Baada utawala wa Syria kuanguka Israel wamekimbilia kuchukua maeneo katika miji mitano katika milima ya Golan ya Syria wanazidi kuongeza mgogoro

Baada utawala wa Syria kuanguka Israel wamekimbilia kuchukua maeneo katika miji mitano katika milima ya Golan ya Syria wanazidi kuongeza mgogoro

Iran na Russia wapo likizo??
Nakumbuka Urusi ilitufanya kitu mbaya wakati wa vita na Uganda!
Russia alimuuzia Ndege vita iddi Amini!
Sisi alituuzia ant aircraft missile!
Tulipo ishiwa mabomu ya heat seeking missile's!; mrussi alikataa kutuuzia mabomu Hadi Kwa Hard cash au Mikataba migumu Kwa dhamana ya Mali Asili!
Huku Ndege vita za iddi Amini zinatamba Hadi Mwanza Visiwa vya Saa nane!
Lengo lake lilikuwa vita yetu na Uganda iwe Endelevu Ili auze silaha zake!
Kukosa Hekima ya J.K.Nyerere Kuomba msaada wa hayo mabomu Msumbiji na Algeria!; Ile vita ingekuwa ni simulizi nyingine!😇😭
Hiyo Ilinikera Hadi Sasa kuichukia Russia....
Kuna Warusi wa Bunyokwa huku hili hawakumbuki
 
Tatizo sio Israel tatizo ni Qatar, Turkey na Saud Arabia walimuahidi Mrusi maslaha yake yatabaki hivyo Assad lazima atoke. Pia Saud Arabia na badhi ya nchi za Gulf target yao ni kuimaliza Hamas na Hezbullah ili wao wabaki kwenye viti vyao, wanadhani kumkubatia US watakuwa kwenye safe zone. Hivyo ndivyo wafalme wa kiarabu wanadhani kama alivyo dhania Assad kuwa Mrusi atamlinda. Tokea lini wavaa misalaba na .ashiga zao wayahufi wakawa waminifu na wakweli?

Israel kaona hio ni fursa kwake kuvunja silaha za Syria, ili watakao tawala wawe wanakubali wanacho ambiwa na Israel.

Bashar Assad alipewa offer awachane na Iran na Urusi, na Syria itajengwa kuliko mwanzo akakataa, hicho ndicho kilicho mponza hakutegenea Mrusi na Iran watamuza vile.


Any way hatujui mipango ya Allah, si ajabu hawa ndio wakamuondoa Israel pale. We huoni Israel anapiga silaha na viwanda vya kutengeneza silaha, anacho ogopa ni kitu gani? Kaona hao jamaani hatari wameweza mpindua Assad kwa silaha walizo kuwa wanateka kwenye majeshi ya Assad, itakuwa balaa wakiwa na silaha kali. Israel alicho furahi hao ma rebels wa Syria kumpindua Assad, ni kuweza kukataa mawasiliano kati ya Syria, Hezbullah na Iran lakini hajui Allah naye huwa ana mipango yake. Ukizuia huku ana fungua huku, si ajabu tukasikia Egypt na Jordan wamepindua waislam hapo ndio patakuwa patamu.
Bro allah kashakula kona, stuka
 
Wanaukumbi.

🚨#BREAKING: Israel imezidisha uchokozi wake kwa kuingia katika miji mitano katika Milima ya Golan ya Syria.

Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la 1974, eneo ambalo Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na kulazimishwa kurejea Syria:

  • Al-Qunaitra
  • Al-Hamidiyah
  • Madinat al-Baath

Zaidi kuhusu, Israeli pia imevamia mji ulio nje ya Mstari wa Kutengwa wa 1974, eneo ambalo haijawahi kudhibiti hapo awali:

- Kham Arnabah

Ukiukaji huu wa wazi wa sheria za kimataifa unasisitiza kuendelea kwa Israel kukalia ardhi ya Syria, kwani Miinuko yote ya Golan inatambulika kimataifa kama ardhi ya Syria. Ukiukaji kama huo wa Mstari wa Kutenganisha wa 1974 ni nadra lakini unaonyesha kutozingatia kwa Israeli mikataba ya kimataifa na uhuru wa Syria.
=========================

View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1865780626021822642?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Wewe unayelalamika ni nani, je ni assad au muasi uliyechuka nchi?
 
Naona unawalaumu Urusi na Iran, ila mbona askari wa Assad walikuwa hawapigani?jeshi lililo na vifaa bora kabisa linapinduliwa na watu wanatumia pick ups na noah?
Tatizo sio Israel tatizo ni Qatar, Turkey na Saud Arabia walimuahidi Mrusi maslaha yake yatabaki hivyo Assad lazima atoke. Pia Saud Arabia na badhi ya nchi za Gulf target yao ni kuimaliza Hamas na Hezbullah ili wao wabaki kwenye viti vyao, wanadhani kumkubatia US watakuwa kwenye safe zone. Hivyo ndivyo wafalme wa kiarabu wanadhani kama alivyo dhania Assad kuwa Mrusi atamlinda. Tokea lini wavaa misalaba na .ashiga zao wayahufi wakawa waminifu na wakweli?

Israel kaona hio ni fursa kwake kuvunja silaha za Syria, ili watakao tawala wawe wanakubali wanacho ambiwa na Israel.

Bashar Assad alipewa offer awachane na Iran na Urusi, na Syria itajengwa kuliko mwanzo akakataa, hicho ndicho kilicho mponza hakutegenea Mrusi na Iran watamuza vile.


Any way hatujui mipango ya Allah, si ajabu hawa ndio wakamuondoa Israel pale. We huoni Israel anapiga silaha na viwanda vya kutengeneza silaha, anacho ogopa ni kitu gani? Kaona hao jamaani hatari wameweza mpindua Assad kwa silaha walizo kuwa wanateka kwenye majeshi ya Assad, itakuwa balaa wakiwa na silaha kali. Israel alicho furahi hao ma rebels wa Syria kumpindua Assad, ni kuweza kukataa mawasiliano kati ya Syria, Hezbullah na Iran lakini hajui Allah naye huwa ana mipango yake. Ukizuia huku ana fungua huku, si ajabu tukasikia Egypt na Jordan wamepindua waislam hapo ndio patakuwa patamu.
 
Tatizo sio Israel tatizo ni Qatar, Turkey na Saud Arabia walimuahidi Mrusi maslaha yake yatabaki hivyo Assad lazima atoke. Pia Saud Arabia na badhi ya nchi za Gulf target yao ni kuimaliza Hamas na Hezbullah ili wao wabaki kwenye viti vyao, wanadhani kumkubatia US watakuwa kwenye safe zone. Hivyo ndivyo wafalme wa kiarabu wanadhani kama alivyo dhania Assad kuwa Mrusi atamlinda. Tokea lini wavaa misalaba na .ashiga zao wayahufi wakawa waminifu na wakweli?

Israel kaona hio ni fursa kwake kuvunja silaha za Syria, ili watakao tawala wawe wanakubali wanacho ambiwa na Israel.

Bashar Assad alipewa offer awachane na Iran na Urusi, na Syria itajengwa kuliko mwanzo akakataa, hicho ndicho kilicho mponza hakutegenea Mrusi na Iran watamuza vile.


Any way hatujui mipango ya Allah, si ajabu hawa ndio wakamuondoa Israel pale. We huoni Israel anapiga silaha na viwanda vya kutengeneza silaha, anacho ogopa ni kitu gani? Kaona hao jamaani hatari wameweza mpindua Assad kwa silaha walizo kuwa wanateka kwenye majeshi ya Assad, itakuwa balaa wakiwa na silaha kali. Israel alicho furahi hao ma rebels wa Syria kumpindua Assad, ni kuweza kukataa mawasiliano kati ya Syria, Hezbullah na Iran lakini hajui Allah naye huwa ana mipango yake. Ukizuia huku ana fungua huku, si ajabu tukasikia Egypt na Jordan wamepindua waislam hapo ndio patakuwa patamu.

😅😅

Unaishi miaka ya Mtume. Karne nyingi Sana nyuma.
Dunia iko mbali Mkuu.

Unazungumzia Allah kwenye Karne ya 21 kweli?

Watu wanarusha vyuma wewe unaleta habari za Allah kama kina kinjektile
 
Tatizo sio Israel tatizo ni Qatar, Turkey na Saud Arabia walimuahidi Mrusi maslaha yake yatabaki hivyo Assad lazima atoke. Pia Saud Arabia na badhi ya nchi za Gulf target yao ni kuimaliza Hamas na Hezbullah ili wao wabaki kwenye viti vyao, wanadhani kumkubatia US watakuwa kwenye safe zone. Hivyo ndivyo wafalme wa kiarabu wanadhani kama alivyo dhania Assad kuwa Mrusi atamlinda. Tokea lini wavaa misalaba na .ashiga zao wayahufi wakawa waminifu na wakweli?

Israel kaona hio ni fursa kwake kuvunja silaha za Syria, ili watakao tawala wawe wanakubali wanacho ambiwa na Israel.

Bashar Assad alipewa offer awachane na Iran na Urusi, na Syria itajengwa kuliko mwanzo akakataa, hicho ndicho kilicho mponza hakutegenea Mrusi na Iran watamuza vile.


Any way hatujui mipango ya Allah, si ajabu hawa ndio wakamuondoa Israel pale. We huoni Israel anapiga silaha na viwanda vya kutengeneza silaha, anacho ogopa ni kitu gani? Kaona hao jamaani hatari wameweza mpindua Assad kwa silaha walizo kuwa wanateka kwenye majeshi ya Assad, itakuwa balaa wakiwa na silaha kali. Israel alicho furahi hao ma rebels wa Syria kumpindua Assad, ni kuweza kukataa mawasiliano kati ya Syria, Hezbullah na Iran lakini hajui Allah naye huwa ana mipango yake. Ukizuia huku ana fungua huku, si ajabu tukasikia Egypt na Jordan wamepindua waislam hapo ndio patakuwa patamu.
Hakuna kitu Hapo Bado ubaya ubwela kati ya shia na sunni🙄😜
 
😅😅

Unaishi miaka ya Mtume. Karne nyingi Sana nyuma.
Dunia iko mbali Mkuu.

Unazungumzia Allah kwenye Karne ya 21 kweli?

Watu wanarusha vyuma wewe unaleta habari za Allah kama kina kinjektile
Hajui Allah aliomba Dua mbaya Kwa MWENYEZI MUNGU AWAANGAMIZE WAYAHUDI NA WAKRISTO WOOTE akapuuzwa Hadi Leo Wakristo na Wayahudi wanadunda!
👇👇
وَقَالَتِ الْيَهُودُ عُزَيْرٌ ابْنُ اللَّهِ وَقَالَتِ النَّصَارَى الْمَسِيحُ ابْنُ اللَّهِ ۖ ذَٰلِكَ قَوْلُهُم بِأَفْوَاهِهِمْ ۖ يُضَاهِئُونَ قَوْلَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن قَبْلُ ۚ قَاتَلَهُمُ اللَّهُ ۚ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ

[ AT-TAWBA - 30 ]
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
 
Tatizo sio Israel tatizo ni Qatar, Turkey na Saud Arabia walimuahidi Mrusi maslaha yake yatabaki hivyo Assad lazima atoke. Pia Saud Arabia na badhi ya nchi za Gulf target yao ni kuimaliza Hamas na Hezbullah ili wao wabaki kwenye viti vyao, wanadhani kumkubatia US watakuwa kwenye safe zone. Hivyo ndivyo wafalme wa kiarabu wanadhani kama alivyo dhania Assad kuwa Mrusi atamlinda. Tokea lini wavaa misalaba na .ashiga zao wayahufi wakawa waminifu na wakweli?

Israel kaona hio ni fursa kwake kuvunja silaha za Syria, ili watakao tawala wawe wanakubali wanacho ambiwa na Israel.

Bashar Assad alipewa offer awachane na Iran na Urusi, na Syria itajengwa kuliko mwanzo akakataa, hicho ndicho kilicho mponza hakutegenea Mrusi na Iran watamuza vile.


Any way hatujui mipango ya Allah, si ajabu hawa ndio wakamuondoa Israel pale. We huoni Israel anapiga silaha na viwanda vya kutengeneza silaha, anacho ogopa ni kitu gani? Kaona hao jamaani hatari wameweza mpindua Assad kwa silaha walizo kuwa wanateka kwenye majeshi ya Assad, itakuwa balaa wakiwa na silaha kali. Israel alicho furahi hao ma rebels wa Syria kumpindua Assad, ni kuweza kukataa mawasiliano kati ya Syria, Hezbullah na Iran lakini hajui Allah naye huwa ana mipango yake. Ukizuia huku ana fungua huku, si ajabu tukasikia Egypt na Jordan wamepindua waislam hapo ndio patakuwa patamu.
Wewe naona unaota ndoto, hujui Israel wana Mungu wao kiboko anayeitwa Yahwe au Mungu Jehova na huyo allah mungu wa kiarabu ni cha mtoto kwake, wewe huoni Israel mambo yanavyozidi kuwanyokea.
 
Wanaukumbi.

🚨#BREAKING: Israel imezidisha uchokozi wake kwa kuingia katika miji mitano katika Milima ya Golan ya Syria.

Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la 1974, eneo ambalo Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na kulazimishwa kurejea Syria:

  • Al-Qunaitra
  • Al-Hamidiyah
  • Madinat al-Baath

Zaidi kuhusu, Israeli pia imevamia mji ulio nje ya Mstari wa Kutengwa wa 1974, eneo ambalo haijawahi kudhibiti hapo awali:

- Kham Arnabah

Ukiukaji huu wa wazi wa sheria za kimataifa unasisitiza kuendelea kwa Israel kukalia ardhi ya Syria, kwani Miinuko yote ya Golan inatambulika kimataifa kama ardhi ya Syria. Ukiukaji kama huo wa Mstari wa Kutenganisha wa 1974 ni nadra lakini unaonyesha kutozingatia kwa Israeli mikataba ya kimataifa na uhuru wa Syria.
=========================

View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1865780626021822642?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Kwani hujui keanini ameenda buffer zone?
 
Wewe naona unaota ndoto, hujui Israel wana Mungu wao kiboko anayeitwa Yahwe au Mungu Jehova na huyo allah mungu wa kiarabu ni cha mtoto kwake, wewe huoni Israel mambo yanavyozidi kuwanyokea.
Siku zote taifa au kiongozi kabla hajanguka mambo yanamnyokea, hata Assad yalimyokea kwanza 🤣
 
Naona unawalaumu Urusi na Iran, ila mbona askari wa Assad walikuwa hawapigani?jeshi lililo na vifaa bora kabisa linapinduliwa na watu wanatumia pick ups na noah?
Askari wa Assad waliambiwa wasipigane na waziri wa jeshi lao pamoja na Chief of Staff wao. Je ni Assad ndio aliwambia au wao ndio walimgeuka.
 
Wanaukumbi.

🚨#BREAKING: Israel imezidisha uchokozi wake kwa kuingia katika miji mitano katika Milima ya Golan ya Syria.

Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la 1974, eneo ambalo Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na kulazimishwa kurejea Syria:

  • Al-Qunaitra
  • Al-Hamidiyah
  • Madinat al-Baath

Zaidi kuhusu, Israeli pia imevamia mji ulio nje ya Mstari wa Kutengwa wa 1974, eneo ambalo haijawahi kudhibiti hapo awali:

- Kham Arnabah

Ukiukaji huu wa wazi wa sheria za kimataifa unasisitiza kuendelea kwa Israel kukalia ardhi ya Syria, kwani Miinuko yote ya Golan inatambulika kimataifa kama ardhi ya Syria. Ukiukaji kama huo wa Mstari wa Kutenganisha wa 1974 ni nadra lakini unaonyesha kutozingatia kwa Israeli mikataba ya kimataifa na uhuru wa Syria.
=========================

View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1865780626021822642?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Yumkini, hayo yanayofanywa na Israel yamo kwenye makubaliano na hao wapiganaji.

Israel ndiyo iliyomaliza nguvu za kijeshi za Iran na Hezbollah, na hivyo kutoa mwanya kwa hao wapiganaji wa Syria, kuchukua Serikali kiurahisi, kwa sababu hakukuwa na nguvu za kijeshi za kumsaidia Assad. Lakini kuna hofu kuwa Iran na Hezbollah wanaweza kujijenga upya na kutaka kuiondoa serikali mpya. Nchi pekee wanayoitegemea kuzuia hilo kutokea, ni Israel. Hivyo israel ina nafasi ya kutoa mapendekezo vifaa vyake vya ulinzi wa anga vikae wapi ili kuidhibiti Iran isiidhoofishe Serikali mpya.
 
Back
Top Bottom