B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

  • Kwa hiyo, unataka kusema Vice chancellor na DVC wa Udsm, Mzumbe,udom,muhas,hwapati hizo?
  • maprofesa wakuu wa Vyuo kama IFM,NIT,CBE,TIA unataka kusema hawafiki 6m?
Hao sio "maprofesa wengi" katika vyuo kama ulivyoainisha kabla.

Hela yoyote ya ziada watakayolipwa hao uliowataja kutokana na vyeo vyao ni kutokana na hiyo administrative appointment na sio uprofesa wao na hizo nafasi hazizidi 3 kwa chuo (VC, DVC Academic, na DVC Administrative)
maprofesa wengi vyuoni ni academic members tu wa department na mshahara wao haufiki huko !
 
Mimi pia namuonaga tu kwenye memes[emoji81][emoji81]
 
Kwa hiyo unataka kusema professor analipwa 3m?
 
Wazee wamepiga 24 Hours notice !
Inakubalika kisheria, unamlipa muajili cash, au kama tarehe imefika hupokei mshahara unatowa notice simple kabisa.

Lakini ukitumia style hii hakikisha hutorudi tena hapo yakikushinda huko uendapo.

Ustaarabu mzuri ni wa kutowa notice ya mwezi mmoja.

Mmewashuhudia hapa TZ high Profile figure Senzo na Barbara walitowa notice kabisa Simba na Yanga na walijurikana kabisa wanaondoka lini haikuwa surprise kuondoka kwao.
 
Kijiwe chetu cha Kahawa kinasema MAULID ni Shushushu🤣
 
Wakati tunajadili mishahara ya hawa watu tusisahau yafuatayo especially kwa hizi Urban Radios.

1. Approach vs Approached: Miaka ya nyuma nilikuwa nafanyia taasisi moja ya kifedha.

Sasa sijui ilikuwa ni uhaba wa Competitive Bankers au vipi lakini miaka ile haikuwa ajabu Staff wa Bank X kuwa approached na Bank Y kwamba ukafanye kazi kwao!

Ukishakuwa approached namna hii, unaahidiwa mambo mazuri including MSHAHARA NA BENEFITS.

So, kwenye media hapa Bongo, kuna layer fulani ya Watangazaji ambao mara nyingi wanakuwa approached na media zingine! Watu kama akina Kitenge, Edo Kumwembe, and the like huwa wanakuwa approached kujiunga na media fulani.

Hao wanalipwa vizuri sana!

2. Hao Watangazaji wanakuwa approached kwa sababu wana uwezo wa Kuvutia Advertisers kutokana na influence yao.

Kutokana na hilo, hao watu ni Mtaji Mzuri sana kwa redio. Aidha, kutokana na influence yao pia wanakuwa na fursa ya kuwa na connection na watu mbalimbali.

Connection hizi sio tu zinawasaidia kuleta deal mpya za matangazo kwenye redio bali pia ku-lobby pale ambapo hazipo.

Namba 2 hapo juu inawafanya wawe ni Ng'ombe Mzalisha Maziwa, na hivyo kuendelea kuwa na soko kubwa kwenye soko la ajira za Urban Radio.

3. Hizi media huwa zinatoa kamisheni kwa wale wanaofanikisha kuleta matangazo!

Sasa kwa sifa niliyotaja #2 hapo juu, unakuta mara nyingi wanakuwa miongoni mwa Staff wanaotandika kamisheni za kutosha!

NOTE: Usidhani watangazaji wote wapo sawa! Kama huna sifa nilizotaja hapo juu, na kwahiyo unategemea sana mshahara, basi Utangazji ni Kazi Iliyojaa Njaa!!

Aidha, sio kila mtangazi unayemsikia kwenye redio au kumuona kwenye tv ni Mwajiriwa!

Wapo wengi tu ambao wanapiga deiwaka kwa matarajio sooner or later ama watapata replacement hapo hapo au wataonekana na media zingine na hatimae akalamba ajira!

So, usimuone X aliye Wasafi au EFM analia njaa ndo ukadhani hapo Wasafi au EFM kuna njaa kali kihivyo... unaweza kukuta anapiga Deiwaka tu au ndo wale wasioleta cha ziada kwenye redio!
 
Hizi signing fees ni ulongo 🤣🤣🤣
 
Kitu pekee hamjatizama ambacho nimekiona ni kiini macho kwa watizamaji na wasikilizaji wa hivyo vituo ,mabos wanakaa mezani wanawaza wafanye nini ili wasikilizaji na watizamaji waongezeke , wazungumziwe zadi wawe top kwenye biashara yao , njia wanayoiona ndio hii ,, na wamefanikiwa mana fb ,jf ,insta na mitandao mingine mingi wanawazungumzia wasafi na efm tangu jana usiku , wafuasi wao watataka kujua zaidi wanaenda kuendesha vipindi gani huko , mabos wanapiga hela ndefu wanagonga cheers maisha yanasonga fresh ,kisha tunawaita freemason kwa akili yao kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…