Baada ya bomu la vijana wasiyo na ajira naona mgomo mwingine kutoka kwa kundi la vijana lililorudishwa nyumbani kutoka JKT

Baada ya bomu la vijana wasiyo na ajira naona mgomo mwingine kutoka kwa kundi la vijana lililorudishwa nyumbani kutoka JKT

Tatizo mnaandika kirahisi kanakwamba kuna batan ya kubonyeza tu ajira ziwepo.
Huko Arabuni walikoharibu nchi zao kwa kisingizio cha ukosefu wa ajira wamepata hizo ajira au ndio hali imezidi kuwa ngumu?

Sisi wananchi tujitambue kwanza hasa kwenye mtandao kama huu wa jamiiforums tuwe tunaandika hoja za msingi mara kwa mara, kwa uwingi na kwa staha hii itapelekea viongozi wenye dhamana kuvutwa na nguvu chanya kitu kitakachopelekea wao na sisi tukae tuamue jambo moja lenye manufaa kwa wote.
Tatizo sisi wananchi hatujui tunachotaka au tunajua lakini hatuheshimu muda wa kukiumba.
Unaweza kufika mwisho wa uvumilivu ukajikuta unajidhuru mwenyewe au unadhuru njia njema maishani mwako

Tatizo la ukosefu wa AJIRA kwa Vijana ni kubwa sana, zinahitajika nguvu za pamoja Kati ya Serikali na Wananchi wote ili kukabiliana na tatizo hili.

Kwenye hiyo comment yangu hapo nwishoni nimejaribu kueleza Nini kifanyike ili kutatua tatizo hili
 
Baada ya kuona vuguvugu la maandamano deep state hawashindwi kuanzisha kakikundi kao ili kuzima harakati zenu za kweli 😃😃😃😃, mnaandamana ili muitoe ccm madarakani.?
 
Nchi inaanza kuchangamka, napendekeza umoja wa watanzania mwenye maisha duni na mlo mmoja ,usajiliwe mapema sana
 
Mbona jkt wote walisharudishwa baada ya kusamehewa na mkuu wa majeshi mstaafu.Tena walirudishwa baada ya kuchunguzwa mpaka familia zao na shughuli gani walikuwa wanafanya bila wao kufahamu.
 
Tatizo mnaandika kirahisi kanakwamba kuna batan ya kubonyeza tu ajira ziwepo.
Huko Arabuni walikoharibu nchi zao kwa kisingizio cha ukosefu wa ajira wamepata hizo ajira au ndio hali imezidi kuwa ngumu?

Sisi wananchi tujitambue kwanza hasa kwenye mtandao kama huu wa jamiiforums tuwe tunaandika hoja za msingi mara kwa mara, kwa uwingi na kwa staha hii itapelekea viongozi wenye dhamana kuvutwa na nguvu chanya kitu kitakachopelekea wao na sisi tukae tuamue jambo moja lenye manufaa kwa wote.
Tatizo sisi wananchi hatujui tunachotaka au tunajua lakini hatuheshimu muda wa kukiumba.

Pia tuelewe maisha hayajakamilika!
Unaweza ukazani kuwa mwenzako ajaandika hoja za msingi ikajikutavkumbe wewe ndiyo huna hoja kabisa, kikubwa ni kusamini kila hoja na kujaribu kuiboresha kama inamapungufu hapa na pale.
 
Baada ya malalamiko ya waalimu wasio na ajira kuishinikiza serikali kutatua changamoto zao sasa inaonekana kuna kundi jingine la vijana wasio na ajira linaibuka.

Ukiachana na hayo makundi mawili kuna hili kundi la vijana kutoka JKT wanarudishwa makwao for fun na wanapewa wengine nafasi kwa vimemo kila mwaka serikali inatengeneza vijana wenye mafunzo ya kujua kutumia silaha na mapigano halafu wanarudi nyumbani ili wakajiajiri siku wakijazana kwa wingi na kuamua kutumia walicho jifunza kama ajira ni bomu lenye kishindo.

Ni rahisi kuwa dhibiti wasio na mafunzo lakini hawa wa mafunzo serikali haitoweza hata ifanye nini

Soma, Pia: JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

Haiwezekani vijana maelfu hawana ajira lakini serikali inatumia mabilioni kununua mashangingi ya anasa ya kuendea kwenye starehe
 
Baada ya malalamiko ya waalimu wasio na ajira kuishinikiza serikali kutatua changamoto zao sasa inaonekana kuna kundi jingine la vijana wasio na ajira linaibuka.

Ukiachana na hayo makundi mawili kuna hili kundi la vijana kutoka JKT wanarudishwa makwao for fun na wanapewa wengine nafasi kwa vimemo kila mwaka serikali inatengeneza vijana wenye mafunzo ya kujua kutumia silaha na mapigano halafu wanarudi nyumbani ili wakajiajiri siku wakijazana kwa wingi na kuamua kutumia walicho jifunza kama ajira ni bomu lenye kishindo.

Ni rahisi kuwa dhibiti wasio na mafunzo lakini hawa wa mafunzo serikali haitoweza hata ifanye nini

Soma, Pia: JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

Ni hatari pia kwa watu waliojifunza matumizi ya silaha kukaa mitaani. Siku kikinuka ndio vitu kama m23 vinatokea kwetu. Serikali tafakarini.
 
Baada ya malalamiko ya waalimu wasio na ajira kuishinikiza serikali kutatua changamoto zao sasa inaonekana kuna kundi jingine la vijana wasio na ajira linaibuka.

Ukiachana na hayo makundi mawili kuna hili kundi la vijana kutoka JKT wanarudishwa makwao for fun na wanapewa wengine nafasi kwa vimemo kila mwaka serikali inatengeneza vijana wenye mafunzo ya kujua kutumia silaha na mapigano halafu wanarudi nyumbani ili wakajiajiri siku wakijazana kwa wingi na kuamua kutumia walicho jifunza kama ajira ni bomu lenye kishindo.

Ni rahisi kuwa dhibiti wasio na mafunzo lakini hawa wa mafunzo serikali haitoweza hata ifanye nini

Soma, Pia: JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

Badala ya kuwasikiliza wanaolalamiki wakingali wachache wao wanawakamata! Wakiongezeka hamtawaweza kamwe
 
UMOJA WA VIJANA WASIOKUWA NA AJIRA TANZANIA"Unemployed Youth Allied Movement" -UYAM TANZANIA Unawatangazia Watanzania kuwa tutakuwa na na mkutano na waandishi wa habari tarehe 2/3/20225, Arusha.Vyombo vyote vinakaribishwa."JOB SECURITY, SOCIAL STABILITY"

Pia soma > Chama cha walimu wasio na ajira (NETO) kiongeze wigo hadi kuwa Chama cha vijana wasio na ajira (NEYO)

UYAM.jpg
 
Back
Top Bottom