Mimi sijakataa ila ntakuwa nalipa buku kila mweziπHuu mfumo wa kesi za madai uangaliwe upya, watu wanatumia hiyo loophole kudhurumu watu fedha zao wakijua nikipelekwa Polisi siwezi kulala ndani sababu zaidi ya siku moja na kesi ikipelekwa mahakamani yanayotokea huko yanajulikana tu
Kwann Nuzulati au sabb hana kitambi πMbona huyo mtu anaye mdai anaonekana ni wa Mchongo.
Huyo Kanjibai kapangwa na J4 Muliro.
Haya maanisha kwa kusimama hapo hCase closed
Mkuu acha story za vijiweni jamaa katoa hadi bill of lading feki huyo ni mwizi jamaa wamefuatilia hadi china hajaagiza chochote arudishe pesa hakuna namnaUlimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha hairudishwi.
Jamaa nampongeza sana kupiga zile kelele angekaa kimya kingemtokea kitu kibaya
Sikuzote tunasema sikiliza story pande zote 2 hapa tumeshajua tapeli ni nani.. tapeli ni huyo anayejiita bilionea na kitendo cha kusingizia kuna mtu mkubwa kitamcost sana
Sikuzote tunasema sikiliza story pande zote 2 hapa tumeshajua tapeli ni nani.. tapeli ni huyo anayejiita bilionea na kitendo cha kusingizia kuna mtu mkubwa kitamcost sana
Utakuwa hupo Khan yunus Gaza hamna network.Linakwamakwama liclip
Cc Accumen Mo darcityKumbe jamaa ndio mchezo wake. Ila sishangai sana maana ukifuatilia kwa karibu utagundua ana vinasaba vya akina Mushi
Tajiri huyo muelewe hivyo hivyo sawa πKwanza anatoa maelezo kwa hofu, wasiwasi,kigugumizi kwa wingi hata macho yake yanaeleza kuna uwongo mwingi umetumika.
Huyo kumbe ni tajiri π³ππTajiri huyo muelewe hivyo hivyo sawa π
[emoji23] au una vinasaba na bilionea anaekimbia jiji kisa 100mHaya maanisha kwa kusimama hapo h
Juu ya meza sebuleni na kusema kwa sauti mimi...
Sasa je husikii miamala anayoifuatilia kwa jamaaHuyo kumbe ni tajiri π³ππ
Mbona ametoka kumjibu huyo muhindi kokoKelele zinasaidia nini watu wakiamua kukuchomoa?
Lisu,Saanane,Dr Ulimboka etc wote walipiga kelele na wakala za uso na hakuna kilichobadilika
Tatizo ni kwamba mtu mweupe anaaminiwa kuliko mtu mweusi hiki ndo kitu mzungu alifanikiwa kukipanda na amefanikiwaKwanza anatoa maelezo kwa hofu, wasiwasi,kigugumizi kwa wingi hata macho yake yanaeleza kuna uwongo mwingi umetumika.