B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

Hii sasa vita ya Efm na Wasafi fm imepitiliza.

Maulidi Kitenge amerudi tena Wasafi fm na Gerald Hando kahamia kwa mara ya kwanza ikiwa nadhani baada ya kufungiwa na Majizo kwa miezi mitatu.

Wanasikika kipindi cha Goodmorning kuanzia leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…