa 10% kwa hali na mali.
Kwanini hakuongea hivyo awamu ya Mwe...No nimekosea, imekatazwa.
Awamu ya tano ?
 
Sasa kama SGR tunajenga kwa trilion 20 kwa mikopo na fedha za ndani! Je, kwa nini tusianze kujenga bandari ya Bagamoyo hata ya trilion 10 kwa fedha za ndani na mikopo yenye masharti nafuu, halafu tutakuwa tanaikamilisha taratibu mana eneo si linakuwepo?

Yaani kwa lugha nyingine, serikali na wananchi tuijenge bandari kwa phase, kwa sababu uhakika wa soko upo! Pesa itarudi tu!
 
Sasa kama SGR tunajenga kwa trilion 20 kwa mikopo na fedha za ndani! Je, kwa nini tusianze kujenga bandari ya Bagamoyo hata ya trilion 10 kwa fedha za ndani na mikopo yenye masharti nafuu, halafu tutakuwa tanaikamilisha taratibu mana eneo si linakuwepo?

Yaani kwa lugha nyingine, serikali na wananchi tuijenge bandari kwa phase, kwa sababu uhakika wa soko upo! Pesa itarudi tu!
Maoni mazuri sana.
 
Mbunge wa Ilala ameomba muongozo leo Bungeni Dodoma kuhusu mpango wa Serikali kuanzisha mazungumzo tena ya bandari ya Bagamoyo kutokana bandari ya Dar es Salaam kuzidiwa na kutokuwa na uwezo wa kuingiza meli kubwa. Zungu amesema bandari ya Bagamoyo itapelekea kuanzisha viwanda, kuleta ajira na gateway kwa Bagamoyo.

Zungu amesema ulikuwa mpango wa Serikali kuanzisha Industrial Park Bagamoyo lakini wakapata mgogoro wa kimkataba.


Huyu naye amenawa lini na kwa sabuni gani? Hii ni Msoga Timu
 
Mbunge wa Ilala ameomba muongozo leo Bungeni Dodoma kuhusu mpango wa Serikali kuanzisha mazungumzo tena ya bandari ya Bagamoyo kutokana bandari ya Dar es Salaam kuzidiwa na kutokuwa na uwezo wa kuingiza meli kubwa. Zungu amesema bandari ya Bagamoyo itapelekea kuanzisha viwanda, kuleta ajira na gateway kwa Bagamoyo.

Zungu amesema ulikuwa mpango wa Serikali kuanzisha Industrial Park Bagamoyo lakini wakapata mgogoro wa kimkataba.

Huyu Mzee huyu
 
Hawa wabunge wanapiga debe kuanzia spika na sasa mwenyekiti wa bunge.Hayati magufuli Alistair hautekelezeki akatoa mfano cyclone.zambia pia Singapore kama sijakosea.masharti ni kama kuwa na kipande cha aridhi Chao ndani ya Tanzania.kama ilivyo Rome ndani ya Italy.magufuli aliona mbali sasa madebe ya nini mbona akiwa hai hamkusema.ndumakuwili wrote mnaopigia debe watching waje kutawala bagamoyo.maana uendeshaji wote ni wao hata kusimamia Mapato .wenye njaa watakuwa wamechukua Chao.tujali watoto na vizazi vijavyo.
 
Back
Top Bottom