Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba Tanzania yenyewe imeshushwa toka sayari ya Mars ? HaahHuijui Tanzania vizuri
Huwajui Watanzania vizuri
Huijui historia vizuri.
Hata kama nusu ya wanajeshi wote wakatimuliwa ndani ya siku moja hakuna mwanajeshi ataweza kuanzisha vurugu na akashinda.
Kwa miaka karibu 20 mfululizo maelfu ya vijana walihitimu mafunzo ya JKT na mgambo wanarundikana mtaani na hakuna wa kufanya fyoko.
Ninaweza nikakupa accurate statistics ya vijana waliojiunga JKT kwa miaka kadhaa kwa kukueleza walioajiriwa ajira za serikali na wale waliopo mtaani ambao wanapambania ajira rasmi na zisizo rasmi.
Baada ya hapo watawapa ajira? Unaweza ukawapiga hadi wakaonekana wamepata ajali, very goo, lakini nini kitafuata baada ya hapo??Watapigwa hadi waonekane kama wamepata ajali
Watapigwa na nani Mkuu?Watapigwa hadi waonekane kama wamepata ajali
polisi.Utawapiga wangapi? Would it make a different kumpiga wewe na jinsi anavyopigwa na maisha? Tusiombee mabaya nchi yetu, bali tukubali kuwajibika
Kwani ukiandamana ndio unapata ajira?Baada ya hapo watawapa ajira? Unaweza ukawapiga hadi wakaonekana wamepata ajali, very goo, lakini nini kitafuata baada ya hapo??
Unajidanganya Sana ndugu.Watapigwa hadi waonekane kama wamepata ajali
Hakuna umoja ndiyo maana wanateswa walimu wenzao wapo kimyaVizuri kama wanachodai ni uhaini basi wapo sawa
Upo sahihi ila kwa watanzania utasubiri sana..Unajidanganya Sana ndugu.
Duniani kote kabisa uzoefu unaonyesha kwamba Umma haujawahi kushindwa jambo lolote lile pale umma huo unapoamua kwa dhati kabisa ya mioyo yao kutekeleza jambo hilo.
Rejea yale machafuko yaliyotokea katika nchi za kiArab kati ya Mwaka 2011 hadi 2015 kule Tunisia, Libya, Misri, n.k.
Mlipuko wa Vuguvugu lile hatari ulianzia nchini Tunisia, sababu zikiwa ni UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA.
Rejea pia kule nchini Bangladesh, Mwaka jana wa 2024 Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hasinna lilimkuta jambo huko nchini Bangladesh hadi akalazimika kuokoa nafsi na kukimbilia nchini India, hadi leo hii tunapojadili suala hili bado yupo huko India. Sababu ya yote haya ni UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA.
Aidha, hata mlipuko wa Generation Z kwa majirani zetu wa hapo Kenya, sababu ni UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA
Hivyo Basi, suala hili la Ukosefu wa Ajira kwa Vijana MUST BE HANDLED WITH GREAT CARE!
The Regime of this country Must be very careful in dealing with this Problem of the Youth Unemployment.
Matumizi ya nguvu kubwa hayana nafasi kwenye suala la Utatuzi wa tatizo hili, badala yake AKILI KUBWA, HEKIMA na BUSARA ndiyo silaha sahihi zinazopaswa kutumika katika kutatua Mgogoro huu.
Hili sasa ndilo nililokua nalisubiri hatimae limefika sasa polisi huko walipo wanajiandaa kuwakamata sababu wanataka kuwajambisha wale waliokuwa wamekaa kwenye viti vya juu,
P
polisi.
Utawapiga wangapi? Would it make a different kumpiga wewe na jinsi anavyopigwa na maisha? Tusiombee mabaya nchi yetu, bali tukubali kuwajibika
Ni swala la muda tu. Vijana wengi hawana cha kupoteza wakati huu, wamechoka na ugumu wa maisha, watawala wakishindwa kuliona hili itakula kwao, In less than 10 years from now si ajabu kuona watu wakiingia barabarani kuaddress ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira hapo huto walaumu wapinzani kama siku zote serikali inavyofanya.
Naona kabisa hii ni trend tu ya mtandaoni. Ngoja tuone.
Kama tukiipata kiongozi mzuri na mwenye maadili ya kifedha na uchungu wa nchi yetu Tanzania hakuna sababu yakuwa na Tatizo la ajira na pia tunaweza kuawaajiri na vijana wengi wa nchi jirani. Muhimu tu nikuhakikisha kuwa tunaweka kipambele kwenye kuzalisha ajira, Tunauwezo wakuzalisha ajira nyingi sana kwa Mda mfupi sana. Ajira ya kwanza ambayo inaitaji mtaji ni Bahari na maziwa uwezekano wakuwakopesha vijana vifaa vya uvuvi na kuendeleza na kupandikiza samaki wengi kwenye maziwa yetu tunaweza kuzalisha ajira direct milioni mbili na indirrect milioni mbili nyingine, Kilimo kama vile iliki, kahawa korosho, pamba na tumbaku hapa tunaweza kuzalisha direct ajira milioni 2 na indirect milioni moja, uwekezaji wa viwanda vya kuchakata mazao ya mashambani kama vile, Pamba, kahawa, korosho, tumbaku nakadharika pamoja na mnyororo mzima wa kuonheza thamani yaaani ni ajira za kumwaga kiasi vijana watanzania peke yake hawatazimudu hizo kazi, Kuimarisha kilimo cha umwagiliaji na usindikaji wa mazo mbali mbali, Badala ya nyanya kuozea mashambani kunatengenezwa viwanda vikubwa vya usindikaji mazao kama nyanya na matunda menginevkama zabibu. Tatizo hatuna viongozi ambao wapo tayari kuhakikisha watanzania tunapiga hatuwa tunawekeza fedha kibao kwenye bunge na magari ya washawasha ili kuwadhibiti vijana wasilete vurugu wakati vijana wakiwa busy hakuna hata mmoja utamwambia aandamane akakubali ila kwa sasa hali jinsi ilivyo ni kama nchi imemwagiwa petrol inasubiri tu kuwashwa moto.Baada ya malalamiko ya waalimu wasio na ajira kuishinikiza serikali kutatua changamoto zao sasa inaonekana kuna kundi jingine la vijana wasio na ajira linaibuka.
Ukiachana na hayo makundi mawili kuna hili kundi la vijana kutoka JKT wanarudishwa makwao for fun na wanapewa wengine nafasi kwa vimemo kila mwaka serikali inatengeneza vijana wenye mafunzo ya kujua kutumia silaha na mapigano halafu wanarudi nyumbani ili wakajiajiri siku wakijazana kwa wingi na kuamua kutumia walicho jifunza kama ajira ni bomu lenye kishindo.
Ni rahisi kuwa dhibiti wasio na mafunzo lakini hawa wa mafunzo serikali haitoweza hata ifanye nini
Soma, Pia: JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi
Siyo kweli hata kidogo, kumbuka hao vijana baadhi yao Wana wazazi wao, ndugu zao, jamaa zao ambao wapo huko huko Serikalini. Athari wanazopitia hao vijana na hao ndugu zao nao pia wanazipitia, tatizo hili linawaumiza Watu wengine wote katika Jamii.Upo sahihi ila kwa watanzania utasubiri sana..
Shida yenu nyie msio na mafunzo ya kijasusi chama chenu kikikua mnaanza kuunga mkono juhudi kama chama cha walimu, malengo mazuri ila end of the day mnageuka chawa wa kisiasa.Malengo ya chama Cha ma jobless pro max, ili kuwa ni kuja na mikakati bora ya kumkwamua kijana.
Kwa kutumia umoja wetu project kadhaa zinge anzishwa, na hii Inge pelekea kufanya kitu Kama fund raising kutoka kwa wadau.
Kuweza kupata ushauri kwa watu wenye uzoefu ni namna gani ya kupata hizo ajira, kwa njia safi bila kuonekana ni tishio
Mgeni wa Jiji aje naye aseme kitu
Au wamepigwa na radiWatapigwa hadi waonekane kama wamepata ajali
Tatizo mnaandika kirahisi kanakwamba kuna batan ya kubonyeza tu ajira ziwepo.Ukosefu wa ajira kwa Vijana ni tatizo kubwa ambalo lipo kiuhalisia.
Duniani kote kabisa uzoefu unaonyesha kwamba Umma haujawahi kushindwa jambo lolote lile pale umma huo unapoamua kwa dhati kabisa ya mioyo yao kutekeleza jambo hilo.
Rejea yale machafuko yaliyotokea katika nchi za kiArab kati ya Mwaka 2011 hadi 2015 kule Tunisia, Libya, Misri, n.k.
Mlipuko wa Vuguvugu lile hatari ulianzia nchini Tunisia, sababu zikiwa ni UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA.
Rejea pia kule nchini Bangladesh, Mwaka jana wa 2024 Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hasinna lilimkuta jambo huko nchini Bangladesh hadi akalazimika kuokoa nafsi na kukimbilia nchini India, hadi leo hii tunapojadili suala hili bado yupo huko India. Sababu ya yote haya ni UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA.
Aidha, hata mlipuko wa Generation Z kwa majirani zetu wa hapo Kenya, sababu ni UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA
Hivyo Basi, suala hili la Ukosefu wa Ajira kwa Vijana MUST BE HANDLED WITH GREAT CARE!
The Regime of this country Must be very careful in dealing with this Problem of the Youth Unemployment.
Matumizi ya nguvu kubwa hayana nafasi kwenye suala la Utatuzi wa tatizo hili, badala yake AKILI KUBWA, HEKIMA na BUSARA ndiyo silaha sahihi zinazopaswa kutumika katika kutatua Mgogoro huu.
Unaweza kufika mwisho wa uvumilivu ukajikuta unajidhuru mwenyewe au unadhuru njia njema maishani mwakoSiyo kweli hata kidogo, kumbuka hao vijana baadhi yao Wana wazazi wao, ndugu zao, jamaa zao ambao wapo huko huko Serikalini. Athari wanazopitia hao vijana na hao ndugu zao nao pia wanazipitia, tatizo hili linawaumiza Watu wengine wote katika Jamii.
Kumbuka kwamba uvumilivu huwa una Mwisho wake.
Kama ni stress hata viongozi wetu wanazo hivyo wakati unadai jambo lako jitahidi uwe na adabu 🤣🤣Au wamepigwa na radi