Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Watafunguliwa kesi za uhaini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona watoto wa viongozi wao hawangaiki na ajira?Utawapiga wangapi? Would it make a different kumpiga wewe na jinsi anavyopigwa na maisha? Tusiombee mabaya nchi yetu, bali tukubali kuwajibika
Umeelewa comment yangu lakini? Do not be naive!Mbona watoto wa viongozi wao hawangaiki na ajira?
Baada ya malalamiko ya waalimu wasio na ajira kuishinikiza serikali kutatua changamoto zao sasa inaonekana kuna kundi jingine la vijana wasio na ajira linaibuka.
Ukiachana na hayo makundi mawili kuna hili kundi la vijana kutoka JKT wanarudishwa makwao for fun na wanapewa wengine nafasi kwa vimemo kila mwaka serikali inatengeneza vijana wenye mafunzo ya kujua kutumia silaha na mapigano halafu wanarudi nyumbani ili wakajiajiri siku wakijazana kwa wingi na kuamua kutumia walicho jifunza kama ajira ni bomu lenye kishindo.
Ni rahisi kuwa dhibiti wasio na mafunzo lakini hawa wa mafunzo serikali haitoweza hata ifanye nini
Soma, Pia: JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi
MumeoUmeelewa comment yangu lakini? Do not be naive!
At least umejitambua!Mumeo
Ndiyo hivyo mkuu, mm huwa nikichokozwa lazima nijilinde kwa nguvu zangu zote sina utani nikifanyiwa ujinga. Utakavyo kuja ndiyo utakavyopimiwa kiasi chako na majibu lazima yawe ni mabaya sn kwa upande wako.At least umejitambua!
Sasa hapo unadhani umetumia akili? Au umejilindaje kwa mfano? Umejisadia kujifariji inaitwa kujilisha upepo!Ndiyo hivyo mkuu, mm huwa nikichokozwa lazima nijilinde kwa nguvu zangu zote sina utani nikifanyiwa ujinga. Utakavyo kuja ndiyo utakavyopimiwa kiasi chako na majibu lazima yawe ni mabaya sn kwa upande wako.
Bila kujilinda ungeendelea kunishambuliaSasa hapo unadhani umetumia akili? Au umejilindaje kwa mfano? Umejisadia kujifariji inaitwa kujilisha upepo!
Kama nilivyofanya hapo juu...Bila kujilinda ungeendelea kunishambulia
Mkuu tusiandikie mate wewe karibu majibu utayapata kulingana na uchokozi utaoufanya, nadhani upande wako hayatakuwa yakufurahisha.Kama nilivyofanya hapo juu...
Go ahead!Mkuu tusiandikie mate wewe karibu majibu utayapata kulingana na uchokozi utaoufanya, nadhani upande wako hayatakuwa yakufurahisha.
NakusubiriGo ahead!
Baada ya hapo watawapa ajira? Unaweza ukawapiga hadi wakaonekana wamepata ajali, very goo, lakini nini kitafuata baada ya hapo??Watapigwa hadi waonekane kama wamepata ajali
Kama ni mtandaoni wasinge wakamata katibu na mwenyekiti na wala waziri asingeitisha mkutano nao.Naona kabisa hii ni trend tu ya mtandaoni. Ngoja tuone.
Kabisa mkuu hii kitu tuitilie mkazo kwa sababu wengi wanaona ni utani tu.Malengo ya chama Cha ma jobless pro max, ili kuwa ni kuja na mikakati bora ya kumkwamua kijana.
Kwa kutumia umoja wetu project kadhaa zinge anzishwa, na hii Inge pelekea kufanya kitu Kama fund raising kutoka kwa wadau.
Kuweza kupata ushauri kwa watu wenye uzoefu ni namna gani ya kupata hizo ajira, kwa njia safi bila kuonekana ni tishio
Mgeni wa Jiji aje naye aseme kitu
Upuuzi unategemeana na uwezo wa kichwa chako kufikiri isije ikawa wewe ndie mpuuzikaka Nita andika baadae, hao wasomi wana elekea kuwa wapuuzi na sio problem solvers.
Huwezi panga kitu bila maono, uta ishia kupata publicity tu isiyo na msaada.
Unaleta utani katika vitu serious wenda ni utoto unakusumbuaMalengo ya chama Cha ma jobless pro max, ili kuwa ni kuja na mikakati bora ya kumkwamua kijana.
Kwa kutumia umoja wetu project kadhaa zinge anzishwa, na hii Inge pelekea kufanya kitu Kama fund raising kutoka kwa wadau.
Kuweza kupata ushauri kwa watu wenye uzoefu ni namna gani ya kupata hizo ajira, kwa njia safi bila kuonekana ni tishio
Mgeni wa Jiji aje naye aseme kitu