Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
TICS ni kitu gani bwana mkubwa?Umuhimu wa bandari sio tatizo,tatizo ni mapato yatokanayo na bandari yanamnufaisha nani?
Hata hiyo Dar Port,container terminal kwa undani anaefaidika ni TICS siyo TPA sababu ya mikataba mibovu.
Iwe kupanua bandari za Mtwara, Dar na Tanga au Kujenga bandari upya kama Bagamoyo,Kilwa n.k,tusiwabebeshe wananchi mzigo mzito wa madeni wakati mfaidika au wafaidika ni watu wachache.
Mkataba wa ujenzi wa Bagamoyo uwekwe wazi ili umma ujue mazuri na mabaya yaliomo.