Baada utawala wa Syria kuanguka Israel wamekimbilia kuchukua maeneo katika miji mitano katika milima ya Golan ya Syria wanazidi kuongeza mgogoro

Baada utawala wa Syria kuanguka Israel wamekimbilia kuchukua maeneo katika miji mitano katika milima ya Golan ya Syria wanazidi kuongeza mgogoro

Wanaukumbi.

🚨#BREAKING: Israel imezidisha uchokozi wake kwa kuingia katika miji mitano katika Milima ya Golan ya Syria.

Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la 1974, eneo ambalo Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na kulazimishwa kurejea Syria:

  • Al-Qunaitra
  • Al-Hamidiyah
  • Madinat al-Baath

Zaidi kuhusu, Israeli pia imevamia mji ulio nje ya Mstari wa Kutengwa wa 1974, eneo ambalo haijawahi kudhibiti hapo awali:

- Kham Arnabah

Ukiukaji huu wa wazi wa sheria za kimataifa unasisitiza kuendelea kwa Israel kukalia ardhi ya Syria, kwani Miinuko yote ya Golan inatambulika kimataifa kama ardhi ya Syria. Ukiukaji kama huo wa Mstari wa Kutenganisha wa 1974 ni nadra lakini unaonyesha kutozingatia kwa Israeli mikataba ya kimataifa na uhuru wa Syria.
=========================

View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1865780626021822642?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


Ritz, hivi bado wewe ni mgeni wa historia ya mashariki ya kati? Kila vita Mwarabu anapoaanzisha huwa ndio anapoteza ardhi...Ilikuwa hivyo 1948, 1967, 1973....na Inarudia tena sasa hivi......! Nilimwambia jamaa fulani humu jamvini, Hamas hawatapata hata futi moja vumbi itakapotulia! Hamas wamesababisha Syria ianguke, sasa inanyang'anywa ardhi....Iran inafunga virago vyake middle east....basi tabu tupu.
 
Wanaukumbi.

🚨#BREAKING: Israel imezidisha uchokozi wake kwa kuingia katika miji mitano katika Milima ya Golan ya Syria.

Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la 1974, eneo ambalo Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na kulazimishwa kurejea Syria:

  • Al-Qunaitra
  • Al-Hamidiyah
  • Madinat al-Baath

Zaidi kuhusu, Israeli pia imevamia mji ulio nje ya Mstari wa Kutengwa wa 1974, eneo ambalo haijawahi kudhibiti hapo awali:

- Kham Arnabah

Ukiukaji huu wa wazi wa sheria za kimataifa unasisitiza kuendelea kwa Israel kukalia ardhi ya Syria, kwani Miinuko yote ya Golan inatambulika kimataifa kama ardhi ya Syria. Ukiukaji kama huo wa Mstari wa Kutenganisha wa 1974 ni nadra lakini unaonyesha kutozingatia kwa Israeli mikataba ya kimataifa na uhuru wa Syria.
=========================

View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1865780626021822642?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Tarehe 7/10/2023 alibezwa, alisimangwa, alisutwa, alikejeliwa sana, sasa ame prove wrong. Anapigana direct and indirect kote, Syria, Lebanon, Iran, Ghaza, Yemen. Sisi tusuburi watwangane tuone mbabe.
 
Ritz Badilisha nick name yako ujiite Aljazeera mchochezi
 
Tatizo sio Israel tatizo ni Qatar, Turkey na Saud Arabia walimuahidi Mrusi maslaha yake yatabaki hivyo Assad lazima atoke. Pia Saud Arabia na badhi ya nchi za Gulf target yao ni kuimaliza Hamas na Hezbullah ili wao wabaki kwenye viti vyao, wanadhani kumkubatia US watakuwa kwenye safe zone. Hivyo ndivyo wafalme wa kiarabu wanadhani kama alivyo dhania Assad kuwa Mrusi atamlinda. Tokea lini wavaa misalaba na .ashiga zao wayahufi wakawa waminifu na wakweli?

Israel kaona hio ni fursa kwake kuvunja silaha za Syria, ili watakao tawala wawe wanakubali wanacho ambiwa na Israel.

Bashar Assad alipewa offer awachane na Iran na Urusi, na Syria itajengwa kuliko mwanzo akakataa, hicho ndicho kilicho mponza hakutegenea Mrusi na Iran watamuza vile.


Any way hatujui mipango ya Allah, si ajabu hawa ndio wakamuondoa Israel pale. We huoni Israel anapiga silaha na viwanda vya kutengeneza silaha, anacho ogopa ni kitu gani? Kaona hao jamaani hatari wameweza mpindua Assad kwa silaha walizo kuwa wanateka kwenye majeshi ya Assad, itakuwa balaa wakiwa na silaha kali. Israel alicho furahi hao ma rebels wa Syria kumpindua Assad, ni kuweza kukataa mawasiliano kati ya Syria, Hezbullah na Iran lakini hajui Allah naye huwa ana mipango yake. Ukizuia huku ana fungua huku, si ajabu tukasikia Egypt na Jordan wamepindua waislam hapo ndio patakuwa patamu.
Unajua hao jamaa wana support ya na naji nyuma yao ? Fund and mafunzo? Mipango?

Hawapo wenyewe, ni collective decision
 
Askari wa Assad waliambiwa wasipigane na waziri wa jeshi lao pamoja na Chief of Staff wao. Je ni Assad ndio aliwambia au wao ndio walimgeuka.
Hapo Russia na Iran hawakuwa na namna yoyote ya kusaidia. Utasaidia vp nchi ambayo jeshi mwenyeji halitaki kupigana au limsaliti
 
Acha uongo basi..
  • Miji mitatu kati ya hii iko ndani ya eneo la buffer lililosimamiwa na UN la
    1974, eneo ambalo
    Israeli ilitekwa kinyume cha sheria katika vita vya 1973 na
    kulazimishwa kurejea
    Syria:
Wew bado una comment tu humu? Si ulitudanganya Urusi na Iran hawawezi kuiachia Syria ichukuliwe na waaasi. Bado unataka tukuamini tu na mihemuko yako ya kidini?
 
Mkuu ; Usihangaike. Vita vya panzi ni furaha ya kunguru. Naona mjomba Neta kajiokotea pande la ardhi. Halafu ujue halitokaa lirudishwe kwa mwenye nalo. Si unamjua Myahudi?

Na ukizingatia alishawah kulimiliki wakamlazimisha alirudishe sasa hivi hawatalirudisha kwa kisingizio cha usalama
 
Hajui Allah aliomba Dua mbaya Kwa MWENYEZI MUNGU AWAANGAMIZE WAYAHUDI NA WAKRISTO WOOTE akapuuzwa Hadi Leo Wakristo na Wayahudi wanadunda!
👇👇
وَقَالَتِ الْيَهُودُ عُزَيْرٌ ابْنُ اللَّهِ وَقَالَتِ النَّصَارَى الْمَسِيحُ ابْنُ اللَّهِ ۖ ذَٰلِكَ قَوْلُهُم بِأَفْوَاهِهِمْ ۖ يُضَاهِئُونَ قَوْلَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن قَبْلُ ۚ قَاتَلَهُمُ اللَّهُ ۚ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ

[ AT-TAWBA - 30 ]
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
Kwanza hapa Mohammad kuonyesha sio mtume wa Mungu alitunga uongo maana hamna sehemu wayahudi wanasema Ezra ni mwana wa Mungu.
 
Kuna watu vita ndio biashara yao
Watahakikisha wanaendelea kupigana
 
Haya ni mambo yaliyopo katika unabii. Ni lazima yatokee. Iran, Urusi na wengine ni Lazima waanguke ili wale wafalme wanaoanzisha mambo ya ajabu waweze kupita na kufanikisha mambo yao duniani kote. Kila mtu awe na uhuru wa kuchagua anasimama upande gani.

12 Na huyo wa sita akakimimina kitasa chake juu ya mto ule mkubwa Frati; maji yake yakakauka, ili njia itengenezwe kwa wafalme watokao katika maawio ya jua.
Ufunuo wa Yohana 16:12

13 Nikaona roho tatu za uchafu zilizofanana na vyura, zikitoka katika kinywa cha yule joka, na katika kinywa cha yule mnyama, na katika kinywa cha yule nabii wa uongo.
Ufunuo wa Yohana 16:13

14 Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.
Ufunuo wa Yohana 16:14

15 (Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)
Ufunuo wa Yohana 16:15

16 Wakawakusanya hata mahali paitwapo kwa Kiebrania, Har-Magedoni.
Ufunuo wa Yohana 16:16
 
Misri Saudi Arabia mpaka Iran uko potential pa Isreal so mjomba anaanza kujitanua sasa
 
Hapo Russia na Iran hawakuwa na namna yoyote ya kusaidia. Utasaidia vp nchi ambayo jeshi mwenyeji halitaki kupigana au limsaliti
Assad this time alitakiwa aseme na yeye anaingia front line ili kuwapa morali wajeshi wake.. ila akasema naongeza mshahara 50% , wakamuona mngese kweli yaani uhai wao uharibifu wa maisha na mali for himself dadeki wakawa wanapisha tu jamaa wanabeba silaha na kusonga without a single shot.. Iran akajifanya kuleta ndege yenye shehena ya silaha militants wakampigua simu Netanyahu na Neta bila hiyana akamuambia Iran ukitua unakutana na mlipuko ardhini.. Ayatollah akageuza ikawa too late akajibu 4th time habari ni ile ile.. Game ikawa over
 
Utawala wa Assad umeamguka unashambulia nini sasa.


🇮🇱🇸🇾 BREAKING: IDF AIR STRIKES IN SYRIA


The Israeli Air Force is reportedly targeting air force bases, weapons and defense systems, intelligence facilities, and military structures of the former Syrian regime.


Sources: Channel 13 Reporter
View attachment 3172767View attachment 3172768View attachment 3172769
Kwani vikosi vya Iran viko wapi? Si visaidie kuzuia haya mashambulizi,au si Hezbollah wapo na wana nguvu si waende Syria kupigana na Israel ambao wanazidi kujitwalia maeneo huko Syria. Na tulikubaliana wote humu kuwa Israel kaomba cease fire Lebanon baada ya kuzidiwa
 
Back
Top Bottom