Baada ya bomu la vijana wasiyo na ajira naona mgomo mwingine kutoka kwa kundi la vijana lililorudishwa nyumbani kutoka JKT

Baada ya bomu la vijana wasiyo na ajira naona mgomo mwingine kutoka kwa kundi la vijana lililorudishwa nyumbani kutoka JKT

Kulima pia kunahitaji mtaji uwe nao kwanza !
Unautoa wapi huo mtaji ukiwa jobless au unemployed kwa lugha laini ya kistaarabu !
Mkuu ukibaki unasubir serikal ikupe ajira itachukua muda mrefu sana kuanza maisha...

Start where you are with what you have...

Anza na ajira zunazopatikana kirahisi kwanza..
1.Masokon
2.Viwandani
3 .Mashambani

Then unafukuzia ndoto zako mdogo mdogo
 
Unamlipa mbunge 20m kwa mwezi vijana hawana ajira na posho laki 6 Kwa siku. Wanafunzi wanaomaliza vyuo vikuu waendelee kupata boom mpaka pale watakapopata ajira. Tena isiwe mkopo. Vijana wamechoka kulelewa na wazazi wakati wamevuka umri wa miaka 18. Hata NIHF inawatema wakifikisha umri huo hata kama wazazi wao bado ni watumishi serikalini.
Hapo sasa !
 
Bongo ni nchi ya wambea.
Ukiwa na elimu, utatafutwa kwenye uchumi.
Ukiwa na uchumi, utatafutwa kwenye elimu.

Natania..
 
Mkuu ukibaki unasubir serikal ikupe ajira itachukua muda mrefu sana kuanza maisha...

Start where you are with what you have...

Anza na ajira zunazopatikana kirahisi kwanza..
1.Masokon
2.Viwandani
3 .Mashambani

Then unafukuzia ndoto zako mdogo mdogo
Mbona kubet umeacha?
 
Unamlipa mbunge 20m kwa mwezi vijana hawana ajira na posho laki 6 Kwa siku. Wanafunzi wanaomaliza vyuo vikuu waendelee kupata boom mpaka pale watakapopata ajira. Tena isiwe mkopo. Vijana wamechoka kulelewa na wazazi wakati wamevuka umri wa miaka 18. Hata NIHF inawatema wakifikisha umri huo hata kama wazazi wao bado ni watumishi serikalini.
Ni Kweli, keki ya Taifa kama Kweli ni ya Taifa Kila mtanzania anufaike, la sivyo watanzania Daraja la juu au VVIP wataona wale wa Daraja la chini wakifidiwa na kifutwa machozi na Aliyesema Tanzania iwepo ikawepo, vivyo na Bahari wadudu miti mabonde Hayawani wa mwitu na wanyama nk mtaona akiwainua na kugeuza story maana Huyo hajui sura ya mtu, umbile, cheo au nafasi.

Anajua Haki.
 
Vijana wamekataa kulima.. east Africa ina rutuba nzuri.. wakiwa vyuoni wameaminishwa White collor job.. kwa jeuri baada ya kijana kula Boom miaka 3.. ndicho wanacho kujanacho!!!
Kwa vile Tuna utambuzi wa watanzania wote, iwekwe zamu ya kulima, Kila kijana awe mtoto wa Nani au nani. Hapo vipi?🙌
 
Nyerere alipokuwa anaua vyama vya wafanya kazi alitaka vile vyama viwe chini ya CCM, ndio maana leo vyama vya wafanyakazi husikii vikidai madai ya wafanya kazi, badala yake wanasubiri kila Mei Mosi kama mwezi muandamo kusikia CCM itasema nini, kama haisemi nawao wana mute.

Aliwadanganya TFL kwamaba vilipaswa viungane na TANU, ndio vikamezwa mpaka leo vimemezwa na Jini kuu CCM.

Ukisoma historia ya vyamna vya wafanyakazi Tangu Tanganyika Federation Labour(TFL)-NUTA-JUWATA-OTTU- Mpaka sasa tuna TUCTA, sijui TUICO vyote vimekuwa mali ya chama tawala, kitu ambacho hakikuwa malengo ya vyama vya wafanyakazi.

Siku hizi vyama vimejimega vimekuwa kama vikoba. Utasikia TUGHE, RAAWU,THTU,FIBUCA,TEWUTA,TRAWU,CWT juzi tulikuwa na NETO leo tuna UYAM.

Nakumbuka kiongozi shupavu wa vyama vya wafanyakazi wa mwisho alikuwa Bruno Mpangala, hawa wengine naona wamekuwa rojo rojo sana.

Nje ya CCM hakuna Chama.
 
Malengo ya chama Cha ma jobless pro max, ili kuwa ni kuja na mikakati bora ya kumkwamua kijana.

Kwa kutumia umoja wetu project kadhaa zinge anzishwa, na hii Inge pelekea kufanya kitu Kama fund raising kutoka kwa wadau.

Kuweza kupata ushauri kwa watu wenye uzoefu ni namna gani ya kupata hizo ajira, kwa njia safi bila kuonekana ni tishio

Mgeni wa Jiji aje naye aseme kitu
Ma afsa hawataki mambo mengi
 
Back
Top Bottom