Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

Nadhani next time, utafikiria mara mbili kabla ya kuandika nyuzi za kuwasifia majambazi wa CCM na serikali yao!
 
Haya yatakuwa maajabu ya Karne, yaani majuzi tumegomea $12 billion za Bagamoyo kama awataki mkataba wa miaka 33 tena port wajenge wenyewe.

Halafu leo nchi isaink mkataba wa miaka 100 kwa uwekezaji wa $500m, tena kwa bandari ambazo zipo tayari.

Kama kuna ukweli ata huyo bwana godi atatususa, maana atubebeki ni gunia la misumari.
 
Ila huyo msagara katuachia laana post colonial generation walaah
 
CCM inauza nchi, vyama vya upinzani na watu wote waingie mtaani maandamano nchi nzima, kama kweli wewe ni mzalendo dawa ni moja maandamano nchi nzima kuukataa huo mkataba
 
Mimi nadhani kabla hatujaanza kulalamika na kutoa maoni kuhusu hili lazima tujue hizo terms zilivyo. Tuache kutoa maoni kwa mihemko. Lete hayo makubaliano hapa mezani tuyaone halafu ndio tuanze kujadili.
 
Janvsa nmemsikia akimwambia GSM kwamba sasa hivi hawabanwi kwa hiyo hizo ambazo hawabanwi wazipeleke kwenye vilabu vya mpira!

Kwa maneno mengine hapo anamaanisha kuna kodi wanakwepa ila hawabanwi kwahiyo hizo wanazokwepa wapeleke kwenye mpira!

Huyo ndio rais wa nchi
 
Tuone tu hiyo time line...Why how? 100 years for real au huyu mwandishi anatujaza upepo? Aise itakuwa bonge la laana kama hili ni kweli, I wish iwe ni uzushi
 
Hakika machozi yamenitoka
 
Tuone tu hiyo time line...Why how? 100 years for real au huyu mwandishi anatujaza upepo? Aise itakuwa bonge la laana kama hili ni kweli, I wish iwe ni uzushi
Kabisa
 
Wewe kila mara unatumia akili zako chache kuiponda chadema na wapinzani unasahau kua nchi inachangamoto kibao zakushughulikia likiwepo lakuondoa ujinga kwa viongozi wanaopata dhamana yakuongoza.Endelea kuinanga chadema uku nchi ikiangamia.Huo ni mfano tu umejijibu mwenyewe.Sasa jiulize yako mengine mangapi.
 
Nimekosa tusi muafaka linalokufaa
 

BANDARI YA BAGAMOYO INAJENGWA,MAGUFULI ALISEMA HAYA, WALIKULA MABILIONI YA WACHINA AWAMU YA NNE.​




 
Miimi nina mtazamo tofauti na wengi. Hiyo Bandari ikodishwe tu waje Watu wenye akili walete ufanisi.
Wakimaliza waje wabinafsishe na Custom ya border ya Tunduma. Lori moja linatumia karibia dakika 20 mpaka nusu saa kupita kwenye scaner wakati kuna malori zaidi ya 500 kwenye foleni. Hakuna ubunifu ni uzembe tu. Waje tu Watu wenye akili wawekeze tu.
 
Ni wakati sasa wa kuwaomba radhi mababu zetu akiwemo Chief Mangungo wa Msovelo kwa kuwacheka walivyosaini mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters aka mkono wa damu wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa kikoloni karne ya 19.

Mimi Mwande na Mndewa tunamuomba radhi babu yetu Chief Mangungo wa Msovelo na Kingo Kisebengo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali duniani kupata exposure, mababu hawa walidanganywa kwa sababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa zaidi ya kuona tabasamu la Carl Peters aka Mkono wa damu.

Digirii zetu, Masters zetu,na PhD zetu tunaweka mfukoni,wale mababu zetu walikuwa zaidi ya digrii, Masters na PhD, wale walikuwa wanafalsafa na tunajua hawakufanya vile bila faida ila hawakuwa na elimu yoyote, tendwa na mtu usiye mjua lakini sio unaye mjua na anakuja utaumia sana, huenda hatuna akili za kujiongoza kwa hiyo acha watuongoze pengine tuta tambua thamani ya kujiongoza.
 
Naona waliokunywa maji ya bendera wanashtuka, hawaamini. Imeisha hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…