Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Mkuu ilikuwaje? Hebu weka mnofu kidg ili nijue maana nakutana tu na hii mambo sa hii!!Hando lakin alivumilia Sana ishu kumsimamisha kaz ilileta Sana shida kwake na ukizingatia alikuwa anasimamia weledi wa kazi
Hamna profesa analipwa Salary ya 4m Wala 3ms, hizo ni salary scales za lecturers,si za maprofesaNi kati ya 3.8M - 4.8M kutegemea na rank Associate professor - Full professor. Maprofesa ambao utawaona wapo vizuri kiuchumi huwa hawategemei mishahara sana utakuta ni miradi na tafiti hizo ndio huwa zinawaletea mpunga mrefu, wakikosa hizo au wakichoka ndio utawaona wanakimbilia kwenye siasa.
Kuna wengine ambao wamestaafu lakini wanaendelea kufundisha bila mkataba wa kueleweka (wanapiga semester to semester) ukisikia hela wanayolipwa ni frustrations, huwa wanafanya ili angalau kujiweka busy tu asikae nyumbani akapata msongo.
Schadenfreude Mange Kimambi tayari kaiba Comment hii hapa kaenda kuiandalia gazeti lake huko instagram na kujifanya anamshauri majizo.Jibu liko wazi, hapo maana yake Hakuna meneja wa vipindi na uzalishaji, na kama yupo unaanza na huyo akatafute kazi sehemu nyingine hawezi kazi.
Nimefikaaaaa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeh umefika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] kwan Dozen hazijui? Mama ubaya anachuki na Dozen kisa mara ya kwanza ndoa ilikataliwa, Dozen aligoma, chezeaa mke mkubwaa weyeee,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mama ubaya kazi anayo
Atakua anatamani apate dawa za kumroga dozen aachike[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nafurahi kukuona bado upo aise[emoji23][emoji1787] aisee hii mbona kali, nilishawahi ishi nyumba moja na mtangazaji wa TBC, ni yale yale tu.
Acha upuuzi kitenge EFM alikua anakula 16M
Hivi huwa mna ushahidi na hivi vitu mnavyoandika?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] laki 8 km mfanya kazi, je huduma na mahitaji anayopewa km mke???
Unapenda sana hizi habari eheee?[emoji23][emoji23][emoji23] kwan Dozen hazijui? Mama ubaya anachuki na Dozen kisa mara ya kwanza ndoa ilikataliwa, Dozen aligoma, chezeaa mke mkubwaa weyeee,
Bas baada ya ndoa mama ubayaa ndo akaona alipe kisasi, ila kapelekeshwa hasa akiwa na mimba ya G, Bila fumanizi sijuiii.
Ila Dozen anapendwa na Baba G.
Kweliii, hii nimekubaliSchadenfreude Mange Kimambi tayari kaiba Comment hii hapa kaenda kuiandalia gazeti lake huko instagram na kujifanya anamshauri majizo.
Ingekuwa wanafanya hivyo kwake ungekasikia Kigagula kinalalamika kuibiwa contents kumbe upumbavu mtupu.
Halafu wengi hawawezi kuamini jina la Dada wa Taifa nilimpachika Mimi kimasihara hapahapa JF kakomaa nalo mpaka leo na hajawahi kuisalute JF zaidi ya kuvijaza vipumbavu vyake humu kumtetea ujinga wake.
Tufunue mkuu ss tunabalisha umaarufu wao wamajin kuwa mshahara!!Ungekuwa unajua mishahara ya watangazaji usingeandika hivi
Nafurahi kuona unanifurahia 🤗😍
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] kwan Dozen hazijui? Mama ubaya anachuki na Dozen kisa mara ya kwanza ndoa ilikataliwa, Dozen aligoma, chezeaa mke mkubwaa weyeee,
Bas baada ya ndoa mama ubayaa ndo akaona alipe kisasi, ila kapelekeshwa hasa akiwa na mimba ya G, Bila fumanizi sijuiii.
Ila Dozen anapendwa na Baba G.
Ila naona sasa hizo kamari wanazochezesha kwenye hizo fm zina hela sana pengine inawezekanaMpumbavu wewe
Hiyo milion 16 hata faida ya media haifikishi unaleta hadith za porini apa
Mpumbavu we
Aisee mbona Kitenge hajawahi lipwa chini ya 40M toka aanze kazi ya utangazaji. Kama ni kweli alikuwa analipwa 16M pale EFM basi Majizo ni top bargainer Tz 🙌🙌Acha upuuzi kitenge EFM alikua anakula 16M
Aisee mbona Kitenge hajawahi lipwa chini ya 40M toka aanze kazi ya utangazaji. Kama ni kweli alikuwa analipwa 16M pale EFM basi Majizo ni top bargainer Tz [emoji119][emoji119]
You're right, nashangaa humu watu wanaongea kwa kubahatisha.Hamna profesa analipwa Salary ya 4m Wala 3ms, hizo ni salary scales za lecturers,si za maprofesa
Akina nani wanaondolewa kuwapisha hao!? Au kama timu ya mpira kuna wengine itabidi waanzie benchi!?Hii sasa vita ya Efm na Wasafi fm imepitiliza.
Maulidi Kitenge amerudi tena Wasafi fm na Gerald Hando kahamia kwa mara ya kwanza ikiwa nadhani baada ya kufungiwa na Majizo kwa miezi mitatu.
Wanasikika kipindi cha Goodmorning kuanzia leo