Baada ya bomu la vijana wasiyo na ajira naona mgomo mwingine kutoka kwa kundi la vijana lililorudishwa nyumbani kutoka JKT

Baada ya bomu la vijana wasiyo na ajira naona mgomo mwingine kutoka kwa kundi la vijana lililorudishwa nyumbani kutoka JKT

Baada ya malalamiko ya waalimu wasio na ajira kuishinikiza serikali kutatua changamoto zao sasa inaonekana kuna kundi jingine la vijana wasio na ajira linaibuka.

Ukiachana na hayo makundi mawili kuna hili kundi la vijana kutoka JKT wanarudishwa makwao for fun na wanapewa wengine nafasi kwa vimemo kila mwaka serikali inatengeneza vijana wenye mafunzo ya kujua kutumia silaha na mapigano halafu wanarudi nyumbani ili wakajiajiri siku wakijazana kwa wingi na kuamua kutumia walicho jifunza kama ajira ni bomu lenye kishindo.

Ni rahisi kuwa dhibiti wasio na mafunzo lakini hawa wa mafunzo serikali haitoweza hata ifanye nini

Soma, Pia: JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

 

Attachments

  • Screenshot_20250216-182754_1.jpg
    Screenshot_20250216-182754_1.jpg
    363.2 KB · Views: 1
  • images (2) (1).jpeg
    images (2) (1).jpeg
    44.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_2025-02-12-15-29-22-1.png
    Screenshot_2025-02-12-15-29-22-1.png
    649 KB · Views: 1
At least umejitambua!
Ndiyo hivyo mkuu, mm huwa nikichokozwa lazima nijilinde kwa nguvu zangu zote sina utani nikifanyiwa ujinga. Utakavyo kuja ndiyo utakavyopimiwa kiasi chako na majibu lazima yawe ni mabaya sn kwa upande wako.
 
Ndiyo hivyo mkuu, mm huwa nikichokozwa lazima nijilinde kwa nguvu zangu zote sina utani nikifanyiwa ujinga. Utakavyo kuja ndiyo utakavyopimiwa kiasi chako na majibu lazima yawe ni mabaya sn kwa upande wako.
Sasa hapo unadhani umetumia akili? Au umejilindaje kwa mfano? Umejisadia kujifariji inaitwa kujilisha upepo!
 
Huijui Tanzania vizuri
Huwajui Watanzania vizuri
Huijui historia vizuri.
Hata kama nusu ya wanajeshi wote wakatimuliwa ndani ya siku moja hakuna mwanajeshi ataweza kuanzisha vurugu na akashinda.
Kwa miaka karibu 20 mfululizo maelfu ya vijana walihitimu mafunzo ya JKT na mgambo wanarundikana mtaani na hakuna wa kufanya fyoko.
Ninaweza nikakupa accurate statistics ya vijana waliojiunga JKT kwa miaka kadhaa kwa kukueleza walioajiriwa ajira za serikali na wale waliopo mtaani ambao wanapambania ajira rasmi na zisizo rasmi.
 
Naona kabisa hii ni trend tu ya mtandaoni. Ngoja tuone.
Kama ni mtandaoni wasinge wakamata katibu na mwenyekiti na wala waziri asingeitisha mkutano nao.

Imagine hii ni miaka kumi tu ni toka 2015-2025 sasa fikiri ikiongezeka kumi mingine
 
Malengo ya chama Cha ma jobless pro max, ili kuwa ni kuja na mikakati bora ya kumkwamua kijana.

Kwa kutumia umoja wetu project kadhaa zinge anzishwa, na hii Inge pelekea kufanya kitu Kama fund raising kutoka kwa wadau.

Kuweza kupata ushauri kwa watu wenye uzoefu ni namna gani ya kupata hizo ajira, kwa njia safi bila kuonekana ni tishio

Mgeni wa Jiji aje naye aseme kitu
Kabisa mkuu hii kitu tuitilie mkazo kwa sababu wengi wanaona ni utani tu.
 
kaka Nita andika baadae, hao wasomi wana elekea kuwa wapuuzi na sio problem solvers.

Huwezi panga kitu bila maono, uta ishia kupata publicity tu isiyo na msaada.
Upuuzi unategemeana na uwezo wa kichwa chako kufikiri isije ikawa wewe ndie mpuuzi
 
Malengo ya chama Cha ma jobless pro max, ili kuwa ni kuja na mikakati bora ya kumkwamua kijana.

Kwa kutumia umoja wetu project kadhaa zinge anzishwa, na hii Inge pelekea kufanya kitu Kama fund raising kutoka kwa wadau.

Kuweza kupata ushauri kwa watu wenye uzoefu ni namna gani ya kupata hizo ajira, kwa njia safi bila kuonekana ni tishio

Mgeni wa Jiji aje naye aseme kitu
Unaleta utani katika vitu serious wenda ni utoto unakusumbua
 
Back
Top Bottom